Waziri Gwajima tengua uamuzi wako wa kuunga mkono sheria ya maadili Arusha, hili ni bomu unatengeneza

Waziri Gwajima tengua uamuzi wako wa kuunga mkono sheria ya maadili Arusha, hili ni bomu unatengeneza

Kwamba kwa sababu kuna viongozi na vijana wa hovyo kila sehemu basi juhudi za kurekebisha zifutiliwe mbali na kusahaulika kabisa?

Ukitambua kwamba hao Viongozi unaowalaumu ni zao halisi la jamii zetu utaelewa ni kwanini hiyo jamii ya hicho kijiji imechukua hatua hizo katika jitihada za kulinda maadili na Tamaduni zao.

Watanzania hawawezi kuwalaumu hao viongozi kwa maana wao na hao ni zao kutoka shamba moja japo mbegu tofauti.

Hatua ya hiyo jamii kusimamia Mila, Tamaduni na Maadili yao ni Nzuri mno na yenye kufaa kuigwa na kila mwenye upeo unaojitegemea na mwenye kutambua umuhimu wa kesho yetu iliyosafi na utaifa wetu kwa Umoja wetu mbali ya tofauti zetu za kikabila na kiImani.




Tujifunze kushirikiana katika kheri tunapopata japo kiongozi mmoja mwenye nia thabiti ya kushirikiana na sisi kuyafikia malengo yetu na ya jamii zetu.







PS; Tafadhali acha kumfokea Doctor Gwajima na hizo CAPS zako, kuwa na Adabu.
Mkuu kujadiliana na mama yangu kwa hoja ndio kufokeana.Acha nidhamu ya uoga ya kushindwa kuwaambia watu tuliowapa dhamana ya kutuongoza ukweli na kiini cha tatizo.
Mwalimu nyerere alitufundisha hulka ya kuhoji viongozi bila uoga au unafiki sababu wana dhamana ya kutuongoza
 
Hayo Mambo ya maadili ni ya maafisa utamaduni, zenji nao kule mwanaume akikutwa kasuka faini.
 
Kwamba vigilantism ndiyo suluhisho la mmomonyoko wa maadili?
Inawezekana, mtu mzima na akili timamu unashinda msikitini siku nzima kuteta wanaume wenzako wanaofanya kazi ama kujituma, wewe unashindwa nini kufanya kazi? Au kwenda unashinda makanisani kulia na kuimba huna muda wa kutafuta kazi ukitegemea Yesu atakuja kukupa kazi kupitia kwa manabii wa kishikaji
Kwamba vigilantism ndiyo suluhisho la mmomonyoko wa maadili?
Inawezekana, mtu mzima na akili timamu unashindaje msikitini siku nzima kuteta wanaume wenzako wanaofanya kazi ama kujituma, wewe unashindwa nini kufanya kazi? Au kwenda unashinda makanisani kulia na kuimba huna muda wa kutafuta kazi ukitegemea Yesu atakuja kukupa kazi kupitia kwa manabii wa kishikaji huu pia ni mmomonyoko wa maadili maana wananchi wanakuwa wanafiki kuendekeza dini za watu zisizo na mashiko kwetu mwisho wa siku taifa letu linabaki na wananchi mambumbumbu wasio na elimu ila wanaishi kimatumaini tu kwa kufuata dini za watu.
 
Kwamba kwa sababu kuna viongozi na vijana wa hovyo kila sehemu basi juhudi za kurekebisha zifutiliwe mbali na kusahaulika kabisa?

Ukitambua kwamba hao Viongozi unaowalaumu ni zao halisi la jamii zetu utaelewa ni kwanini hiyo jamii ya hicho kijiji imechukua hatua hizo katika jitihada za kulinda maadili na Tamaduni zao.

Watanzania hawawezi kuwalaumu hao viongozi kwa maana wao na hao ni zao kutoka shamba moja japo mbegu tofauti.

Hatua ya hiyo jamii kusimamia Mila, Tamaduni na Maadili yao ni Nzuri mno na yenye kufaa kuigwa na kila mwenye upeo unaojitegemea na mwenye kutambua umuhimu wa kesho yetu iliyosafi na utaifa wetu kwa Umoja wetu mbali ya tofauti zetu za kikabila na kiImani.




