Waziri Jafo, siku nyingine uache kiherehere cha kufananisha Siasa na uweledi wa tiba za Kisayansi

Waziri Jafo, siku nyingine uache kiherehere cha kufananisha Siasa na uweledi wa tiba za Kisayansi

Wewe badala ya Kumuambia wazi wazi Boss wako kuwa Tanzania sasa hali ni mbaya dhidi ya Corona ukaona utafute Sifa mbele yake kwa kuja na Upuuzi wako wa Nyungu Season Two.

Haya sasa hii Nyungu Season Two yako ndiyo inatufyeka kweli kweli na Safari hii ikipiga huko huko juu mliko na muda si mrefu itamgusa Namba 1, 2 au 3 ndipo mtatia Akili.

Na kama kweli nawe unaamini Nyungu yako mbona unaingia Ofisini Kwako kwa Machale huku muda mwingi ukiwa na wasiwasi wa Kupata Corona?

Na usijisahaulishe tafadhali kuna Watu ulikuwa nao Juzi na nyepe nyepe (za chini ) zinasema Mmoja wao sasa Kaburi analiona kwa mbali huku Mochwari ikimkaribisha.

Yaani Ugonjwa umshinde Mzungu halafu Mzaramo wa Kisarawe auweze? Kuna Watu mna Upuuzi kweli kweli Vichwani mwenu. Haya njoo sasa na Nyungu Season Three yako ili uondoke nayo vizuri.

Piga mawe hao wahuni walioshikiwa akili na jiwe, natamani na hao namba 1,2 au 3 mmoja apigwe kitu cha ukweli ili wajue kuwa wameshikiwa akili na mlevi wa madaraka.
 
Korona ni adui wa Kila mtu

Mpaka sasa, hakuna aliye salama!

Lakini labda tukumbushane tu, Mungu wetu ametupanda, na anapotaka kuvuna hahitaji kuuliza ni kivipi atavuna mazao yake,

Lakini ole wake asiyemcha yeye
 
Alafu WAKIFA wao wanataka yawe majonzi ya nchi nzima ila sisi tunazikana kimyakimya huku wakisema Hamna vifo.

Covid inatakiwa ipige hao wezi wa kura wote mpaka wachanganyikiwe. Watazikana wanaofaidika na fedha za umma.
 
Wanafuata matamko yatolewayo majukwaani na viongozi wenye mlengo wa kukataa uwepo wa hili janga na wao kuwaamini
Sasa maombi ya nini wanataka iwapo janga hakuna? Ni unafiki tu, wanakera sana. Lakini soon akili zitarudi.
 
Korona ni adui wa Kila mtu

Mpaka sasa, hakuna aliye salama!

Lakini labda tukumbushane tu, Mungu wetu ametupanda, na anapotaka kuvuna hahitaji kuuliza ni kivipi atavuna mazao yake,

Lakini ole wake asiyemcha yeye
Wapinzani hawaoni ajabu kufa, maana wasipokufa kwa corona watauliwa na watawala ili wakae madarakani kwa shuruti. Tunaomba corona itusaidie kuvuna hawa wezi wa kura.
 
Nadhani siku si nyingi mkulu atajirudia zake chato kwenye isolation mambo yamepamba moto.
 
Wewe badala ya Kumuambia wazi wazi Boss wako kuwa Tanzania sasa hali ni mbaya dhidi ya Corona ukaona utafute Sifa mbele yake kwa kuja na Upuuzi wako wa Nyungu Season Two.

Haya sasa hii Nyungu Season Two yako ndiyo inatufyeka kweli kweli na Safari hii ikipiga huko huko juu mliko na muda si mrefu itamgusa Namba 1, 2 au 3 ndipo mtatia Akili.

Na kama kweli nawe unaamini Nyungu yako mbona unaingia Ofisini Kwako kwa Machale huku muda mwingi ukiwa na wasiwasi wa Kupata Corona?

Na usijisahaulishe tafadhali kuna Watu ulikuwa nao Juzi na nyepe nyepe (za chini ) zinasema Mmoja wao sasa Kaburi analiona kwa mbali huku Mochwari ikimkaribisha.

Yaani Ugonjwa umshinde Mzungu halafu Mzaramo wa Kisarawe auweze? Kuna Watu mna Upuuzi kweli kweli Vichwani mwenu. Haya njoo sasa na Nyungu Season Three yako ili uondoke nayo vizuri.
Halafu eti kuna watu wanamuona anafaa kuwa Rais ....this is purely insanity...
 
Tetete alipeleka chanjo? mbona watu wake wa karibu ndiyo wanaondoka?
mnajadili kitu msichokijua ,kwa wale vichwa vya kupigwa jeki ,wanaunga tela.tusubili kidogo baadae mtakuja Hapa jamvini na kauli tofauti na mnavyopayuka leo.
 
Huu ni upepo tu nao utapita. Corona ipo lkn maisha yaendelee kama kawaida, ili tujenge her
 
Kwenye Corona kila tiba inayotajwa ni sehemu tu ya "trial n error"...

Hata hao wazungu hadi sasa hawana kinga, chanjo wala tiba iliyothibitika, wapo katika phase ya kujaribu...

Kwa lugha nyepesi, hadi sasa Covid-19 imeshakuwa nje ya uwezo wa mwanadamu kuikabili, it's so obvious that peeps will keep on dying...if the law of natural selection exists, then few will remain
welevu ndo wanao jua hili,bahati mbaya humu jf ni wachache sana.hawajui mpaka sasa chanjo zote bado ni trial & error.Hakuna chanjo ambayo imewahi kutengenezwa kwa muda wa miez ishirini ikawa na ufanisi!!! Kisayansi chanjo yenye ufanisi huchukua Hadi miez 60 kuitafiti.ndio maana hiz sijui Astra zenecca bado zina malalamiko mengi.mzazi mwelevu hawez kuiweka familia yake rehani kwa majaribio.
 
Back
Top Bottom