Waziri wa Nishati, January Makamba amesema haya...
“Hakuna uhaba wa mafuta nchini. Hakuna sababu ya kuwa na taharuki. Utaratibu wa kuingiza mafuta unahakikisha kwamba mahitaji yapo wakati wote. Serikali inaendelea kuchukua hatua kuongeza uhakika wa upatikanaji na unafuu wa bei”.
“Kauli ya uhakika ni ya Serikali. Mkurugenzi wa TPDC atatoa taarifa kuhusu taarifa yake hii manake aliitoa kwenye semina ya wanahabari lakini ni gazeti moja tu ndio limeandika. Pia atakuja ofisini kutoa maelezo kabla hatujachukua hatua za ziada”.
Pia soma >
TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15