Hapo waziri kateleza kuandika jina la hawa kwenye hati ni tatizo kubwa wengi wanakuja kubadilika angesema tuandike jina la mtoto siyo mke mwanamke kiwanja anunuwe chskwakeWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema sheria inaruhusu kuandikwa majina yote mawili ya wenza katika hati za umiliki ardhi na Wizara ya Ardhi imekuwa ikisajili Hati nyingi zenye majina yote mawili ya wenza na wengine husajili na majina ya watoto wao.
We ni kula kunya?Wewe kula kulala tulia wachangie wanaomiliki viwanja!
Kwani ndoa ya mume mmoja na mke mmoja ina tatizo gani mkuu?Anataka kukita mfumo Kristo kupitia umiliki wa ardhi huyo...
Imani za kisasa unazijua?Bado unaimani za kizamani zile zakiumasikini? Unaoa wake wote hao umeambiwa wake nikama mbuzi wa nyama chomaa??
Haurusiwa kuwa na kiwanja subiri uoe kwanzaKama sijaoa je? Au sitoruhusiwa kua na hati
HahahahàahahaahaSie mabachelor mnatukopesha wanenu?
HahaahahahahahaAnataka akina P Diddy wawe wengi hapa nchini
Kama Kuna kitu hunaufahamu nacha kaakimya au uliza Kwanza usikanushe kila usichokijuaHamna dini inayoruhusu kuoa wake wengi hiiii nitaamaaa tuuu. Na kunadini moja inajifanya kurubuni waumini wao eti nilazima kuoa wake maelufu eti siovibaya, huo ulikua nimpango wa hao waeneza hiyo dini huku Africa baaada ya kuona wafrica wanapenda kizaliana saanaa. Lakini ukiwaaangalia wanzilishi wao hakuna mwenye wake wengi pamoja na utajiri wanaomiliki
Hahaahahhahaahhaha
ndio uoe sasa !ebooh!!!unanunua kiwanja ili ukafugie mbuzi au? una hadi pesa ya kiwanja halafu kuoa hutaki unadhani hao wanawake wataishije!!!Kama sijaoa je? Au sitoruhusiwa kua na hati