Waziri Jafo, siku nyingine uache kiherehere cha kufananisha Siasa na uweledi wa tiba za Kisayansi

Ingelikuwa wewe ndiyo Jafo ungeshauri Watamzania wafanye nini?
Funga shule, ban matamasha, barakoa lazima, mikutano ban kubwa waambie watu corona hatari ni lazima tuchukuwe tahadhari kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu. bahati mbaya katibu wa wizara ya afya alikuwa busy kufanya kampeni hakuna wagonjwa mpaka mkata kubadili jina la ugonjwa changamoto ya kupumua na lile bwenyenye sijui Abbas liko busy sijui ugonjwa na UKUDO inasaadia nini. jinga kubwa lile
 
Huyu namfananisha na Baba Levo anavyojikomba kwa Diamond,ovyo kabisa.
 
... Mkuu wewe ni mtaalamu wa kuzodoa! Tuliowategemea watuongeze kisayansi ndio hao wanakuwa zaidi ya wajinga! Inatia hasira kweli kweli.
Kama hii ndimu hapa
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa mtazamo wako unadhani ni kwanini sasa hivi raia hawajali kama kama wewe?
 
Ao waliofanya hayo uliyoyaweka hapa matokeo yao unayajua?
 
Ao waliofanya hayo uliyoyaweka hapa matokeo yao unayajua?
Acha ujinga wewe, ungesema wasingefanya hayo unajuwa matokeo yangekuwa mabaya zaidi ha hayo unayoyaona. sasa wale waliofanya trend zinaenda chini sisi na kiburi chetu ndio tunalipa sasa. Hakuna sehmu wamesema ukifanya haya kutakuwa hakuna corona wala vifo wamesema itapuunguza kama walikuwa wafe 100 watakufa 20. Mambo ya afya waachiwe wataalamu wa afya watoe miongozo ya kitaalamu siasa zipelekwe sehemu yake sio kuingilia mambo yasiyokuwa ya kisiasa. liundwe jopo la ma Dr huru watoe ushauri huru na tuwasikilize.
 

Nimeipenda ulivyomalizia mkuu Kama DR Gwajima anaona tabu kuwasiliana na mkuu wake aunde tume huru ya madaktari watakao mshauri kipindi hiki
 
Ikipiga Seapiano
Ikipiga Mzaa Chema
Ikipiga Mhukumu Mkuu
Ikupiga Ngome
Ikipiga Dstv
Ikipiga E2
Akili zitawarudi
 
Huyu mbwiga namfananisha na Baba Levo anavyojikomba kwa Diamond,ovyo kabisa.
Ahahahaha una ugomvi gani na baba Levi na Diamond. Baba levo hata kama anajikomba kwa Diamond hatarishi maisha ya wengine, ni kwa ajili ya maslahi yake
 
Huku mwisho mwisho nimekuelewa sana.
Umeona like yangu huko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…