Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Katumwa huyo
 
Hata akimshambulia wacha tu maana hakuna anacho tusaidia sisi wananchi na pia Makamba ana majibu ya dharau sana
 

Mawaziri wa Mwendazake walikuwa wanawadanganya mkazoe kupewa matuamini fake. Huo ndio ukweli
 
Mimi siyo kituko, niko humu kama JF Expert member tangu 2012. Respect your elders young creature
Alyejiunga humu 2011 tumuitaje ewe kilaza?!

Mbona unaishi kwa kukariri kwamba unapoona new member humu ndiyo unamhukumu kwalo?

Mangula alikuwa boss CCM na alipumzika kwa muda je unahabari na sasa ni boss CCM?

Jiongeze ewe klza na si kila mgeni unapomuona ktk kijiji ulichohamia ni mgeni wengine ni wenyeji kuliko wewe pengine walilowea mjini ndiyo maana hukuwakuta ulipohamia kwenye kijiji hicho...bldfckn!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…