Tujifunze kushirikiana katika kheri tunapopata japo kiongozi mmoja mwenye nia thabiti ya kushirikiana na sisi kuyafikia malengo yetu na ya jamii zetu.







PS; Tafadhali acha kumfokea Doctor Gwajima na hizo CAPS zako, kuwa na Adabu.
Mkuu unajua maana ya kufoka na kukosa adabu????
Mbona vijana wa kitanzania mnakua waoga wa kujadiliana ukweli bila aibu wala kupepesa macho na watu tuliowapa dhamana ya kutuongoza???
Kiongozi lazima aambiwe ukweli sababu ana dhamana tuliyompa ya kuongoza watu.
CK: Maneno kama unamfokea kiongozi au huna adabu au huna nidhamu,ni maneno ya nidhamu ya kujipendekeza na nidhamu ya uoga na unafiki.Ambayo vijana wa CCM wa miaka ya 80,s chini ya Mwalimu Nyerere hatukulelewa hivyo.
 
Inawezekana, mtu mzima na akili timamu unashinda msikitini siku nzima kuteta wanaume wenzako wanaofanya kazi ama kujituma, wewe unashindwa nini kufanya kazi? Au kwenda unashinda makanisani kulia na kuimba huna muda wa kutafuta kazi ukitegemea Yesu atakuja kukupa kazi kupitia kwa manabii wa kishikaji

Inawezekana, mtu mzima na akili timamu unashindaje msikitini siku nzima kuteta wanaume wenzako wanaofanya kazi ama kujituma, wewe unashindwa nini kufanya kazi? Au kwenda unashinda makanisani kulia na kuimba huna muda wa kutafuta kazi ukitegemea Yesu atakuja kukupa kazi kupitia kwa manabii wa kishikaji huu pia ni mmomonyoko wa maadili maana wananchi wanakuwa wanafiki kuendekeza dini za watu zisizo na mashiko kwetu mwisho wa siku taifa letu linabaki na wananchi mambumbumbu wasio na elimu ila wanaishi kimatumaini tu kwa kufuata dini za watu.

Washinda/wakesha makanisani au misikitini sio walengwa wa hizi decrees mkuu.

Na hata ingekuwa wao bado suluhisho sio kuwatoza faini au kuwachapa viboko.
 
Asante kwa mchango wako Mkuu, nina swali kidogo hapa... kuna jamii ambazo wanavaa vipisi vya nguo kama utamaduni wao na husikii mambo ya kumomonyoka kwa madili wala vitendo vya ukatili... suala la kumsababishia mtu ushawishi sababu fulani kavaa nguo fupi au iliyochanwa sio kwamba inatumika kama kisingizio cha kuhalalisha vitendo vibaya kufanyika? Unatenda kosa na kumtupia mtu lawama kwa kushindwa kutuliza tamaa zako?Mkuu,

Asante kwa mchango wako Mkuu, nina swali kidogo hapa... kuna jamii ambazo wanavaa vipisi vya nguo kama utamaduni wao na husikii mambo ya kumomonyoka kwa madili wala vitendo vya ukatili... suala la kumsababishia mtu ushawishi sababu fulani kavaa nguo fupi au iliyochanwa sio kwamba inatumika kama kisingizio cha kuhalalisha vitendo vibaya kufanyika? Unatenda kosa na kumtupia mtu lawama kwa kushindwa kutuliza tamaa zako?
Asante mkuu kwa swali hili.
Nami nikuulize kidogo.
1. Je, hiyo jamii ipo wapi hapa Tanzania?
2. Hiyo jamii ndo mtindo wao wa kuvaa vipisi na kukatiza navyo katika mitaa yao siku zote na wakati wowote!?
3. If Yes for no. 2 above, Je, huo utamaduni ni sawa kwako hata kama unaathiri jamii nyingine!?
4. Kuna jamii pia ilikuwa na utamaduni wa kukeketa watoto wa kike huku jamii zingine zikipinga huo utamaduni hadi serikali ikaingilia kati na kukomesha huo utamaduni. Sasa je, kwa mawazo yako, jamii na serikali kupinga huo utamaduni walikosea kwa sababu waliingilia tamaduni za jamii ile!?
Naomba unijibu kwanza hayo mkuu.
Natanguliza shukrani 🙏🙏🙏
 
Kizazi cha singeli amapiano

Kazi kwerikweri

Ova
 
Back
Top Bottom