Waziri Bashungwa aagiza ukamilishaji wa ujenzi wa vituo vya afya 233 kabla ya Aprili 2022

Waziri Bashungwa aagiza ukamilishaji wa ujenzi wa vituo vya afya 233 kabla ya Aprili 2022

Upuuzi watu tuna hasira mtaani
Screenshot_20220327-181559.jpg
 
Usipanick, tengeneza jedwali weka details za hivyo vituo vilipo ili kuniproove wrong. Kinyume na hapo kawalisheni mapeasant huko bush na watu waliopoteza ramani hizi porojo mfu.
Huyu jamaa sijui magufuli alimshika pabaya sehemu gani maana nichuki mwanzo mwisho. Mpango wa kujenga Hospiali za kanda, za rufaa, za wilaya na vituo vya afya na zahanati uliashinzishwa na awam ya tano ambapo huyu mama alikuwa makamu wa rais. Mpaka Magufuli anafariki kuna hospitali kadhaa za kanda zilikuwa zinajengwa, hospitali za wilaya almost kila wilaya ilikuwa inajenga hospitali na nyingine zilikuwa katika maandalizi ya ujenzi , vituo vya afya vilikuwa vinajengwa vingi tu. Huyu mama alicholeta kipya ni Tozo tu lakini kuhusu miradi mingi ni ileile ya awamu ya tano ndiyo anaendelea nayo (siyo kitu kibaya maana ndiyo majukumu yake). Sasa huyu mbwiga anayejiita COST FALLA anadhani huyu mama yake kaleta kitu kipya ambacho hakikuwepo wakati wa awamu ya tano. 95% ya anayotekeleza huyu mama mizizi yake imeanzia awamu ta tano hakuna jipya lolote la maana aliliianzisha LABDA TOZO, KUMBAMBIKIA MBOWE KESI YA UGAIDI NA KUMTOA LUPANGO + VITU KUPANDA BEI JUU KWA KASI YA 5G KWA KISINGIZIO CHA KORONA NA VITA YA URUSI NA UKRAINE.
 
Una akili timamu? Kwa hiyo unaajiri watumishi bila kujenga 😆😆😆😆.

Hata ifike 2025 usipokuwa hospital wewe utakuwa imepigwa na stroke kwa wivu na chuki
HiZo hospitali zinamsaidia vipi mlala hoi au unafurahia majengo tu
 
Huyu jamaa sijui magufuli alimshika pabaya sehemu gani maana nichuki mwanzo mwisho. Mpango wa kujenga Hospiali za kanda, za rufaa, za wilaya na vituo vya afya na zahanati uliashinzishwa na awam ya tano ambapo huyu mama alikuwa makamu wa rais. Mpaka Magufuli anafariki kuna hospitali kadhaa za kanda zilikuwa zinajengwa, hospitali za wilaya almost kila wilaya ilikuwa inajenga hospitali na nyingine zilikuwa katika maandalizi ya ujenzi , vituo vya afya vilikuwa vinajengwa vingi tu. Huyu mama alicholeta kipya ni Tozo tu lakini kuhusu miradi mingi ni ileile ya awamu ya tano ndiyo anaendelea nayo (siyo kitu kibaya maana ndiyo majukumu yake). Sasa huyu mbwiga anayejiita COST FALLA anadhani huyu mama yake kaleta kitu kipya ambacho hakikuwepo wakati wa awamu ya tano. 95% ya anayotekeleza huyu mama mizizi yake imeanzia awamu ta tano hakuna jipya lolote la maana aliliianzisha LABDA TOZO, KUMBAMBIKIA MBOWE KESI YA UGAIDI NA KUMTOA LUPANGO + VITU KUPANDA BEI JUU KWA KASI YA 5G KWA KISINGIZIO CHA KORONA NA VITA YA URUSI NA UKRAINE.
Bora mimi nilishikwa wewe utakuwa uliolewa kabisa..

Ulivyo jaa usaha kichwani huyo Magufuli wako alikuta hapa Tanzania hakuna mipango ya kujenga hayo uliyoyaeleza na hakukita hizo hospital za Kanda na vituo vya afya hivyo alianzisha na kujenga yeye sio ? 😂😂😂 Fala wewe mwenye chuki.

Tunarudi kwenye Takwimu Samia amejenga vituo 233 kwa mwaka 1, haya wewe usiye na Chuki tueleze miaka 6 ya Mwendazake alijenga vituo vingapi?
 
Ulivyomjinga sasa, ulijua kabisa kwamba, Uzi wako in wa kipumbavu na kijinga, ukaamua ili ujadiliwe basi utaulazimisha kwa Ku Quote kuendekeza upumbavu wako ili ujivune kuwa Uzi ulipata wachangiaji siyo?

Fisi Mkubwa weww
Mojawapo ya hao wachangiaji wapumbavu ni wewe hapo.
 
Back
Top Bottom