Waziri Lukuvi: Kuanzia sasa ukiwa na kiwanja kinatakiwa kiitwe kwa jina lako na la mke wako

Waziri Lukuvi: Kuanzia sasa ukiwa na kiwanja kinatakiwa kiitwe kwa jina lako na la mke wako

Dini haina ukale na usasa. Kuoa wake wanne sio imani za kizamani. Mjifunze kuheshimu dini za wengine namna walivyopokea mapokeo yao.
Hamna dini inayoruhusu kuoa wake wengi hiiii nitaamaaa tuuu. Na kunadini moja inajifanya kurubuni waumini wao eti nilazima kuoa wake maelufu eti siovibaya, huo ulikua nimpango wa hao waeneza hiyo dini huku Africa baaada ya kuona wafrica wanapenda kizaliana saanaa. Lakini ukiwaaangalia wanzilishi wao hakuna mwenye wake wengi pamoja na utajiri wanaomiliki
 
upuuzi mtupu

Hajui kuwa nchi hii ni halali kuwa na ndoa za wake wengi?

Kwa hiyo ukimuoa Fatuma ukanunua kiwanja utamuweka fatuma, kisha baada ya miaka mitano ukamuoa Asha, itabidi ubadili hati umuongeze asha, baada ya miaka miwili ukamuoa Zainabu itabidi ukabadili hati umuweke na Zainabu? .

Je ukimtaliki Asha akakupekeka mahakamani kudai chake inabidi kiwanja kiuzwe ili mgawane hicho kiwanja licha ya kuwa umeandika majina ya wake zako wengine watatu waliobaki?

Au huyu mdini anataka kutengeneza mazingira ya kutaliki wanawake iwe ngumu kwa kufungamanisha mali na ndoa? - Anataka kuachieve mfano wa ndoa ya Kikanisa kwa watanzania wote kwa mlango wa nyuma?. Katika hilo Lukuvi hutofanikiwa ng'o!
Wewe ndio mdini kwasababu umetengeneza scenario yako halafu ukajijibu mwenyewe, sina hakika hata kama umeipata hiyo habari kwa undani lakini unakuwa mwepesi kuanza kulialia kama ilivyo kawaida yenu.

Mwanadamu mwenye akili timamu siku zote hutafuta mlango mwingine wa kutokea pale anapoona mlango alioutegemea umefungwa, sasa wewe badala ya kulialia na tabia yako ya kuoa na kuacha hovyo, nakushauri hakikisha kila utakaemuoa ummilikishe kiwanja chake binafsi, na hayo yawe makubaliano yako na wake zako, kila mke mmoja awe na mali yake mkishirikiana, sio mali zile zile miaka yote halafu unarundika majina yote ya wake zako.
 
Anataka kukita mfumo Kristo kupitia umiliki wa ardhi huyo.

Anataka ndoa za wake wengi ziwe ngumu na pia anataka kutaliki mwanamke iwe ngumu kwa sababu ya complications za kufungamanisha ardhi na mke. Kwa hivyo indirecty anataka kuweka incentive ya ndoa ya mume mmoja mke mmoja kama ya kanisani. Lukuvi ulipolala jana tumemkia juzi, huwezi kufanikiwa!
Huo mfumo kristo si huwa mnasema ulishawekwa toka zamani? kumbe huwa hamjui mnachoongea, hebu punguza mihemko.
 
Ngoja nimwambie mwenyekiti wangu Le Mutuz anipekadi ya kudumu ya senior bachelor 4 life
 
Huyu Waziri akapimwe Mirembe matamko yake mengi ni roporopo mara Mvamizi hata vunjiwa alipo vamia mara mvamizi akipitiwa na ring road TANRODS watamlipa sasa kweli huyu mzima kichwani?
 
1608392460217.png
 
Mimi nadhani kabla ya mtu ambaye hajasoma sheria hata kama ni Waziri kabla ya kuja public na ajenda yoyote basi apate ushauri wa kina kabisa!
Unaweza kuwa na nia nzuri kabisa ya kutatua tatizo la mirathi lakini ukasababisha tatizo lingine la kufanya ardhi ikawa valueless kabisa! Bank gani itachukua ardhi kama collateral wakati ina mlolongo wa beneficiaries ambao wasipo- consent wote basi property hiyo siyo viable for loan?!
 
Tunapo elekea tutakuja kuambiwa "bila kua na cheti cha ndoano" basi hatuja fuzu kupata huduma popote...🤸🤸
 
Back
Top Bottom