Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

Waziri wa hovyo kuwahi kutokea.
 
Makamba kubali tuu kwamba you don't fit kwenye hiyo position uliyopo, mipasho ya nini?
Kama hafai mje na facts

inakuaje Generator ya Uwanja wa Taifa ikizimika katikati ya mechi ahusishwe Waziri wa Nishati

kama Umeme umekatika ndani ya Ubunge kwa hitilafu za Jengo ahusishwe Waziri wa Nishati?

Tabia yenu ya kumshambulia kwa hoja nyepesi nyepesi mara mtu akifa ofisi ya CAG basi akitajwa yeye kahusika basi nasi tuamini kichwa kichwa …hapana

Makamba sio chaguo langu lakini pia sikubali mtu kuchafuliwa

nilikuwa simkubali Lowassa lakini pia nilikuwa sikubali Siasa chafu dhidi yake
 
Umeandika ujinga kujifurahisha lakini sio kumuaminisha mtu yoyote hapa, usifikiri watu hawajui na hawaoni
 
Hata kwenye gas ya Mtwara mlijitapa hivi hivi na mkaenda mbali sana mkasema Kukatika umeme Tanzania itakuwa historia.Mnatufanya mazezeta lakini historia hujiandika kwa matendo na maneno yenu.
 
Kuna jambo lipo Waziri mwizi,fisadi na mzembe anafumbiwa macho aendelee kuiumiza nchi.
 
Hata kwenye gas ya Mtwara mlijitapa hivi hivi na mkaenda mbali sana mkasema Kukatika umeme Tanzania itakuwa historia.Mnatufanya mazezeta lakini historia hujiandika kwa matendo na maneno yenu.
Na waliopinga hili walitandikwa mabomu kwelikweli
 
Tatizo hii wizara mliianza kwa propaganda nyingi mno Bwana Makamba kutaka kuonesha waliotangulia walikuwa hawafai na bado mnaendelea na huu utoto.

Juzi Kaimu Meneja wa Huduma kwa wateja (TANESCO) anadai katikakatika ya umeme mitaani ni wiring za nyumba hazifanyiwi service.

Yaani mtaa,kata au wilaya nzima ikose umeme kisa hawajafanya service ya wiring za nyumba huku zingine nyumba mpya kabisa!

Hii wizara haitaji porojo,ukifanya fyongo hadi vipofu wanajua leo hakuna umeme.
 
jambazi kubwa, kisasi pekee atakacholipiza ni kuiba pesa zaidi.

we jitu gani kila linapokwenda linachukiwa, anadhani ni coincidence tu?? kajamaa kanajifanya kajanja sana lakini tamaa zake zinamfanya avurunde.
anayemchukia nani, labda we na mamako, lile ni jembe jana alikuwa anasifiwa na kila mbunge. Nami namkubali sana ana akili na maarifa makubwa sana, na ni mvumilivu ana ngozi ngumu hasikili wala kuzingatia porojo za wapuuzi km wewe. Na umeze sumu siku akiwa rais wa nchi hii. Kinachowasumbua wivu mlitegemea angechemka lakini amefanya na anaendelea kufanya makubwa.
 
Mama yangu kaingiaje hapa? Hii ndio athari ya nyie mitoto ya kuzaliwa kwenye madanguro mnahisi kila mtu ni baba yenu.
 
Gesi ya Mtwara mmefikia wapi?Kumbukeni Ahadi ni deni?
 
Ungeyataja hayo aliyofanya makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…