Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Kama ndivyo basi chanjo inaongeza nguvuKwani kaongea nini cha ajabu,sasa mnafikiri kwamba huyo mama hapigi show?
Ana uzee gani?
Ila ni kweli kuna jamaa yangu kachanja anakwambia alipiga show ambayo hakuwahi kupiga miaka hii ya karibuni,mpk wife analalamika...
Sure! Usishangae soon mabaharia wakianza kuichangamkia. Hapo odo ameipromote chanjo bila yeye kujuaKama ndivyo basi chanjo inaongeza nguvu
Kila mwili utapokea chanjo vile unataka,kuna bosi wangu mmoja yeye kapiga ya AstraZeneca hakutuambia mambo ya nguvu za kiume isipokuwa kuna namna mwili ulivyopokea chanjo kwa siku mbili tatu ila kwa sasa yuko kawaida as usual...Kama ndivyo basi chanjo inaongeza nguvu
Hawa ndio viongozi wa serikali ya Tanzania
Kila mwili utapokea chanjo vile unataka,kuna bosi wangu mmoja yeye kapiga ya AstraZeneca hakutuambia mambo ya nguvu za kiume isipokuwa kuna namna mwili ulivyopokea chanjo kwa siku mbili tatu ila kwa sasa yuko kawaida as usual...
ahahahaa nileteeni gwajima nileteeeni gwajima nileteeni gwajimaaaaaaaWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
ngoja na wataliban waje kutest mitambo umetoa siriWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
katolewa bikraKwa hiyo ni mjamzito?? Au ufiti gani anaongelea?
Hakuna kitu kama hicho,japo mimi bado ila nitachanja kabla wiki haijaisha,nawasihi chanjeni kipindi hiki ambacho kuchanja ni bure kuna kipindi utajuta kama hukuchanja, halafu una jambo haliwezi kwenda mpk uwe na kadi ya kuchanja uviko19...Dunia ndo ishabadilika mkuu huna ujanja wa kwenda tofauti na wakulungwa.Basi wajiandaae kuwa mazombi
mazombi yana nguvu sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Dr.shika akili mingi sanaRef; Dr. Shika ni humo humo Mkuu
Huyu mama hafai kushika wizara nyeti Kama hiyo,akiimaliza hii awamu akiwa waziri wa afya ashukuru Mungu,sioni future nzuri kwa huyu mama tangu enzi za Magufuli,asipobadilika huyu mama ataishia pabaya.Ila huyu waziri tulipigwa asee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mic u mom[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lazima umuelewe tu.
Ha ha ha !Ila huyu waziri tulipigwa asee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Shangaa. As if dose 1M zilizokuwa zinakaribia kuexpire ndio muarobaini wa waTZ.Anatumia nguvu nyingi sn kwenye swala la chanjo
Subiri Chidy boy (gwajey) akunyooshe jpili kanisani kwake Ubungo
Ungebaini Kama mzee alitest mitambo JanaππππHuyu maza huyu dah πππ angekuwa maza angu sijui sura ningeificha wapi akyanani
Ninashauri wateule wa Rais wapitie "MIREMBE"WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'....