Waziri Kigwangalla awacharukia wanaomsema hajui Kiingereza

Waziri Kigwangalla awacharukia wanaomsema hajui Kiingereza

Kiranga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
The preposterous pantomime position on my purported pedantic pugilism is purely Philistine pitter-pattering and power politics pouting by pity parties picking pickaninny points.
 
The preposterous pantomime position on my purported pedantic pugilism is purely Philistine pitter-pattering and power politics pouting by pity parties picking pickaninny points.
Kiranga unatufanya watu tujione hatujui chochote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kiingereza Chako kinaumiza kichwa
Hapa hadi nitafute dictionary lol[emoji1787]
 
Mimi kipindi kiingereza kipo sheki nilibahatika kukutana na Natives wenyewe,Americans. Waligundua kiingereza si lugha yangu hivyo wakawa wananiongelesha kwa spidi ndogo ili nielewe na mimi nikawa najibu kwa uwezo wangu na nikawa naeleweka.Ila kuna Mkenya fulani tulikuwa naye yeye alikifahamu sana tu na akawa anaona atapata ujiko zaidi kwa udhaifu wangu.Ila chakushangaza kazi nyingi zikawa zinakuja kwangu.
Siku moja nikawauliza mabosi wetu kulikoni,mbona mimi napata kazi nyingi kuliko yule jamaa.Wakasema wamependa jinsi ninavyofanya kazi zangu.Nikawauliza kuhusu lugha yangu sababu mwenzangu accent yake ilikuwa nearly American.Wakasema hilo nisijali,kwa spirit niliyonayo ntajua tu.Mwisho wakaniambia wanaenjoy kusikia Foreign Accent.
Baadaye kikakaa kichwani,japo si kivile.Sasa WaTz wenzangu huu ujasiri wa kuchekana kwenye lugha za kigeni sijui tunautoa wapi.
Mzigo abebeshwe punda ilo ukulijua mkuu
 
Naunga mkono hoja,kutojua lugha fulani hakuondoi usomi wa mtu,,ila kwa nchi yetu ukijua kiingereza tu basi utatazamwa kwa jicho tofauti

Humu ndani kuna "nyani" bingwa wa kiingereza hatari,ukibahatika kujua kiingereza kama cha yule kwa nchi yetu wewe ni msomi hata kama ni la saba
Tufike mahali tuseme ukweli. Kutokujua Kiingereza hapa Tanzania yetu kunaondoa usomi. Kupatikana kwa usomi ni kwa kupitia hiyo lugha. Somo la kemia ni gumu kuliko la Kiingereza. Utajuaje gumu na kushindwa rahisi na ambalo pia ni medium of instruction kwa lile gumu!
 
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.

Huo udaktari wake aliusomea kwa lugha ya “Kikimbu”????Yaani sijui ccm inawafanya nini hawa wajinga, kuna mwingine ana phd lakini anawahutubia watu na kuwaambia Saddam Hussein alikua raisi wa Kuwait!
 
Hebu mwageni hapa hicho chingereja chake tukamsikilizishe bwana boris johnson kama ataweza kumwelewa, au atahitaji msaada wa mkalimani..
 
Kuna mdau huku kwetu anasema kigwangala alipga HAVARD kuanzia undergraduate mpaka master hv ni kweli wadau au jamaa ananilisha matango pori.?
 
Back
Top Bottom