DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Daaah inatosha sasa! 😱😥
Ebu tutafute the way forward!
Tuache ukimya tuiokoe Tanzania
"The way forward" ni mapekendekezo ya Rasimu mpya ya katiba yalowasilishwa na jaji Warioba yatakiwa kufanyiwa kazi.

Kisha watanzania kuamua wataka raisi wa aina gani mtu ambae kweli atafanya yale ambayo hayati Magufuli aliyafanya lakini bila kuonea watu (kama kweli alifanya hivyo) , kuhakikisha watu waovu hawamchonganishi na wananchi (maana hawa watu waovu na wahuni ni wengi) na atafuata misingi ya katiba mpya ambayo itakuwa imepigiwa kura ya maoni na wananchi na kupitishwa rasmi kuwa katiba mpya ya Tanzania.

Katiba mpya ndo itakuwa msingi wa demokrasia yetu, itawezesha chaguzi huru, viongozi kuwajibika na kuwajibishwa na pia raia na viongozi wote katika sehemu yoyoite kuheshimu misingi ya katiba hiyo.

Misingi ya katiba italinda raia na kuhakikisha haki yao ya msingi kama huduma za barabara, maji safi na uhuru wa kujifanyi shughuli halali zinoingiza kipato halali bila kubinywa na tozo za ajabuajabu zote zinatolewa. Misingi ya katiba itahakikisha TRA wanafanya kazi inavyopaswa na hawawaonei wafanyabiashara wadogo bali wanafuata misingi ya ukusanyaji kodi.

Zambia, Malawi, ni mifano tosha ya chaguzi bora ambazo zimeleta viongozi wenye nia angalau ya kuboresha maisha ya wananchi wa kipato cha kawaida. Tunisia ni moja ya nchi za kiafrika ambayo juzujuzi wamepiga kura ya maoni na wananchi wameiridhia.

Bila hivyo wananchi wataendelea kulalama kila siku lakini hakutakuwa na mabadiliko yoyote ya msingi na badala yake wapigaji wataendeleza mambo yao ya kuwaachia wafanyabishara wajikusanyie faida kubwa bila kulipa kodi, waingizaji madawa ya kulevya kuendelea na kazi zao, wageni kushikilia mtaji wa soko na kuzuia soko la ndani kukua kwa kusingizia wao ni NGOs.

Ndo maana walikuwa wakilalamika kwamba hayati JPM aliwazuia walokiita access kwa local market ambayo kiukweli JPM alielewa kuwa wao ndio walikuwa walifanya kitu kiloitwa "capital flight".

Kwenye uchumi hii "capital flight" ni uondoaji wa fedha kwenye mzunguko na kwenye mabenki kwa makusudi unofanywa na wafanyabiashara na makampuni baada ya serikali kuanza kubana mianya mbalimbali ya ukwepaji kodi na kusababisha fedha kukosekana baada ya serikali mpya kuingia madarakani na kuweka sheria mbalimbali na kubadili sera mbalimbali za kiuchumi.

Kwa kuwa wananchi wengi walikuwa hawaelewi kinoendelea kiukweli raisi aliepita JPM alipata shida ingawa aliweza kuifanya nchi ijiendeshe hadi kufikia uchumi wa kati ambao ulitanganzwa na haohao wawezeshaji IMF na Benki ya Dunia. nchiu ikapita kwenye janga la ugonjwa wa uviko-19 bila shida sana, mazao yakazalishwa kwa wananchi kuhimizwa kulima na wale wadogowadogo (wamachinga wakahasishwa kufanya biashara kwa kusajiliwa ili iwe rahisi kuwatoza kodi

Leo hii JPM hayupo mambo yote yaso na maana ambayo yalipotea kwa miaka mitano yamerudi kuwa ni yaleyale ingawa yafanywa kichinichini yaani "low profile".

Watanzania wapaswa kuukataa mwenendo huu na kulazimisha utekelezwaji wa kuishughulikia rasimu ya katiba mopya kama ilivyopendekezwa na mheshimiwa jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba.
 
