#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

Ni kama dishi limeyumba hivi,hamuoni mwenzake ummy alivyo tulia,mme wake ana kazi sana.
Anajua akili zenu... Wacha aishi sawa sawia na matendo yenu..
 
Dah [emoji23][emoji23][emoji23] nashukuru mungu sijakutanaga na hizo namba
Mzee unaambiwa mshikaji wangu alioa hilo kabila ndani ya mwezi alibaki kama njiti za kiberiti, jamaa aki tip mchanga anaambia jaza tena na tena na tena karibu aikimbie nyumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanapenda dyudu kupitilza halafu wanacheza hadi mechi za nani kwa ndani
 
Huyu mama kumbe nae ni mzee wa mipasho!
Haya bhana tutasikia mengi sana mpaka wimbi hili la covid-19 litakapotulia, nasubiri na kauli ya Mollel kuhusu mke wake!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mkuu umefanya siku yangu iishe vizuri, nimecheka sana wallah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi huyu Waziri aliokotwa wapi?
 
Mzee wakazi kateste papuchi kaikuta ipo manato kazi indelee.
 
Waziri wetu ni mcheshi kupitiliza,kwa jinsi alivo namuona ana kipaji pia Cha uchekshaji (stand-up comedy)

Umemuona alipokuwa anahojiwa alivyokuwa anaweka pozi
Yaani anaangalia juu si juu pembeni si pembeni yaani ni burudani Tosha

Halafu majibu sasa [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…