Hivi hujapata funzo hapo bado au wewe joka wa mdimu..but this is petty.
..hivi kulikuwa na haja ya kuandika haya kwenye kitabu chake?
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hujapata funzo hapo bado au wewe joka wa mdimu..but this is petty.
..hivi kulikuwa na haja ya kuandika haya kwenye kitabu chake?
Uungwana nyie uzao wa Kaini hamuwezi kuwa nao lakini kama mtu katolewa ghafla unamuambia toka basi vitu vyake muachie usimporeNa ni yeye Mwinyi ambae hakuwa muungwana.
Alitaka waziri afanyeje, amtunzie mirunda na mi kokoto yake mbele ya nyumba ya Waziri?
Au waziri asinunue vya kwake kwa sababu hakuna nafasi ya kuvitunza nyumbani kwake ?
Na kama mtu umemwona ni mdhulumati kwa nini umempa uwaziri, ili atuibie ?
Wana bahati sana wanaandika vitabu vya gibberish kama hizi huku Afrika ambako hakuna audience ya kuchambua pumba na michele wanayoisema
Mwinyi alikuwa na bado no muungwana. Mwinyi alijiuzulu na akachaguliwa waziri mwengine mpaka wakati huo alikuwa na saruji mifuko 100 na bati 150 (si mirunda na kokoto ka.a unavyodai) hivyo alipopata pa kuviweka alirudi kuvichukua na akazuiwa, sasa hapo yeye amekosa uungwana gani ? Natepe kumganyia visa mwinyi, si kwamba aliifanyia Tanzania nzima, hakufanya mahusiano yao binafsi yaathiri manufaa jamuhuri ingepata kwa utumishi wake na hiyo ilikuwa sehemu ya kiapo chake.Na ni yeye Mwinyi ambae hakuwa muungwana.
Alitaka waziri afanyeje, amtunzie mirunda na mi kokoto yake mbele ya nyumba ya Waziri?
Au waziri asinunue vya kwake kwa sababu hakuna nafasi ya kuvitunza nyumbani kwake ?
Na kama mtu umemwona ni mdhulumati kwa nini umempa uwaziri, ili atuibie ?
Wana bahati sana wanaandika vitabu vya gibberish kama hizi huku Afrika ambako hakuna audience ya kuchambua pumba na michele wanayoisema
Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe, mzee Ali Hassan Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Hassan nasoro Moyo.
’Kama mtu anaukataa mkono wako na wewe kataa mkono wako kufanya mambo yake, ajifunze ajue mkono wako una thamani, haiwezekani mbele ya watu unatoa mkono anaukataa halafu unatoka kwenda ofisini unasema unasaini hapa hela ya huyu kwenda kutibiwa’:-JPM
Alirudi kuvichukua baada ya muda gani ?Mwinyi alikuwa na bado no muungwana. Mwinyi alijiuzulu na akachaguliwa waziri mwengine mpaka wakati huo alikuwa na saruji mifuko 100 na bati 150 (si mirunda na kokoto ka.a unavyodai) hivyo alipopata pa kuviweka alirudi kuvichukua na akazuiwa, sasa hapo yeye amekosa uungwana gani ?
Leo MATAGA mnasema CCM hajaanza udhulumati leo? Ama kweli hujafa hujaumbikaKatika kitabu cha kuelezea maisha yake mstaafu Mwinyi anasema alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani Waziri aliyechukua nafasi yake alimtaka ahamishe haraka mizigo yake ili yeye ahamie kwenye nyumba ya serikali aliyokuwa anakaa mzee Mwinyi.
Mzee Mwinyi alishindwa kuhamisha vifaa vyake vya ujenzi wa nyumba yake ya mikocheni kwa mwalimu, yule waziri akamdhulumu.
Pamoja na ubazazi na udhulmati wa waziri huyo lakini mzee Mwinyi alipochaguliwa kuwa Rais wa JMT alimchukua waziri huyo kwenye baraza lake la mawaziri.
Waziri huyo ni nani?
Wahenga Pascal Mayalla, Mohamed Saidi na Mrangi nikumbusheni!
Kazi Iendelee.
Habari hii ni ngeni kwako, lakini si kwa kila mtu. Hujui lakini ilikuwa 'stori' iliyovuma wakati fulani. Hata hivyo wewe usiyejua mwinyi alielezwa kwa muda gani akachukue vitu vyake, na kuwa ni stori ya upande mmoja, unasemaje Mwinyi si muungwana kwa kusikia upande huo huo mmoja ?Alirudi kuvichukua baada ya muda gani ?
Hii ni hadithi ya upande mmoja, hujui Waziri alihangaika vipi kumsihi aje kuchukua mabati yake yenye kutu na tetanus hatari kwa watoto wa waziri.
Na Mwinyi mwenyewe kasema sasa hivi kapoteza kumbukumbu, ikifika mchana hajui asubuhi aliamkia wapi. Sasa unaandika leo kitabu cha miaka 40 iliyopita, unakumbukaje Waziri alivyohangaika kukutafuta?
Mwinyi hakuwa muungawana.
Alirejesha mwenyewe kwa hiyari miaka mzee Mwinyi alipokuwa raisiHiyo siyo sifa. Alilea mwizi, shame on him.
Huyu bwana asamehewe tu. Ni chuki kwenda mbele.Hivi hujapata funzo hapo bado au wewe joka wa mdimu
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Kwani wewe hakuna kitu umejifunza hapo??..but this is petty.
..hivi kulikuwa na haja ya kuandika haya kwenye kitabu chake?
Hakutolewa ghafla, alijiuzuru mwenyewe na alijua anatakiwa ahame na mazaga zaga yake yote.Uungwana nyie uzao wa Kaini hamuwezi kuwa nao lakini kama mtu katolewa ghafla unamuambia toka basi vitu vyake muachie usimpore
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Ingekua jiwe je? Sipat picha ya kisasi chake alivyokua na chuki yule baba duuhHuyu mzee yupo vizur sana mungu amtunze miaka tele, Wangekua wengine wangesha weka chuki na angemsotesha
😂😂😂😂😂😂Late Major General Abdalah Natepe