Waziri Jerry Slaa: Mimi siyo Mtoto wa Maskini, baba yangu alikuwa Rubani. Nimekataa Rushwa ya Milioni 300

Waziri Jerry Slaa: Mimi siyo Mtoto wa Maskini, baba yangu alikuwa Rubani. Nimekataa Rushwa ya Milioni 300

Namfahamu Jery Slaa vyema. Naona ametamka kwamba apokei rushwa. Fine kwa sasa akiwa waziri anaweza akaamua kuridhika na anachopata akakaa mbali na watoa rushwa

Ila naomba kumkumbusha Jery kwamba ubunge wake aliupata kwa rushwa. Hivyo kama apokei rushwa anapaswa kwanza kuukataa ubunge wake. Rushwa ni rushwa tu....ni kitendo cha kupokea kisicho haki yako ambapo for sure ubunge siyo halali yako.

Lakini eneo la pili kwenye rushwa ya Ardhi namkumbuka mama Mabula, alijipambanua kwamba hapokei rushwa ila skendo za rushwa zilikuwa kumwondoa ofisini leo hana uwezo hata wakuwa tena mbunge.

Jeryy mapigano ya rushwa ni matendo siyo maneno.....wewe baba yako alikuwa rubani na tunakubali wewe ni familia bora ila hakuna familia imewahi kuridhika na kile walichonacho.....mwanao kufika hapo alipo katika Chipukizi kuna rushwa imetembea and you know.

Wapo watoto wazazi wao walikuwa marais na wengine watoto wa mawaziri lakini ndio vinara wa rushwa nchini.

Tuambie lini umeachana na rushwa ukiwa mwanasiasa? Labda useme umeacha kuchukua fedha za ardhi na viwanja
Pamoja na kwamba rushwa ni changamoto kubwa katika siasa zetu, Jerry anastahili pongezi nyingi kwa kupambana kwa maneno na vitendo. Amesema hadharani kwamba alipelekewa rushwa akakataa na amewaachisha watumishi kazi.
 
Ndio maana kuna rushwa kubwa na rushwa ndogo. Tutajuaje kama hao watoto wa matajiri hawakula rushwa kuiuza ngorongoro na bandari yetu?
 
Ego inamwendesha na anasahu yupo hapo kwa muda kwanza hakuna mwanasiasa wa kukataa mil 300 huko ccm anatafuta kuongelewa na Attention
Wanasiasa waliotosheka na wapatacho kama mshahara ni wengi sana. Changamoto ni kwamba siasa zilifanywa biashara na hivyo bila pesa hupati uongozi, hivyo rushwa hutumika kama njia ya kurudisha.
Hata hivyo, Jerry ameonesha njia, mawaziri na viongozi wengine waige.
Hakuna aliye msafi 100%, lakini kujitokeza kwa mtu kama huyu, lazima apongezwe.
 
Waziri wa Ardhi mh Jerry Slaa amesema kuna Wanasiasa wanaona Sifa kujiita Watoto wa Maskini Lakini yeye siyo Maskini baba yake alikuwa Rubani na hadi leo anakula hela ya Urithi.

Mh Slaa ametuma salamu kwa mafisadi wote kwamba yeye hana Njaa na hapokei Rushwa kwa sababu Biblia imesema mla Rushwa ni kipofu.

Waziri amekataa Rushwa ya tsh 300 milioni kutoka kwa tajiri Mmoja aliyejenga kituo cha Mafuta Kinyume cha utaratibu pale Mikocheni.

I wish you a Merry Christmas [emoji3]
Anatafuta kiki ya kisiasa 2025. 2020 alihonga 25ml kushinda Ukonga.
 
