Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute na wabunge walipigapiga meza kumshangilia katambi na mama yaoNaibu Waziri-OWM, Vijana, Kazi na Ajira, Patrobas Katambi amesema kwamba, zaidi ya bilioni 150 zimekwishatolewa kwa vijana kama mikopo na kusema kama kuna kijana yeyote ambaye hajapata mkopo itakuwa pengine ni Mkenya.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 18, 2022, bungeni jijini Dodoma
View attachment 2229205
Jamaa wanapewa madaraka makubwa mno ambayo hawana uwezo nayoLeo imekuwa wakenya, yule wa mwanzo alisema tukimbilie burundi, hizi kauli zinaonesha jinsi taifa linavyoongozwa na walafi wa madaraka waliojaa dharau.
Angali hiyo link hapo juuTupia clip ya huyo waziri, pls
Nenda kakopeshe kenyaMiaka yote naamini mimi ni Mtanzania. Nina Kitambulisho cha Nida, Napiga Kura, nina Passport. Kumbe si Mtanzania.
Kwa kauli ya Katambi nmevuliwa nguo kabisa. Wazazi hawakuwahi kunambia mpaka Waziri leo ndo kasema. Sielewi hata huko Kenya ndugu zetu ni Kabila gani. Nmechanganyikiwa sana.
Nimeuliza kwa wenzangu wengi nao wanasema hawajapata nikagundua tumejazana wakenya wengi sana hapa Tanzania. Je haiwezekani kuipora nchi?
Niseme tu. Mimi ni mmoja ya Vijana ambao hatujapata Mikopo ambao Waziri kasema hiyo mikopo wamegawa kwa Watanzania tu. Wakenya hawajapewa. So kama Hujapata usihangaike tena kutaka kujua uraia wako. Wewe si Mtanzania.
Mungu tunusuru na haya mambo. Basi afadhali angesema Mmarekani ningeomba nirudishwe huko. Sasa.... Nimechanganyikiwa kabisa.
Naibu Waziri-OWM, Vijana, Kazi na Ajira, Patrobas Katambi amesema kwamba, zaidi ya bilioni 150 zimekwishatolewa kwa vijana kama mikopo na kusema kama kuna kijana yeyote ambaye hajapata mkopo itakuwa pengine ni Mkenya.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 18, 2022, bungeni jijini Dodoma https://t.co/yFOlXUb9nD
Haya makapi ya Magufuli akili zao ziko kwenye makalio. Kuna yule ngumbu mwingine alituambia tuhamie Burundi. Watu walio zowea kuchungulia makalio ya ng'ombe wako kama ng'ombe.Miaka yote naamini mimi ni Mtanzania. Nina Kitambulisho cha Nida, Napiga Kura, nina Passport. Kumbe si Mtanzania.
Kwa kauli ya Katambi nmevuliwa nguo kabisa. Wazazi hawakuwahi kunambia mpaka Waziri leo ndo kasema. Sielewi hata huko Kenya ndugu zetu ni Kabila gani. Nmechanganyikiwa sana.
Nimeuliza kwa wenzangu wengi nao wanasema hawajapata nikagundua tumejazana wakenya wengi sana hapa Tanzania. Je haiwezekani kuipora nchi?
Niseme tu. Mimi ni mmoja ya Vijana ambao hatujapata Mikopo ambao Waziri kasema hiyo mikopo wamegawa kwa Watanzania tu. Wakenya hawajapewa. So kama Hujapata usihangaike tena kutaka kujua uraia wako. Wewe si Mtanzania.
Mungu tunusuru na haya mambo. Basi afadhali angesema Mmarekani ningeomba nirudishwe huko. Sasa.... Nimechanganyikiwa kabisa.
Naibu Waziri-OWM, Vijana, Kazi na Ajira, Patrobas Katambi amesema kwamba, zaidi ya bilioni 150 zimekwishatolewa kwa vijana kama mikopo na kusema kama kuna kijana yeyote ambaye hajapata mkopo itakuwa pengine ni Mkenya.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 18, 2022, bungeni jijini Dodoma https://t.co/yFOlXUb9nD
Tatizo lako ni Katambi mengine bla bla kama kawaida yetu ChademaMiaka yote naamini mimi ni Mtanzania. Nina Kitambulisho cha Nida, Napiga Kura, nina Passport. Kumbe si Mtanzania.
