Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Acha maneno mengi weka ushahidiMkoa upi? Katavi au Mbeya? Sitaki nakuwekea video na picha kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha maneno mengi weka ushahidiMkoa upi? Katavi au Mbeya? Sitaki nakuwekea video na picha kabisa.
Ni Jiwe,Kwa mama sekta binafsi imejenga vya kutosha Kila Mkoa Hadi huko kwako na maelfu vinaendelea na ujenziPromo za kishenzi namna hii tulizipinga wakati wa Jiwe.
Maana jiwe alijenga viwanda laki mbili halafu havijulikani viko wapi mpaka leo
Uchawa siyo mpaka ujulikane na wahusika mzee.🚮🚮🚮
Huna hoja,kamuulize Samia kama ananijia au hata wasaidizi wake
Mwanzo wa Uzi umejaa viwanda Anza kusoma page Moja Hadi nyingine 👇👇Acha maneno mengi weka ushahidi
Sasa utafanyaje uchawa kama unapata hasara?Uchawa siyo mpaka ujulikane na wahusika mzee.
Mwanzo wa Uzi umejaa viwanda Anza kusoma page Moja Hadi nyingine 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAlT8u4ty8z/?igsh=eTd3dGx5a2FtZmxn
Kwa nini? Si umeuliza viwanda au hivi ni nini 👇👇Unajua wewe ni msengerema sana
Kwa uwekezaji huu unadhani takwimu zinasema uongo? 👇👇Nadhani tutakua na shida ya tafsiri ya kiwanda,
Viwanda elfu 30. Hata japani wangetusikia redioni. Lkn yote hii ni kujipalilia madaraka. Njaa mbaya sana
Acha maneno mengi weka ushahidi
Mnaweweseka sana Mzee ila takwimu zinawakataa 👇👇Ni kweli ukiwa na Vyerehani vinne tu ni kiwanda.
Nina viwanda vitatu kwangu.
Masufuria matatu ya kupika supu, meza tatu na majiko yale ya chuma.
Bado hujasema Hadi useme 👇 👇Tatizo lipo boss, pamoja na vyerehani vyote, 120, bado tunaagiza boxers china. Na ajira ni 480 tu.
Kazi na dawa ,Samia ni next levelPromo za kishenzi namna hii tulizipinga wakati wa Jiwe.
Maana jiwe alijenga viwanda laki mbili halafu havijulikani viko wapi mpaka leo
Kazi ya mama Haina mbambambaViwanda 30 elfu mbona chai ya moto kabisa, ani kama kila kiwanda kinatoa ajira 100 tu basi tungekuwa na ajira milioni 3 asa haya mambo ya ukosefu wa ajira yangetoka wapi
Hivyo viwanda mnavyojinadi navyo nyie chawa viko mikoa gani? Au mnahesabu vibanda vya kukamua juice za miwa navyo kuwa viwanda?Vitakuwa vya cherehani, else tungekuwa kama china sahizi
Kungekuwa na viwanda eflu 30 ,hakuna kijana angekosa kazi.Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
========================
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya katika sekta ya viwanda nchini.
Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa kiwanda cha saruji cha Maweni Limestone mkoani Tanga leo Alhamisi Februari 27, 2025, Dkt. Jafo ameeleza kuwa takwimu zinaonesha kwamba, katika kipindi cha mwaka 2019-2021, Tanzania ilikuwa na viwanda takribani 52,000, lakini chini ya uongozi wa Rais Samia, idadi ya viwanda imeongezeka na kufikia viwanda 80,179.
Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .👇👇
Huyu kenge, daaa, viwanda 30000!Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo
========================
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya katika sekta ya viwanda nchini.
Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa kiwanda cha saruji cha Maweni Limestone mkoani Tanga leo Alhamisi Februari 27, 2025, Dkt. Jafo ameeleza kuwa takwimu zinaonesha kwamba, katika kipindi cha mwaka 2019-2021, Tanzania ilikuwa na viwanda takribani 52,000, lakini chini ya uongozi wa Rais Samia, idadi ya viwanda imeongezeka na kufikia viwanda 80,179.
Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .👇👇