Kudos waziri ingawa tungepata mwendelezo wa takukuru huyo tajiri achukuliwe hatua kwa kosa la kutaka kutoa rushwa,haya mambo yasikieni tu ndugu zangu je ni wangapi wenye kukubali rushwa haki za watu zipindishwe,yaliyonikuta ndugu zangu nimeiona nchi yangu kwa mtazamo tofauti sana na nilivyokuwa naiona mwanzo,hakika rushwa ni adui mkubwa wa haki na haki huinua taifa bali dhulma inaibomoa
 
Waziri wa Ardhi mh Jerry Slaa amesema kuna Wanasiasa wanaona Sifa kujiita Watoto wa Maskini Lakini yeye siyo Maskini baba yake alikuwa Rubani na hadi leo anakula hela ya Urithi.

Mh Slaa ametuma salamu kwa mafisadi wote kwamba yeye hana Njaa na hapokei Rushwa kwa sababu Biblia imesema mla Rushwa ni kipofu.

Waziri amekataa Rushwa ya tsh 300 milioni kutoka kwa tajiri Mmoja aliyejenga kituo cha Mafuta Kinyume cha utaratibu pale Mikocheni.

I wish you a Merry Christmas [emoji3]
Hivi wanaorusha chopper nao wanaitwa Marubani?
 
Waziri wa Ardhi mh Jerry Slaa amesema kuna Wanasiasa wanaona Sifa kujiita Watoto wa Maskini Lakini yeye siyo Maskini baba yake alikuwa Rubani na hadi leo anakula hela ya Urithi.

Mh Slaa ametuma salamu kwa mafisadi wote kwamba yeye hana Njaa na hapokei Rushwa kwa sababu Biblia imesema mla Rushwa ni kipofu.

Waziri amekataa Rushwa ya tsh 300 milioni kutoka kwa tajiri Mmoja aliyejenga kituo cha Mafuta Kinyume cha utaratibu pale Mikocheni.

I wish you a Merry Christmas 😀
Kama ni kweli Abarikiwe !🙏🙏🙏
 
Waziri wa Ardhi mh Jerry Slaa amesema kuna Wanasiasa wanaona Sifa kujiita Watoto wa Maskini Lakini yeye siyo Maskini baba yake alikuwa Rubani na hadi leo anakula hela ya Urithi.

Mh Slaa ametuma salamu kwa mafisadi wote kwamba yeye hana Njaa na hapokei Rushwa kwa sababu Biblia imesema mla Rushwa ni kipofu.

Waziri amekataa Rushwa ya tsh 300 milioni kutoka kwa tajiri Mmoja aliyejenga kituo cha Mafuta Kinyume cha utaratibu pale Mikocheni.

I wish you a Merry Christmas [emoji3]
Mkuu, hizi Million 300 ni za mmiliki wa kile kituo cha mafuta kicholalamikiwa na wakina Prof. Tibaijuka?
 
Kutoa rushwa napo ni kosa .

Mbona hawajamaa hakuwakamata na kuwapeleka Takukuru?
1000006251.jpg
 
Mkuu, hizi Million 300 ni za mmiliki wa kile kituo cha mafuta kicholalamikiwa na wakina Prof. Tibaijuka?
Majirani hapo wanajielewa
Siyo wale wa tandale wameletewa vituo vya mafuta mpaka vibarazani
Ile njia tu kuna sehemu ya wazi kuna mtu alitaka fungua pub jamaa Alizuiwa sana sana serikali ya mtaa walikula pesa yake
Kipande kile kuna wazee wanajielewa

Ova
 
Waziri wa Ardhi mh Jerry Slaa amesema kuna Wanasiasa wanaona Sifa kujiita Watoto wa Maskini Lakini yeye siyo Maskini baba yake alikuwa Rubani na hadi leo anakula hela ya Urithi.

Mh Slaa ametuma salamu kwa mafisadi wote kwamba yeye hana Njaa na hapokei Rushwa kwa sababu Biblia imesema mla Rushwa ni kipofu.

Waziri amekataa Rushwa ya tsh 300 milioni kutoka kwa tajiri Mmoja aliyejenga kituo cha Mafuta Kinyume cha utaratibu pale Mikocheni.

I wish you a Merry Christmas 😀
Maneno tu haya. Hata kwenye kanga moko yapo
 
Back
Top Bottom