Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Kuna mchezo unachezwa na January, awe makini, sbb Hili Bwawa la Nyerere naona kama vile analipinga kiaina. Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba angedhubutu au waziri yeyote kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.
Kwani Mkamba umemjua leo kuwa uo mradi hautaki? Alianza kipindi yuko Waziri wa Mazingira na mambo ya Muungano, walikuwa na kamati yao ya kutamini athali zitakazotokana na na uo mradi wakati wa ujenzi na namna ya kuziepuka! Nilishangaa walikuja kupemdekeza choo kiwe kilometer 10 toka eneo la mradi unapotekelezwa then katika eneo ilo lisondondokee oil! Just imagine eneo kama kama lile lenye mitambo kibao eti oil isidondokee.....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Hivi Samia alitumia kigezo gani kumpa huyo kipara wizara nyeti kama hii ?
 
Kwani daraja la Tanzanite wametumia winch gani?
Tanzanite! Jiulize lile daraja la SGR zile berms zilifikaje kule juu
images.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonesha kuna kundi kubwa la watu influential linaupinga mradi wa umeme wa Rufiji, tushukuru JPM aliukimbiza huu mradi kiasi kwamba umefika mbali kwamba kuureverse haiwezekani hivyo kinachofanyika ni kuuhujumu ili uchelewe au usiwe na manufaa kwa nchi.

Lengo la JPM ilikuwa mradi ukikamilika bei ya umeme ishushwe; lakini kutokana na namna ya gharama za uendeshaji wa TANESCO kuzidi kupelekwa juu kutokana na mikataba ya kifisadi iliyoanza kuingiwa kama ule tuliotangaziwa basi mradi wa Rufiji utakapokamilika bei haitashuka kwa sababu nafuu itakayopatikana itagharamia ufisadi.
Hivi bwawa la umeme rufiji likikamilika na kutumika umeme huo wa Bei rahisi,huu wa Bei ghali tunaufanyaje!?
 
Mlizoea kudanganywa na marehemu sasa mnaambiwa ukweli mnapanic wabongo bwana.
 
Kwahiyo Mkuu,
Kwanza Nimekupa Like,
Pili Kwa hiyo hilo winch lina Uwezo wa Kunywnyua Tani 26?Au halina Uwezo?
Ukiachana na Maneno mara nyingi Capacity za Machini Zinaandikwa kwenye Plate number kwa Mbele au Ubavuni mwa Equipment au Kwenye Engine!Kuna Kibati Either Colour au aluminium Ndio kinaandikwa Capacity of the Machine Kaka:
Load/lift Max tons:
Inawezekana ikawa Kweli Hatuna Winchi la Uwezo huo Kaka[emoji41]
Kwavyovyote haliwezi kosa si bandalini wala kwa wao wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niko huku kwenye mradi najionea kinachoendelea huku Wao wenyewe JV wamejenga crane kubwa yenye uwezo mkubwa wa kubeba mzigo wowote inauwezo wa kunyanyua na kutembea kwenye reli yake angalia hayo Mawe hapo hapo 8 kula upande =16 kila moja lina uzito wa tani 10

View attachment 2007354
Mkuu vip kuhusu kasi utakelezaji wa mradi? Inalidhisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani sasa hivi anakamilisha kujenga bwawa kubwa la kuzalisha umeme,sasa jiulize china hakuona vyanzo vyengine?
China wana vyanzo vingine vingi. Hiyo Hydro yao sio ya kutegemea sana wanaongezea tu
 
Mbaka linakuja kupatikana ilo winchi basi na jua hili maji yatakuwa yamepungua tutambiw tusubir mvua
 
Mwezi March/April mwaka huu Kalemani alitwambia ujazaji wa maji kwenye bwawa hilo ungeanza mwezi november mwaka huu, sasa kulikoni?
Zile zilikuwa siasa mkuu.... mimi nilikuwa nashangaa eti wanajenga bwawa kwa miaka 2! Bwana la 2115MW kwa miaka miwili?

Anyways, walitwambia pia SGR Dar Moro 2019 December tutaanza, leo tunaenda 2021 December bado wanajenga tu.
 
Kwani Mkamba umemjua leo kuwa uo mradi hautaki? Alianza kipindi yuko Waziri wa Mazingira na mambo ya Muungano, walikuwa na kamati yao ya kutamini athali zitakazotokana na na uo mradi wakati wa ujenzi na namna ya kuziepuka! Nilishangaa walikuja kupemdekeza choo kiwe kilometer 10 toka eneo la mradi unapotekelezwa then katika eneo ilo lisondondokee oil! Just imagine eneo kama kama lile lenye mitambo kibao eti oil isidondokee.....!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah choo kilometres 10? Hiiiiiiiiiii
 
China wana vyanzo vingine vingi. Hiyo Hydro yao sio ya kutegemea sana wanaongezea tu
Wewe si umesema ni tech ya kizamani?China kwenye umeme wa maji anatarget nwananchi wake kupata umeme kwa bei nafuu, kwani hashindwa kuweka mitambo ya nuklea au gesi kuzalisha umeme,ila anacho angalia ni unafuu wa gharama upande wake ujenzi na kwa mwananchi.

Sasa jiulize umeme wa maji 6tn,juzi tu wameingia mikataba ya uchimaji gesi 70tn ipi ni gharama?Unapokuwa na umeme wa gharama nafuu hata gharama maisha zinashuka.
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi [emoji23].

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Atafinyinga Sana Ila sidhani kama atatumbuliwa.
 
Willing hakuna ya mradi huo kutekelezwa from his side. Hata kama mtu ni mzuri, mamlaka za uteuzi zingekua zinafanya upembuzi yakinifu sana wangeweza kumpatia wizara nyingine, inayukumnisha sana waziri ambaye alipinga ujenzi wa bwawa wakati akiwa mazingira na aka block block upembuzi yakinifu kuwa bwawa lingeharibu mazingira na bora kutumia vyanzo vingine vya umeme leo hii hii unampatia wizara hiyo hiyo ya kufua umeme kupitia uwekezaji mkubwa wa bwawa hilo hilo alilolipinga.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Makamba amewekwa pale kimkakati😅 mtaumiza sana akili ila rest assured dogo yupo wizarani ili kuipa uhai michongo ya mstaafu anayelima mapapai chalinze 😅!


Gas ina faida by far kwa mstaafu yule, na kisa cha yeye kuwekwa kwenye nafasi ile ni by influence ya mstaafu. Unaweza kuona win win situation, mkataba wa Stieglers hauna manufaa yoyote kwao hasa kwenye swala la 10% so hata wakiuwa mradi kwao sio ishu ila ile gas ikikamilishwa kule dirty south wao watapata mkate wao wa kila siku! So dhamira ni kufelisha huku na kupeleka nguvu kule ili umeme ukishaanza kufuliwa hela zianze kuingia kwenye tributaries zao.

Akiwa na power awanie u president kabisa ili atengeneze michongo zaidi.
 
hydroelectric power ni technic ya kizamani sana ya kuzalisha umeme, mwendazake alituingiza chaka, sasa mradi unatudodea. Makamba upo sahihi.
Ila maji hayana madhara kwa mazingira kama gases! Sijui kama umelifikiria hilo kwa kina. Flow ya maji haita contaminate mazingira kwa namna yeyote ile.
 
Back
Top Bottom