Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

Mimi hapo namuamini Mkurugenzi wa TPDC,
 
Ndio wanaanzaga kuyumbisha process taratibu na kutengeneza uhaba matokeo yake ni upigaji kwa njia ya kuleta rescue plan!

Ubaya wa huyu jamaa yani anaonekana ana mawenge anataka atege mabomu ya upigaji sector zote kwa mara moja yani! Ina maana kule JKNHPP kashaharibu na huku kwenye mafuta soon anaharibu. Halafu hatumii weledi yani kuandaa mashambulizi anakurupuka kiasi kwamba watu tunasanuka wazi kabisa kwamba kipigo kiko live!

Tutegeemee petrol kufika tsh.3000 ili kupenyeza channel yake ya kudokoa mapene humo
 
Mkurugenzi wa TPDC si mteule wa Rais sasa waziri yeye ana mamlaka gani ya kumuoji au ndo Yale ya Nape kumuundia tume mkuu wa mkoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly
 
Naona na hili wame likwepa kisiasa hawataki tujue ukweli

SUBIRI KIDOGO
 
Kwa akili zako huo ndo uthibitisho wako?

Kumbe naweza kuwa najaribu kumuelewesha au kuomba ushahidi kwa chizi humu
 
hizi kazi za kupewa kwa hisani ndo zinalirudisha nyuma taifa, kwenye wizara hiyo makamba ni kama debe tupu
 
Lengo la makamba nikutaka kumuondoa mataragio..kumbuka Samia siku anaingia ofisini alimuondoa na kumtangaza uvccm wa bsc community development kuwa DG wa TPDC baada ya watu kupiga kelele ndo akapatilisha..So bado amataragion wamemuwinda na soon ataondolewa
 
Mkuu je anakusikia?
 
Ninashauri iundwe tume ya kuchunguza uwepo wa mafuta au la. Makamba anaingiza nchi ngizani kwa maneno yake mengi yasio na mwisho wala mwanzo.
Changamoto ninyo iona mie madam president hawez kutegua uteuz wake ever maaaana anakuja ataonekana katoa boko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…