Kuna mchaga wa rombo anaishi mabibo karibu na chuo cha NIT alioa sehemu hela iko akapewa 2 kama kianzio cha maisha yeye na mkewe sasa kadri siku zinaenda na ndio yanazidi kuongezeka(huyo esta ni jina la mwanae wa kike ambaye alikufa kifo cha kutatanisha na alipoenda kuzikwa baba yake hakuhudhuria alipiga chenga fulani ndugu wakaamua kuzika wenyewe)kilichofuata !!!!!naomba niishie hapo vya watu havisemwi
Ngoja nilinde kiapo changu
Nawashangaa wanavyosema ni ya bwana tozo. Simpendi bwana tozo ila esther ni mali ya didas ngeleuya. Mayutong ukinunua 5 unakopa 5. Uko sahihi kbs jina la ether ni la bintiye... maybe wanaunga dots kisa lilianzia route ya singida. Kule jamaa aliona fursa ndo maana alianzia kule.
 
Na ndio ukweli wenyeweee...

Huwa zikiletwa hizi story za madelu na haya mabasi huwa nashangaa sana.

Huyo bibie mwenye hizo chuma yuko vizuri haswaa.. Japo story za mapaka paka huwa zinahusishwa kimtindo.
Ni bwana didas ngeleuya mkuu. Bintiye ndo esther
 
Boss wao kawaambia wale urefu wa kamba yao.

Ila akumbuke ya Basil Pembambili Mfamba, Daniel Yona kilichowapata baada ya kuwa nje ya system.
Ile ilikua poteza boya mkuu[emoji28] watu wanajua kuicheza michezo.
 
"The way forward" ni mapekendekezo ya Rasimu mpya ya katiba yalowasilishwa na jaji Warioba yatakiwa kufanyiwa kazi.

Kisha watanzania kuamua wataka raisi wa aina gani mtu ambae kweli atafanya yale ambayo hayati Magufuli aliyafanya lakini bila kuonea watu (kama kweli alifanya hivyo) , kuhakikisha watu waovu hawamchonganishi na wananchi (maana hawa watu waovu na wahuni ni wengi) na atafuata misingi ya katiba mpya ambayo itakuwa imepigiwa kura ya maoni na wananchi na kupitishwa rasmi kuwa katiba mpya ya Tanzania.

Katiba mpya ndo itakuwa msingi wa demokrasia yetu, itawezesha chaguzi huru, viongozi kuwajibika na kuwajibishwa na pia raia na viongozi wote katika sehemu yoyoite kuheshimu misingi ya katiba hiyo.

Misingi ya katiba italinda raia na kuhakikisha haki yao ya msingi kama huduma za barabara, maji safi na uhuru wa kujifanyi shughuli halali zinoingiza kipato halali bila kubinywa na tozo za ajabuajabu zote zinatolewa. Misingi ya katiba itahakikisha TRA wanafanya kazi inavyopaswa na hawawaonei wafanyabiashara wadogo bali wanafuata misingi ya ukusanyaji kodi.

Zambia, Malawi, ni mifano tosha ya chaguzi bora ambazo zimeleta viongozi wenye nia angalau ya kuboresha maisha ya wananchi wa kipato cha kawaida. Tunisia ni moja ya nchi za kiafrika ambayo juzujuzi wamepiga kura ya maoni na wananchi wameiridhia.

Bila hivyo wananchi wataendelea kulalama kila siku lakini hakutakuwa na mabadiliko yoyote ya msingi na badala yake wapigaji wataendeleza mambo yao ya kuwaachia wafanyabishara wajikusanyie faida kubwa bila kulipa kodi, waingizaji madawa ya kulevya kuendelea na kazi zao, wageni kushikilia mtaji wa soko na kuzuia soko la ndani kukua kwa kusingizia wao ni NGOs.

Ndo maana walikuwa wakilalamika kwamba hayati JPM aliwazuia walokiita access kwa local market ambayo kiukweli JPM alielewa kuwa wao ndio walikuwa walifanya kitu kiloitwa "capital flight".

Kwenye uchumi hii "capital flight" ni uondoaji wa fedha kwenye mzunguko na kwenye mabenki kwa makusudi unofanywa na wafanyabiashara na makampuni baada ya serikali kuanza kubana mianya mbalimbali ya ukwepaji kodi na kusababisha fedha kukosekana baada ya serikali mpya kuingia madarakani na kuweka sheria mbalimbali na kubadili sera mbalimbali za kiuchumi.

