Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Msitake kuleta uchonganishi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikumbuki, wala sina taarifa ya yeyote.lakini hiyo sio sababu ya kusema haiwezekani kufanyiwa hayo.Waziri gani amewahi shitakiwa na kuhojiwa na police tangu tupate uhuru?
Umeona amri anazotoa majukwaanì?ni wapi mwenezi amejigeuza Rais wa nchi!!huo u MC anaoufanya kwa watendaji mbali mbali mbele ya wananchi au kuna jingine!!!
nchimbi sio mwenezi,ni katibu mkuu wa chama.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!! Swali maridhawa hilo ndugu.Maana kule ndio 'ngao' yake.Na kwenye chama bosi wake nani?
Huyu fala tu kama mafala wengineOna sasa
Sema tu wananchi tunadharauliwa sana lakini huyu hakupaswa kuendelea kubaki ofisini.Bashe, unajua maana ya chama kushika hatamu za uongozi?
Kwa nini sukari bei imepanda?Sema tu wananchi tunadharauliwa sana lakini huyu hakupaswa kuendelea kubaki ofisini.
Yaani Wizara imemshinda kabisa!
Iko wapi BBT?
Bei ya sukari ikoje sasa hata baada ya kutoa kwake bei elekezi uchwara?!
Mengine mtaongezea
Akitoka mie kwngu shamgwe sana tupate idea mpya maaana yye kashachokaHakuna mtu aliyewahi kujibizana na comredi Makonda akaendelea na nafasi yake,naona Bashe kaichoka nafasi yake
Wapigakura wake wa Nzega mmemsikia mbunge wenu mliyempigia kura! Huyo amewatosa."Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2885428
View attachment 2885860
Kajikomboa, angekuwa Kenya alishazipiga live, hataki ujinga ujinga Bashe.Kumekucha
Kaukana unyonge 😂
Mpaka sasa amefanya nini?huo utaratibu unatusaidia nn wananchi???
Makonda piga kazi nchi mbovu sana hii
Takukuru, polisi na mahakama hawawezi kumwita na kumhoji? Na yeye ajue sheria inasemaje."Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2885428
View attachment 2885860
Wananchi hawawezi kumhoji; yeye ni bosi. Matamko mengine ni ya kijinga sana. Kama waziri hakutakiwa kutoa tamko la kipuuzi kama hilo. Sifa mojawapo kuu ya uongozi ni kuwa humble"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2885428
View attachment 2885860
Kamuulize Bashe, ila ninachojua ni atakupa sababu za kipuuzi tu ikiwemo hali ya hewaKwa nini sukari bei imepanda?
Kalewa madarakaWananchi hawawezi kumhoji; yeye ni bosi. Matamko mengine ni ya kijinga sana. Kama waziri hakutakiwa kutoa tamko la kipuuzi kama hilo. Sifa mojawapo kuu ya uongozi ni kuwa humble
Polisi sio mtu ni taasisiKwahiyo hata akivunja sheria, polisi hawana ruksa kumuita kumuhoji au yeye ndo atawaita polisi kuwahoji??
Au Mimi ndo cjaelewa 😂😂😂
Wazee I was joking nothing serious, punguzeni kuni qoute 😂😂😂
Ni changamsha Uzi tu