Waziri anayemiliki jumba la kifahari ufukweni Dubai atajwa

Anaitwa nani!? Mbona hakuna sehemu aliyotajwa!?
 
Ninamuona hapo kwenye picha kulia amevaa kapelo.
 
SIO AJABU! Tattizo hana biashara wala chanzo chochote cha uwezo wa kumiliki mali hizo. MAANA YAKE NI MWIZI
Unajua kwamba hana biashara wala chanzo chochote cha uwezo wa kumiliki mali hizo?Tutajie jina?
Tatizo la watanzania wengi ni roho ya korosho.Sio kila mwenye uwezo ni mwizi.
 
Hakuna jina hakuna nyumba. Hizi ni porojo tu kama porojo zingine.
 
Sikuwahi kujua kwamba kumiliki nyumba Dubai ni haramu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Umaskini wa akili ni tatizo kubwa sana Nchi hii ndio maana haiendelei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…