Kwa kuwa wananchi wengi walikuwa hawaelewi kinoendelea kiukweli raisi aliepita JPM alipata shida ingawa aliweza kuifanya nchi ijiendeshe hadi kufikia uchumi wa kati ambao ulitanganzwa na haohao wawezeshaji IMF na Benki ya Dunia. nchiu ikapita kwenye janga la ugonjwa wa uviko-19 bila shida sana, mazao yakazalishwa kwa wananchi kuhimizwa kulima na wale wadogowadogo (wamachinga wakahasishwa kufanya biashara kwa kusajiliwa ili iwe rahisi kuwatoza kodi

Leo hii JPM hayupo mambo yote yaso na maana ambayo yalipotea kwa miaka mitano yamerudi kuwa ni yaleyale ingawa yafanywa kichinichini yaani "low profile".

Watanzania wapaswa kuukataa mwenendo huu na kulazimisha utekelezwaji wa kuishughulikia rasimu ya katiba mopya kama ilivyopendekezwa na mheshimiwa jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba.
Upo sahihi lakini kuna jambo moja inabidi tulifanye hapa JF. Natamani kuona siku mods wapandishe mada humu kuhusu KATIBA MPYA na wazuie wengine kupost chochote tofofauti kwa wiki 1 siku 7 mfululizo. Tujadiliane hadi tufikie hitimisho la ujumbe wa kupeleka kwa Watanzania!
Kama umefuatilia hiki kipindi cha Sensa utagundua kuwa serikali inawaogopa sana wazee na watu wa vijijini. Walikuwa wakigoma kuhesabiwa wanafuatwa na kubembelezwa. Sasa ujumbe wa Katiba Mpya unatakiwa ufike kule chini. Serikali ya Tanzania inajua kudeal na wanasiasa lakini inawogopa sana wale wananchi wanaodhani wanataka fadhila za tisheti, khanga, sukari na lift! Ambao ndo wapiga kura wengi wasiojua matokeo ya ulaghai wanaofanyiwa!
Imetosha sasa! Tubadilike wana JF. Hakuna haja kumaliza herufi kuandika riwaya humu kama kufanya hivyo hakuleti tija. Hata ikiwezekana Maxence Melo alete intergration ya sauti watu waongee. Tupo wengi tunaweza kuwapa Watanzania matumaini ambayo madalali na machinga wa kisiasa wameshindwa hadi leo!

Nawasilisha!
cc PASKALI Salary Slip johnthebaptist OKW BOBAN SUNZU Maxence Melo Kalamu Erythrocyte Extrovert et al
 
Enzi za kikwete Sheli na biashara zote zilikua za Ridhiwan
 
Screenshot_20220830-151022_WhatsApp.jpg
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?

Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?

Kazi kwenu!.

Yaani who is TISS by the way ! Yaani unawaambia TISS wamsaidie Mama . TISS yenyewe ipo under the control ya UTIIFU.

Wananchi mumsaidie Mama na mfanye Maamuzi sahihi

Mkitaka mtoeni mama 2025 , kwa kweli alipotufikisha IMETOSHA , na mkipenda 2025 tafuteni mtu mwenye sifa za JPM , Watanzania wanahitaji viboko vya kichwani

Kama mnaona Mwigulu anasifa za JPM , haya twende kazi
 
Hiyo kampuni mmiliki halisi ni Nañi? Na kama ni Mwigulu Nchemba ameikabidhi Kwa board of trustee waiendeshe na yeye kukaa pembeni?

Pili bill of loading ni dollar ngapi na calculation ya ushuru ni shilling ngapi? Lete details.
Hivi huyu waziri ukimwambia budget ya SGR atakwambiaje
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?

Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?

