Pre GE2025 Waziri Jafo: Zaidi ya Viwanda 28,000 Vimejengwa Ndani ya Miaka 4 ya Rais Samia.Ampongeza Kwa Kuleta Mageuzi Makubwa ya Uwekezaji

Pre GE2025 Waziri Jafo: Zaidi ya Viwanda 28,000 Vimejengwa Ndani ya Miaka 4 ya Rais Samia.Ampongeza Kwa Kuleta Mageuzi Makubwa ya Uwekezaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nadhani tutakua na shida ya tafsiri ya kiwanda,
Viwanda elfu 30. Hata japani wangetusikia redioni. Lkn yote hii ni kujipalilia madaraka. Njaa mbaya sana
 
Tatizo lipo boss, pamoja na vyerehani vyote, 120, bado tunaagiza boxers china. Na ajira ni 480 tu.
Bado hujasema Hadi useme 👇 👇
1740165854621.jpg
1740020314526.jpg
1740108147692.jpg
 
Vitakuwa vya cherehani, else tungekuwa kama china sahizi
Hivyo viwanda mnavyojinadi navyo nyie chawa viko mikoa gani? Au mnahesabu vibanda vya kukamua juice za miwa navyo kuwa viwanda?
Orodhisheni hivyo viwanda kwa mikoa ili watu wajiridhishe pasipo shaka kuwa Samia kweli amevutia wawekezaji nchini na sio kutuongezea deni la Taifa kwa kukopa kopa!
 
Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
========================
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya katika sekta ya viwanda nchini.

Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa kiwanda cha saruji cha Maweni Limestone mkoani Tanga leo Alhamisi Februari 27, 2025, Dkt. Jafo ameeleza kuwa takwimu zinaonesha kwamba, katika kipindi cha mwaka 2019-2021, Tanzania ilikuwa na viwanda takribani 52,000, lakini chini ya uongozi wa Rais Samia, idadi ya viwanda imeongezeka na kufikia viwanda 80,179.

Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .👇👇
Kungekuwa na viwanda eflu 30 ,hakuna kijana angekosa kazi.
 
Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
========================
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya katika sekta ya viwanda nchini.

Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa kiwanda cha saruji cha Maweni Limestone mkoani Tanga leo Alhamisi Februari 27, 2025, Dkt. Jafo ameeleza kuwa takwimu zinaonesha kwamba, katika kipindi cha mwaka 2019-2021, Tanzania ilikuwa na viwanda takribani 52,000, lakini chini ya uongozi wa Rais Samia, idadi ya viwanda imeongezeka na kufikia viwanda 80,179.

Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .👇👇
Huyu kenge, daaa, viwanda 30000!
Kweli, aliyeshiba hamjali mwenye njaa!
Kama kungekuwa, na viwanda hata 500,tusingekuwa, na, tatizo LA, ajira,
Hebu aweke ma CEO, CTO, na, ma engineer wa wili tu wa viwanda vipya vitano, kenge, pambaf kabisa
 
Miaka ya nyuma tulikuwa na viwanda vichache, na hela yetu ilikuwa na thamani.

Bidhaa zilikuwa zinajitangaza zenyewe.
 
Back
Top Bottom