Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tena wajinga haswaKatambi ni moja ya mawaziri vijana wapuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wajinga haswaKatambi ni moja ya mawaziri vijana wapuuzi
Usiume sana kijana,piga mahesabu tu,nchini hapa tupo jumla ya watu milioni 60!kama vijana ni milioni 30,hizo bilioni 150,ukizigawa kwa vijana kila mmoja anapata buku Tano tu!!!hata kilo ya nyama hainunui!!Miaka yote naamini mimi ni Mtanzania. Nina Kitambulisho cha Nida, Napiga Kura, nina Passport. Kumbe si Mtanzania.
Kwa kauli ya Katambi nmevuliwa nguo kabisa. Wazazi hawakuwahi kunambia mpaka Waziri leo ndo kasema. Sielewi hata huko Kenya ndugu zetu ni Kabila gani. Nmechanganyikiwa sana...
Alichukuliwa na Hayati JPM akiwa mtu sasa huko ccm wamembadilisha amekuwa sio mtu tena.
Nchi hii ngumu sana wasukuma wanalewa madaraka mapema sana
Si kweli kwamba vijana wa nchi hii hupata mikopo bali mikopo yote ihusuyo vijana hugawanwa na Viongozi wa chama tawala na vijana wao nao ni wale tu walio na connection.
Katambi acha dharau na hilo litakukosesha jimbo.
===
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 18, 2022, bungeni jijini Dodoma, wakati akijibu swali la mbunge wa viti maalum Sophia Mwakagenda, alilohoji kuhusu vijana kutopata ajira kwa zaidi ya miaka 6 sasa pamoja na kwamba mfumo wa utoaji wa mikopo katika Halmashauri kwa vijana mfumo umewatupa nje.
"Sisi kama serikali tunazotakwimu za vijana hawa, na wale wote wanaofanya application za ajira, vyuo vikuu vyote tumekuwa tukipata taarifa, tunao vijana zaidi ya laki mbili wanaoingia kwenye soko la ajira kutoka vyuo mbalimbali, pia tuna mifumo na programu tunazoziandaa ikiwa ni pamoja na internship, kuangaliziwa ajira ndani na nje ya nchi,"amesema Katambia
Aidha Katambi ameongeza kuwa, "Tumekuwa tukiendelea kutoa mikopo na zaidi ya bilioni 150 zimekwishakutolewa kwa vijana mbalimbali, kama kuna vijana ambao wapo labda pengine sio Watanzania ni Wakenya utanisaidia niweze kuwaingiza hapa tuone namna gani tunawasaidia,"
Afisa Kipenyo huyoMwisho wake October 2025 kama waitara
Afisa Kipenyo huyoKwani alichaguliwa na wananchi au wanaccm?
Wapiga makofi/wagonga meza nao hawakuwa nyuma kama kawaida yao.Serikali ya Tanzania imedai bungeni leo kwamba imekwisha mwaga kitita cha Tsh Bilioni 150 kwa Halmashauri zote nchini , kwa lengo la kutoa Mikopo kwa Vijana ( MAMA ANAUPIGA MWINGI ) , Na kwamba Vijana wote wa Kitanzania waliohitaji Mikopo hiyo wamekwisha pata na wanaendelea na shughuli zao za ujasiria mali kama kawaida , na KWAMBA KAMA KUNA KIJANA ALIYEHITAJI PESA HIZO NA HAJAPATA BASI LABDA NI MKENYA .
Taarifa hiyo Nzuri , kabambe na ya kutia moyo imetolewa na Naibu Waziri Mh Katambi kwenye vikao vya bunge vinavyoendelea Dodoma .
Mungu ibariki Tanzania .
Huyo katambi anamalizia tu ubunge wake aliogaiwa na magufuli anajuwa fika 2025hatopita hata kwenye kura za maoni za ccm.Waziri wa awamu hii wana uhakika. Hakuna aliyetimuliwa pamoja na dharau zote hizo
Kumbe ndio huyu !!!Huyu 2025 atafute pa kwendaView attachment 2230454
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Huyu inabidi akamatwe na kutiwa ndani au hata kupigwa vidole tu ili ashike adabu
Si kweli kwamba vijana wa nchi hii hupata mikopo bali mikopo yote ihusuyo vijana hugawanwa na Viongozi wa chama tawala na vijana wao nao ni wale tu walio na connection.
Katambi acha dharau na hilo litakukosesha jimbo.
===
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 18, 2022, bungeni jijini Dodoma, wakati akijibu swali la mbunge wa viti maalum Sophia Mwakagenda, alilohoji kuhusu vijana kutopata ajira kwa zaidi ya miaka 6 sasa pamoja na kwamba mfumo wa utoaji wa mikopo katika Halmashauri kwa vijana mfumo umewatupa nje.
"Sisi kama serikali tunazotakwimu za vijana hawa, na wale wote wanaofanya application za ajira, vyuo vikuu vyote tumekuwa tukipata taarifa, tunao vijana zaidi ya laki mbili wanaoingia kwenye soko la ajira kutoka vyuo mbalimbali, pia tuna mifumo na programu tunazoziandaa ikiwa ni pamoja na internship, kuangaliziwa ajira ndani na nje ya nchi,"amesema Katambia
Aidha Katambi ameongeza kuwa, "Tumekuwa tukiendelea kutoa mikopo na zaidi ya bilioni 150 zimekwishakutolewa kwa vijana mbalimbali, kama kuna vijana ambao wapo labda pengine sio Watanzania ni Wakenya utanisaidia niweze kuwaingiza hapa tuone namna gani tunawasaidia,"
Hivi neno "mstaafu" huwa tunalitafsiri na kumpachika mtu kwa urahisi namna hiyo siku hizi?Mwenyekiti mstaafu wa Bavicha
True,na kwa jinsi tulivyo waoga itachukua muda mrefu kuwaondoa hawa wajinga.Daktan ka dirren!Dhalim katuachia kusanyiko la mazuzu wa CCM hapo mjengoni
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hivi neno "mstaafu" huwa tunalitafsiri na kumpachika mtu kwa urahisi namna hiyo siku hizi?