Kazi kwenu!.
Labda anataka kujiuzulu na kujikita zaidi kwenye Biashara
 
Upo sahihi lakini kuna jambo moja inabidi tulifanye hapa JF. Natamani kuona siku mods wapandishe mada humu kuhusu KATIBA MPYA na wazuie wengine kupost chochote tofofauti kwa wiki 1 siku 7 mfululizo. Tujadiliane hadi tufikie hitimisho la ujumbe wa kupeleka kwa Watanzania!
Kama umefuatilia hiki kipindi cha Sensa utagundua kuwa serikali inawaogopa sana wazee na watu wa vijijini. Walikuwa wakigoma kuhesabiwa wanafuatwa na kubembelezwa. Sasa ujumbe wa Katiba Mpya unatakiwa ufike kule chini. Serikali ya Tanzania inajua kudeal na wanasiasa lakini inawogopa sana wale wananchi wanaodhani wanataka fadhila za tisheti, khanga, sukari na lift! Ambao ndo wapiga kura wengi wasiojua matokeo ya ulaghai wanaofanyiwa!
Imetosha sasa! Tubadilike wana JF. Hakuna haja kumaliza herufi kuandika riwaya humu kama kufanya hivyo hakuleti tija. Hata ikiwezekana Maxence Melo alete intergration ya sauti watu waongee. Tupo wengi tunaweza kuwapa Watanzania matumaini ambayo madalali na machinga wa kisiasa wameshindwa hadi leo!

Nawasilisha!
cc PASKALI Salary Slip johnthebaptist OKW BOBAN SUNZU Maxence Melo Kalamu Erythrocyte Extrovert et al
upo sahihi mkuu. ifike hatua JF tuwe na ajenda rasmi ya kuisimamia na kuipazia sauti usiku na mchana
 
Nawasilisha!
cc @PASKALI @Salary Slip @johnthebaptist @OKW BOBAN SUNZU @Maxence Melo @Kalamu @Erythrocyte @Extrovert et al
Mkuu Jp Omuga,
Ukiangalia thamani ya mijadala inayoendelea ndani ya jukwaa hili siku hizi utajuwa tulipofika kama nchi.

Ndiyo maana utaona hata mabadiliko ya wachangiaji wengi katika mada ni za kusifu au kukashifu tu; hakuna majadiliano ya kina juu ya hoja zinazoelimisha na kushauri.

JF sana sana, sasa hivi imebaki na sifa za jina tu basi, hakuna mijadala mizito.

Ukiona hata watu makini wanapoingia humu na kuchangia chochote, hawatumii ule umakini uliokuwepo hapo zamani; umakini wa kutafuta taarifa sahihi na kuziwasilisha kimpangilio.

Baada ya kuandika haya, hoja yako juu ya katiba ni nzuri sana, lakini sioni jinsi inavyoweza kujadiliwa humu kwa mtindo wa mijadala ilivyo siku hizi.

Sijui kama mada 'serious' kama hiyo itapata wachangiaji ndani ya jukwaa hili kwa jinsi lilivyokaa siku hizi.

Kazi iliyopo siku hizi kwa wachangiaji ni kurashiarashia tu kwenye uandishi bila kujali uzito wa yanayotakiwa kuwasilishwa.

Sijui, labda Maxence anajuwa jinsi ya kutengeneza pawepo na umakini unaotakiwa kwenye mada ya aina hiyo.
 
Amerithi kwa wajomba zake wa Unyankindi na Kititimo.Mumuache alete mahela mjini.Zubaa uzikwe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wajomba nao utajiri wa ghafla wameutoa wapi?
Mwigulu "alijisifu" mwenyewe kuwa katoka familia masikini kuwa viatu vya kwanza kavaa sekondari kwa hiyo hawakuwa na uwezo wa kumnunulia viatu
 
Mmiliki wa hiyo kampuni ni mzee mmoja hivi anakaa Kimara Baruti!! Kuna bar inaitwa Hawaii baruti pale,upande wa pili wa hiyo bar nyuma nyuma tu kidogo ndo kuna ghorofa yake!! Nyuma ya sheli ya Puma tuseme!! Tunakulaga nae vichungu baruti hapo!! Hata hafananii
Naamini ester ni kampuni ya ester matiko mbunge na alianza na gari moja tu mwaka 2016/2017 na unaona hata zina rangi ya chama chake chadema,ni dem wa mwigu pia wa siku nying na kama ni kweli ndiyo maana imekua rahisi kuagiza kwa jina lake
 
Back
Top Bottom