Kwa kauli ya Katambi nmevuliwa nguo kabisa. Wazazi hawakuwahi kunambia mpaka Waziri leo ndo kasema. Sielewi hata huko Kenya ndugu zetu ni Kabila gani. Nmechanganyikiwa sana.
Nimeuliza kwa wenzangu wengi nao wanasema hawajapata nikagundua tumejazana wakenya wengi sana hapa Tanzania. Je haiwezekani kuipora nchi?
Niseme tu. Mimi ni mmoja ya Vijana ambao hatujapata Mikopo ambao Waziri kasema hiyo mikopo wamegawa kwa Watanzania tu. Wakenya hawajapewa. So kama Hujapata usihangaike tena kutaka kujua uraia wako. Wewe si Mtanzania.
Mungu tunusuru na haya mambo. Basi afadhali angesema Mmarekani ningeomba nirudishwe huko. Sasa.... Nimechanganyikiwa kabisa.
Naibu Waziri-OWM, Vijana, Kazi na Ajira, Patrobas Katambi amesema kwamba, zaidi ya bilioni 150 zimekwishatolewa kwa vijana kama mikopo na kusema kama kuna kijana yeyote ambaye hajapata mkopo itakuwa pengine ni Mkenya.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 18, 2022, bungeni jijini Dodoma https://t.co/yFOlXUb9nD
Amesema vjana wote wenye sifa uchawa na ukiroboto wamepewa mikopo kama hujapata basi utakuwa Kenya njoo haraka HahahaMiaka yote naamini mimi ni Mtanzania. Nina Kitambulisho cha Nida, Napiga Kura, nina Passport. Kumbe si Mtanzania.
Kwa kauli ya Katambi nmevuliwa nguo kabisa. Wazazi hawakuwahi kunambia mpaka Waziri leo ndo kasema. Sielewi hata huko Kenya ndugu zetu ni Kabila gani. Nmechanganyikiwa sana.
Nimeuliza kwa wenzangu wengi nao wanasema hawajapata nikagundua tumejazana wakenya wengi sana hapa Tanzania. Je haiwezekani kuipora nchi?
Niseme tu. Mimi ni mmoja ya Vijana ambao hatujapata Mikopo ambao Waziri kasema hiyo mikopo wamegawa kwa Watanzania tu. Wakenya hawajapewa. So kama Hujapata usihangaike tena kutaka kujua uraia wako. Wewe si Mtanzania.
Mungu tunusuru na haya mambo. Basi afadhali angesema Mmarekani ningeomba nirudishwe huko. Sasa.... Nimechanganyikiwa kabisa.
Naibu Waziri-OWM, Vijana, Kazi na Ajira, Patrobas Katambi amesema kwamba, zaidi ya bilioni 150 zimekwishatolewa kwa vijana kama mikopo na kusema kama kuna kijana yeyote ambaye hajapata mkopo itakuwa pengine ni Mkenya.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 18, 2022, bungeni jijini Dodoma https://t.co/yFOlXUb9nD
Ni lini mtamuacha Magufuli? Ko hata baraza la sasa hivi ni la Magufuli? Wakati mwingine akili zinakuwa kama ziko makalioni, yaani Samia aliteua baraza lake na huyo Mwigulu alikuwa ashatemeshwa leo bado mnaita ni makapi ya Magufuli? Si mngewaua wote ili wabaki mnaowapendeni ninyi. Mnakera sana muda mwingine, mbona madhaifu ya Magufuli hamkusema ni makapi / madhaifu ya Kikwete? Sometimes tumieni hata robo ya bongo zenu kufikiri kabla ya kunena.Haya makapi ya Magufuli akili zao ziko kwenye makalio. Kuna yule ngumbu mwingine alituambia tuhamie Burundi. Watu walio zowea kuchungulia makalio ya ng'ombe wako kama ng'ombe.
Sijui Mh. Rais nae hizi kaulianaziona ni sawa kuacha wananchi wake kutukanwa hivyo au vipi??