Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 770
Kumbuka alieongea ni waziri wa mambo ya ndani..Kama DPP alisema kuwa ameibiwa, yeye ndiye alitakiwa kuja kukanusha kwamba hakuibiwa, na siyo mwingine kuja hapa kusema aliyeibiwa ni kwingine(ofisi ya mashtaka Mkoa wa Dar), Je wana share office?