ukinunua kiwanja wakti umeoa, kama ulinunua wakati hujaoa hiko ni chakwako binafsiHamna tatizo ila ukija kuoa itabidi hati ieditiwe
Shetani hana rafiki , mlionywa sana mapema lakini mkapuuzaSie mabachelor mnatukopesha wanenu?
upuuzi mtupu
Hajui kuwa nchi hii ni halali kuwa na ndoa za wake wengi?...
Anataka kukita mfumo Kristo kupitia umiliki wa ardhi huyo.Mzee wa kigango analeta sheria za hisia.
We're in the right track wapinzani walituchelewesha sana..Hatupotei mkuu tupo kwenye mstari