Waziri Bashe amjibu Tundu Lissu kuhusu Wabunge kufanya biashara ya pamba, amwambia 'Mbona Mwenyekiti wake alikuwa Mfanyabiashara na Mbunge'

Upumbavu wa hii inchi upo kwenye mambo yafuatayo.
1. Kutokuwa/kutofuata maadili.
2. Kutokuwa na hofu ya Mungu.
3. Kutokutii sheria,kanuni,miongozo na taratibu.
4. Katiba kutokufuatwa.

Kuanzia juu (Rais) ambaye ndiye mtendaji mkuu wa inchi anayepaswa kufuata katiba kama "msahafu" wa Taifa, anakengeuka, huku chini ni nani atakayekuwa tayari kufuata sheria, kanuni na taratibu tulizojiwekea!!??

Tumesikia na kuona kwa masikio na macho yetu ya nyama kuwa Mh. Rais anasema kwamba anaona aibu kumchukulia hatua mtu aliyemzidi umri, hapo kweli tunategemeaje hawa wa chini waweze kuchukua hatua kwa wanaofanya makosa!!!??

Tumesikia na kuona Mh. Rais akitamka kuwa ni ruksa watu wale kwa urefu wa kamba zao, sasa hapo unategemea yule Afisa Mtendaji wa Kijiji asichukue rushwa kwa mwanakijiji anayehitaji kugongewa muhuri tuu!!??

Tuna tume ya maadili ambayo mpaka kesho hakuna anayejua inalisaidiaje taifa katika kuhakikisha tunakuwa na viongozi wasio na makando kando ya "kimaslahi"!!

Utatuzi ni tuanze upya kwa kuandila katiba mpya ambayo kila mwananchi awe kiongozi au raia wa kawaida itamtia hofu ya kufanya tofauti na katiba inavyosema.
 
Wabunge na Mawaziri wa CCM waache exploitation sisi sote ni Watanzania.
 
Conflict of interest apo inatokea mimi daktari leo Nikiwa na Pharmacy nje ya hospital ni sawa?
 
watanzania bhana kila siku Nchi nchi nchi nchi hivi nyie hamwezi kuishi maisha yenu na kuacha maisha ya nchi yaendeleee , hiv kama ww una akili timamu kwann usikomae na maisha yako badala ya kuzungumzia kitu usichoweza kukibadilisha, PUMBAVU KABISA HAMENI NCHI MWENDE NCHI NZURI
 
Dalili ya wivu huanza kwa malalamiko
 
Hili jambo angeacha lisemwe na wasio na mgongano wa maslahi. Atulie atadhalilika
 

Mbowe sio mwenyekiti wa bodi ambayo inapanga bei ya mazao ambayo yeye mwenyewe ndiye mnunuzi mkubwa!

Gachuma ni mwenyekiti wa bodi ya Pamba. Bodi ya Pamba ndiyo wapanga bei ya Pamba. Gachuma ndiye munuzi mkubwa wa Pamba🤔 Hii ina uhusiano gani na mbowe. Kama Gwachuma anafanya biashara basi atoke kwenye bodi huu ni wizi wa wazi
 
Kumbe sometimes kichwani unakuwaga siyo MTUPU
 
Kwa hiyo kama Mbowe alikuwa na mgongano wa Masilahi na viongozi wa CCM nao wawe na mgongano wa masilahi?
Bashe hajajibu hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…