Waziri Jerry Silaa ana kitu, atafika mbali, abarikiwe

Wanajitoa ufahamu kupotoasha,

Wanaodhani wananchi ni mbumbumbu hatuelewi kitu.
 
Swali ni kwamba huyo mmasy hiyo hati kaitoa wapi?
Je hiyo hati ni halali?
Ana uhakika gani kwamba huyo mama hadanganyi?je kabla ya kwenda site alisikiliza pande zote mbili? Au ameenda na maelezo ya upande mmoja halafu ya upande wa pili anaysikilizia pale pale?
Amefanya intensive background search ili kujua historia halisi ya huo mgogoro?
Na hao maofisa wa wizara waliompa mmasi hio hati,wamechukuliwa hatua gani?
Kwa sababu anachokifanya silaa ni kuwalinda maafisa ardhi,na kuwaadhibu wananchi kwa kivuli cha kutetea wanyonge.
Halafu anatumia kigezao gani cha kuchagua kesi anazoenda kuzitatua site?
Na je kati yake yeye na mahakama, tumuamini nani? Mbona asilimia kubwa ya kesi anazotatua site wanaoitwa wanyonge ni jinsia. Ya aina moja tu?
 
Anachokifanya Slaa ni kizuri mno.

Kwa kuwa anakuwa amezungukwa na wataalamu wake,

Ile inakuwa case ya wazi na ya kirafiki zaidi,

Mashahidi wote wanakuwepo Hadi balozi anakuwepo.

In short, Slaa ana Nia njema,

Aungwe mkono.
 
Anachokifanya Slaa ni kizuri mno.

Kwa kuwa anakuwa amezungukwa na wataalamu wake,

Ile inakuwa case ya wazi na ya kirafiki zaidi,

Mashahidi wote wanakuwepo Hadi balozi anakuwepo.

In short, Slaa ana Nia njema,

Aungwe mkono.
Hapana,anachokifanya ni siasa.yaani katika hali ya kawaida atawarudishia hao walalamikaji maeneo yao,then aliyenyanganywa ataenda mahakamani atashinda kesi,then atamtoa tena mlamikaji.silaa hatokuwepo miaka yote.
Hii imetokea kariakoo.
Maneno ya waziri sio sheria.
Alichotakiwa kufanya ni kitengeneza platform nzuri ya utatuzi wa migogoro ya ardhi,na sio kuruka ruka kama kuku.
Huu ni ujinga,ni siasa za kizamani za kimagufuli.
Basi tufunge mhakama,na tuwaambie mawaziri wote wawe majaji
 
Unacholalamikia wewe hapa hata hakieleweki, bila shaka nawe ni hao hao majambazi. Silaa hajazuia mahakama kufanya kazi. Matatizo aliyoshughulikia hadi sasa yapo wazi kabisa kuwa yalikuwa ni ya uonevu na unyang'anyi.
Sasa kama unategemea hayo mahakama ukatoe rushwa huko wewe jambazi, hilo ni tatizo jingine.
Taratibu, hata huko mahakamani pataanza kuibuka akina Silaa wengine wasiopenda uchafu wenu.
 
Ana
Anafanya vizuri ila anachangamoto pia ya namna ya kushughulikia hiyo migororo Kwa baadhi ya maeneo apunguze mihemko atulize jazba awe mtulivu wakati anapotatua hiyo migororo...
 
 
Labda 2025 akagombee jimbo lingine, sio tena Ukonga
 
Ndg tafuta hukumu ya Mahakama kuu iliorudisha nyumba kwa familia ya Mfumia, imeelezea vizuri sana Mmasi alivyopata hiyo hati ya Marehemu Mfumia na huta uliza tena haya maswali yako!!
 
Kwa hiyo kwako wewe migogoro ya ardhi isipelekwe mahakama za ardhi ipelekwe kwa Slaa atatue yeye kwa sheria zake binafsi?
Ukiona umebomelewa au umenyanganywa nyumba na Waziri wa Aridhi ujuwe wwe ndiyo hukufuata sheria za Aridhi, sasa unataka kukimbilia mahakamani ili upate huruma ya Mahakama kupitia sheria tata za Mahakama!!
 
Wizara ya ardhi ikinyooka na kufanya kazi zake kwa weledi, basi Mahakama zitakosa kazi,maana kutakua hakuna tena migogoro ya Aridhi Nchini!!
 
mke wa Msama
 
Kwa hiyo kwako wewe migogoro ya ardhi isipelekwe mahakama za ardhi ipelekwe kwa Slaa atatue yeye kwa sheria zake binafsi?
Una kichwa kizito sana kuelewa kitu kidogo sana kama hicho! Nakupa mfano mdogo sana, kama umeenda kupima DNA kwa Mkemia,na majibu ya katoka kua mtoto siyo wako, je utaenda mahakamani ili kupinga matokeo ya DNA!? Je Mahakama ikisema mtoto ni wako kwa sababu tu wwe ndiyo ulilea mimba utakubali!?
 
Huna akili tapeli wewe
 
Tapeli
 
Anakuja mtu mmoja na kumuita Slaa ni mpumbavu wakati mtu anadai haki yake miaka 20 anapigishwa mark time tu huko mahakamani😁!

Ukifuatilia sababu unakuta hakimu yuko kwenye payroll ya kibopa ambaye amedhulumu ardhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…