AGROPRODUCT
JF-Expert Member
- Apr 2, 2023
- 290
- 952
Kuna wakulima wengi Kwa Hali ya mazao mwaka huu wanaokwenda kukata mitaji kama hawatapata SoMo la uhakika litakaliwasadia kurudisha gharama zao za kilimo , wamelima Kwa gharama kubwa Hali ya mavuno wanakataa mitaji mfano mwengine Kuna Bwana Moja Anaitwa Abdi pale pori namba moja amelima zaidi ya ekari 500 Kwa gharama zaidi ya Milioni 100, unazani Kwa hali ya mwaka huu anaweza kurudisha gharama zake kama hatopata Bei nzuri. Mwingine Tyson anayelimia Ngabolo ametumia zaidi ya Milioni 35, na Mahindi hawezi kuzidi Gunia 400 unafikiria anahitaji apate Bei gani Eli awezi kurudisha gharama zake?
Mfano mwingine Kuna Bwana Mwengi Anaitwa Abdilahi yeye ametumia zaidi 35milioni kwenye mashamba take huko lekumashi , unadhani nayeye ni rahisi kurudisha gharama zake?
Mfano mwingine Kuna Bwana Mwengi Anaitwa Abdilahi yeye ametumia zaidi 35milioni kwenye mashamba take huko lekumashi , unadhani nayeye ni rahisi kurudisha gharama zake?