Waziri Januari Makamba agawa mitungi 300 ya gesi kwa kina mama wa CCM Mkoa wa Mara

Waziri Januari Makamba agawa mitungi 300 ya gesi kwa kina mama wa CCM Mkoa wa Mara

Hizi siasa uchwara, ni sawa na wale wanaotoa ruzuku kila mwezi kwenye mafuta eti wanadhibiti kupanda kwa bei!, Ni sawa na kumpa panadol mgonjwa wa malaria! Nonsense! Badala ya kutibu tatizo,Unapooza! Na hili la kuwapa majiko ya gesi hayafiki kwa walengwa na hata hao wanaolengwa tu bei ya gas si rafiki!
 
Acha dharau kwa watanzania wenzako. Gharama nyingine za maisha unawasaidia wewe? Mbona mnatoa maneno ya kifedhuli kwa watanzania wenzenu kiasi hicho?

Aliyekwambia wewe ndiye wa hali ya juu kuliko wengine nani?
Kuna muda huwa akili yako inaruka. Inahitaji uwe na PhD kujua watu wa vijijini walio wengi ni maskini hata Milo mitatu hawana uhakika nayo?
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliwaahidi viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania ( UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kuwapa mtaji wa mitungi ya gesi 300 kwa ajili ya kusambaza kwa wananchi kwa gharama nafuu ili waondokane na nishati chafu ya kupikia.


CHANZO: GAZETI LA MWANCHI JULAI 12,2022
Gesi ikiisha atawanunulia ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Mbona unatokwa povu bila sababu? Wewe ulitaka agawe uroda ili ulidhike? Acha chuki za kishetani. Utakufa siku si zako ndugu.
Aache ujuha. Unagawa mtungi wa gesi wakati serkali haina hiyo gesi, inamaana anapanua soko la mfanyabishara wa gesi. Shwain.
Apeleke umeme wa bei nafuu ili wapikie.
Ipo siku mambo yao yatabadilika kama sio wao watoto wao watawajibika .
Gesi iliuzwa . Bora hata angeenda na makaa ya mawe hizo ni mali zetu
 
Ngoja namie nikagawie mitungi Mana itakuwa inajijaza yenyewe. Hapo gesi iuzike Mana Ina perse aliyembeba na mbeleko. Bwawa la nyerere sijui crane haijaja. Umeme hata mpanda unakatika mno yaani mno tokea history kuandikwa.
Nakumbuka tuliambiwa wiki mbili
 
Yote kwa Yote tuishukuru CCM kea kuwajali wananchi wanyonge huko Vijijini

Ila I ya CCM inatekelezeka vizuri

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
 
Na si ajabu vijiji hivi vilivyobakia vikamshinda kabisa, somehow Kalemani alifanya kazi nzuri sana.
 
Yote kwa Yote tuishukuru CCM kea kuwajali wananchi wanyonge huko Vijijini

Ila I ya CCM inatekelezeka vizuri

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Januari peleka vifaa pale tarime DC tuliolipia tangu Desemba 2021 tuunganishiwe umeme. Acha hizi propaganda za kuwa marketing meneja Kama sio dream 2025.
 
Yote kwa Yote tuishukuru CCM kea kuwajali wananchi wanyonge huko Vijijini

Ila I ya CCM inatekelezeka vizuri

Mungu wa mbinguni awabariki nyote

Mngeruhusu upinzani kila jiwe lingefunuliwa, sasa unalalamika kwa kunong'ona wakt task yako hapo dawatini ni kufifisha upinzani.
 
Makamba anatengeza team ya kumpigia kula za urais..zqchinchin wazee wanamuanda kumpiga chini mama 2025
 
Na si ajabu vijiji hivi vilivyobakia vikamshinda kabisa, somehow Kalemani alifanya kazi nzuri sana.
Waziri hasambazi umeme,rea iliasisiwa na mzee mkapa ikaendelezwa na waliomfuatia,makamba ni Waziri wa nishati,nishati si umeme tu,huko vijijini hawakupelekewa umeme ili wapikie,sera ya nchi ni kueneza gesi Kama maji ili kuokoa misitu
 
hivi kwa akili yako makamba amekurupuka tu aanze kugawa mitungi ya gesi out of love, bure bure tu? wenye akili wameshajua amegeuka kuwa marketing executive wa kampuni fulani ya gesi
Umewaza mbali sana kaka, ivi ni mitungi ya kampuni gani? Sijafatilia hata nimeona ni mauzauza ya wanasiasa
 
Makamba yupo kwa ajili ya 'special mission' ya wakubwa 'flani' nayo ni gas
Badala ya kuwa busy na ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere angalia vitu anavyokimbizana navyo. Tuendako ni kugumu sana
 
Back
Top Bottom