Huyu anaogopa kuoindukiwa Urais na wenzake 2025, kwahiyo anaanza kutoa rushwa kwa watu wenye mizizi mirefu JWTZ, aache uoga
Afande we la kwako si la kutekea watu au unabebea fleva za nyeto.safi sana, hutaki kvnya boga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana tuendelee kusubiri taifa la kesho!
Mara uzee huo..., bila hodi unaibukia taifa la tasaf!
Tuendelee kusoma namba
Si Msuguri naye yupo? Majuzi alifikisha miaka 100Mwamunyange
Mabeyo
Hawa vipi? Wao hawahusiki au??
Nae apeweeSi Msuguri naye yupo? Majuzi alifikisha miaka 100
mujibu wa sheria ipiwanufaika wa magari hayo kwa mujibu wa sheria ni jaji mkuu, spika wastaafu, mawaziri wakuu wastaafu, wakurugenzi wa tiss, na kadhalika
Nice
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa @innocentbash amewakabidhi magari mapya Wakuu wa Majeshi Wastaafu kwa maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Wakuu wa Majeshi Wastaafu waliokabidhiwa magari ni CDF Mstaafu George Waitara na Robert Mboma na makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Wizara ya Ulinzi Mtumba Jijini Dodoma
Akikabidhi Magari hayo, Waziri Bashungwa amesema kuwapatia Wastaafu hao magari ni sehemu ya maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba wapatiwe magari mapya ambayo yanatengenezeka na spea zake zinapatikana kwa urahisi.
“Wakuu hawa wa Majeshi Wastaafu walifanya kazi kubwa na iliyotukuka kipindi cha utumishi wao kwa Nchi yetu, Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan imewapatia magari na kuwatakia kheri na maisha marefu Majenerali Wastaafu hawa”
AYO TV
Wao wanayo bado mazuri hayajachakaambona huyu wa juzi kazi mwamunyange yeye hajakabidhiwa? ama yeye utaratibu wake uko tofauti? ila kwa nchi masikini kama bomgo kuendelea kukumbatia haya mashangingi ambayo ulaya yanamilikiwa na matajiri wakubwa tu ni kuendelea kuwa masikini tena masikini hohehahe.
Wanayo tayariMwamunyange
Mabeyo
Hawa vipi? Wao hawahusiki au??
PRADO LA NGUVU!Sirro yeye kapewa kinini kile na mshkaji wake wambura??
Uto wanakuogopa mkuuInapendeza sana
Sisi wastaafu pia lakini hatujaongezwa pension kwa miaka zaidi ya 20! Nchi hii ni ngumu sana!
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa @innocentbash amewakabidhi magari mapya Wakuu wa Majeshi Wastaafu kwa maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Wakuu wa Majeshi Wastaafu waliokabidhiwa magari ni CDF Mstaafu George Waitara na Robert Mboma na makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Wizara ya Ulinzi Mtumba Jijini Dodoma
Akikabidhi Magari hayo, Waziri Bashungwa amesema kuwapatia Wastaafu hao magari ni sehemu ya maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba wapatiwe magari mapya ambayo yanatengenezeka na spea zake zinapatikana kwa urahisi.
“Wakuu hawa wa Majeshi Wastaafu walifanya kazi kubwa na iliyotukuka kipindi cha utumishi wao kwa Nchi yetu, Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan imewapatia magari na kuwatakia kheri na maisha marefu Majenerali Wastaafu hawa”
AYO TV
Nakaziasafi sana, hutaki kvnya boga
Hauhusiki KabisaSirro sio CDF Mstaafu..