Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Sio Kampeni kwani wewe huvioni viwanda?
Kama criteria ni ile ile ya vyerehani vinne basi naviona...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Kampeni kwani wewe huvioni viwanda?
Kwa akili ya kawaida viwanda efu selasini ukajumlisha na vile sijui efu 52 wangekuwa wanatafuta man power hata form four tu ni deal mtaaniViwanda 30k ??? . Afu sina ajira mpaka saaizi.
Hii nchi unaweza ukahisi unaishi abroad ukisikia chawa wanapoongelea achievementsViwanda elfu 30 hata Afrika Kusini haina 🤣🤣
Uchawa ni laana... Mbaya zaidi laana inaenda hadi kwa mwenye chawa
Umeona popote humu ndani nime post cherehani? 👇👇Kama criteria ni ile ile ya vyerehani vinne basi naviona...
Mitambo ipo Kwa kazi gani kama viwanda vinahitaji watu?Kwa akili ya kawaida viwanda efu selasini ukajumlisha na vile sijui efu 52 wangekuwa wanatafuta man power hata form four tu ni deal mtaani
Mbona kwa hiyo number ya viwanda tungeshakuwa kama Norway ukiachana na idadi ya wiwanda vilivyokuwepo before
Viwanda vya mama 👇👇Orodha ya viwanda 30,000 ni wastani wa viwanda 1000 kila mkoa au 150 kila wilaya.
Sasa kila wilaya iweke hapa orodha ya viwanda vilivyoanzishwa na Samia na nyingine ya Magufuli. Sababu ma magufuli nae alianzisha viwanda 80,000. Ili kutofautisha wekeni column ya mwaka kiwanda kilipoanzishwa plus ajira zilizoanzishwa.
Wataalamu wa Excell wekeni template hapa kazi ianze
Unakutana na mjinga mmja anauliza kama kweli 🇹🇿 Ina viwanda 30,000 wakati hajui chochote kuhusu trend ya investment na sekta Zinazoongoza.Hii nchi unaweza ukahisi unaishi abroad ukisikia chawa wanapoongelea achievements
Hili ni Ghala? 👇👇Wewe jamaa utakuwa hujielewi .
Hayo maghala sio viwanda hivi unajua gesi inayohifadhiwa hapo inatoka wapi
Vipo wapi viajiri hao vijana wa NETO? Au vinaonekana usiku tu? Itakua tushaizidi Ujerumani kwa sasa 80k sio mchezo yani! Kwa nini tunaagiza hadi toothpicks sasa?
Kaanza mambo ya kaijage kipindi cha JPMAwamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
========================
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya katika sekta ya viwanda nchini.
Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa kiwanda cha saruji cha Maweni Limestone mkoani Tanga leo Alhamisi Februari 27, 2025, Dkt. Jafo ameeleza kuwa takwimu zinaonesha kwamba, katika kipindi cha mwaka 2019-2021, Tanzania ilikuwa na viwanda takribani 52,000, lakini chini ya uongozi wa Rais Samia, idadi ya viwanda imeongezeka na kufikia viwanda 80,179.
Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .👇👇
Hawa Chawa wanakera mpaka basi wanasifu kupita kiasi.
Kaanza mambo ya kaijage kipindi cha JPM
Mmh,si nchi nzima ingekuwa inafuka moshi na full makelele ya mitamboAwamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
========================
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya katika sekta ya viwanda nchini.
Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa kiwanda cha saruji cha Maweni Limestone mkoani Tanga leo Alhamisi Februari 27, 2025, Dkt. Jafo ameeleza kuwa takwimu zinaonesha kwamba, katika kipindi cha mwaka 2019-2021, Tanzania ilikuwa na viwanda takribani 52,000, lakini chini ya uongozi wa Rais Samia, idadi ya viwanda imeongezeka na kufikia viwanda 80,179.
Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .👇👇