Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda

Proffessa hapa unachomekea DELA better keep quite "disapered and died" maana yake nini Kwa hiyo yuko hai Azory?
Labda mimi ni mshauri tu professor Kabudi asiwe na pupa na papara anapongea na wanahabari kiukweli kauli yake haikua ina maanisha kupotea na kufa. But since he is on the side of the government any slip of a tongue in such issues is taken terribly serious! He should calibrate himself and adopt such communication skills that leaves no loopholes for misinterpretation of his verbal contents.
 
Wewe akili yako ni mbovu sana. Hao wengine waliouwawa maiti zao zilipatikana. Azory yeye alifwatwa na kutekwa na wasiojulikana amboa kila mtu anajua ni kina nani?

Wakati mwingine uwe unatumia akili sio kuropoka kama jibwa. Fools
 
waandishi wa habari ndio wanatakiwa wa- develop skills za kuwahoji maprofesa, inaonekana duniani kuna waandiahi wa habari wa chache sana wenye weledi , ujuzi na uwezo wa kuhoji maprofesa vizuri na mjadala ukawa mzuri kwa pande zote. Tumeshuhudia jana Zuhura Yunusi akiwa kabanwa na maelezo ya Prof mpaka kushindwa kuwa na attention nzuri. Yule mwenzake wa BBC FOCUS ON AFRİCA alikuwa anajitahidi kuachana na mjadala ambao mwisho wake ni kuaibika
 
Alipaswa kusema ‘waliopotea au kuuwawa’.

Siyo ‘waliopotea na kuuwawa’ maana hiyo inaacha mwanya wa tafsiri zingine.

Yeye kama mwanasheria nguli nilitegemea awe makini sana na uchaguzi wa maneno atumiayo.
Toka lini Kabudi akaweza kuchagua maneno? Once provoked yeye ndipo huwa ana react na kutoka kwenye mstari kirahisi sana... Na toka lini ukaona Police au mwanasheria akawa mudiplomasia?
 
Nimesikiliza mara kadhaa yale mahojiano yaliyofanyika kwa lugha ya Kiingereza. Nikasikiliza pia alipohojiwa kwa lugha ya Kiswahili. Hakuna mahali prof Kabudi amesema Azory kafa. Sasa nimeamini kwamba ni kweli kuna watu wanatumia kila njia kuichafua serikali na viongozi wa nchi. Ni bahati mbaya sana.
 

Ni kweli. Hajasema declaratively kuwa Azori kafa.

Ila, kwa maneno aliyoyasema, ameacha mwanya wa kutafsirika kuwa kasema hivyo.

Ni suala dogo sana la kubadilisha tu kiunganishi kilichotumika.
 
Ujumbe tulioupata hapa ni kurudi darasani kujifunza lugha upya. Maana ni wengi tumemuelewa tofauti na alichokusudia kutueleza.
Darasani rudi mwenyewe, wengine tumemuelewa pasi na shaka
 
Yeye ndiye anapaswa kurudi darasani kujifunza tofauti ya "disappeared and died" na "disappeared or died".

Kama hawa ndio watu wanaosimamia mikataba yetu, si ajabu tunapigwa changa la macho kila siku.
Na anajiita prof nguli wa sheria!!!
 
Mwafrica akizungumza kitu chukua neno la kwanza tu , sisi tunachochukua ni ile kauli yake ya kwanza tu , hizi porojo zingine za akina Abbas hatuzitambui
Kama anakanusha kua hajafa maana yake anatuambia bado yupo hai.
 
Mwambieni sisi siyo wanafunzi wake aliokuwa anawakosesha kwa makusudi
 
Utakuwa hauko sawa, au tuliyosikiliza sio uliyoisikiliza
 
Usiwe mpambe mpaka ujitoe ufahamu na mnao wapamba wanawashangaa, mwenyewe amekiri kuwa alikosea na kusema mahojiano aliyoongea kiswahili ndio yachukuliwe yale ya kiingereza aliongea kitu asichokuwa na uhakika nacho..sasa wewe unatetea nini?
Mtz ukimpa fursa ya kuongea Kwa Kiswahili atakudanganya Sana, mpe SASA aongee Kwa kiingereza ataongea ukweli mtupu,

Sisi ile version ya kiingereza ndio ukweli mtupu, Hiyo ya Kiswahili ni upupu mtupuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…