Waziri Makamba: Tanzania kuanza kuuza gesi nje "labda" baada ya miaka 6 kuanzia sasa

Waziri Makamba: Tanzania kuanza kuuza gesi nje "labda" baada ya miaka 6 kuanzia sasa

Mwambie asihangaike na hiyo gesi kwanza pesa ya kuchimba wanayo? au ndio wanasubiri "mikopo nafuu"?

Atuambie ile winchi ya tani 26 aliyoagiza kwa ajili ya Nyerere Dam toka nje iko wapi?
Waziri wa michongo huyu
 
Eee Mungu ee.Mungu ee jibu gani yaani mimi CCM nimechoka. Chadema nipeni pole na vyama vyote vya upinzani nipeni pole nisije kufa kwa Pressure huyu Waziri Makamba Mama Samia uwe serious kwa mambo mazito huyo mtoe

Mama Samia kaongea vizuri mno kuwa pale ambapo Serikali haiwezi sekta binafsi ataipa nafasi wafanye

Mama Samia umemsikia Waziri wako huyo wewe ndie ulimpa uWaziri

Kote unavyoenda nje umekosa watu wa kushirikirikiana na Serikali kwa mfumo wa PPT?

Huyu Waziri wako mhujumu uchumi toa tupilia mbali fursa imefunguka anaongea ujinga matajiri kibao wa nje waweza kuja hata Kesho wakawekeza uwekezaji aa uhakika wana mipesa na teknolojia

E Mungu nini hiki kaongea Makamba
😂😂😂 Mambo ni magumi sana! Watu wamehodhi vyeo na kujifanya wao ndiyo think tank yetu! Makamba anaona tatizo gani kushirikisha watu wengine katika suala hili nyeti kwa ustawi wa nchi yetu?
 
Yaani almost 50 Trillion Cubic Feet ambazo hazijaguswa ndo gesi kiduchu?

Na hao Rwanda wana gesi kiasi gani iliyogunduliwa hadi sasa?!
Sina takwimu, lakini katika nchi zenye akiba kubwa ya gesi hatumo kabisa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] CCM mbona wanapenda kuuza umeme nje mara Gesi, wakati ndani hautoshi
 
Kote unavyoenda nje umekosa watu wa kushirikirikiana na Serikali kwa mfumo wa PPT?

Huyu Waziri wako mhujumu uchumi toa tupilia mbali fursa imefunguka anaongea ujinga matajiri kibao wa nje waweza kuja hata Kesho wakawekeza uwekezaji aa uhakika wana mipesa na teknolojia

E Mungu nini hiki kaongea Makamba
Naona ama unaongea kwa ushabiki au huna taarifa sahihi. Hebu tafakari yafuatayo:-

1. LNG Processing Plant peke yake itagharimu almost USD 30 Billion!!

Hivi una habari Market Capitalization ya Biashara zote kubwa Bongo zinaweza zisifike hata 50% ya hiyo USD 30 Billion?!

Nani anaweza kukukopesha almost Sh 70 Trillion kwa ajili ya ujenzi wa Plant ya kuchakata gesi TU?!

2. Kwavile hatuna skills wala technology labda tunaweza kufanya management contract with high skilled and expertize!!

Data zilizopo zinaonesha kiasi kikubwa cha gesi kipo deep sea (more than 2 km from the shore) huku zikiwa kwenye kina kirefu (again almost 1 km from sea surface)

Again, kama LNG Processing Plant tu inachukua almost 70 Trillion, umeshajiuliza investment cost za uchimbaji itakuwa trillion ngapi kabla hatujaanza kuuza tone la kwanza? Na ni nani anaweza kukukopesha hizo? Yule yule aliyekukopesha trillions za kujenga LNG Plant, ama?

2. Gas Exploration ilifanywa na Oil Companies kwa gharama zao. Umetumia pesa kidogo sana kwa kisima kimoja TU JUST for exploration, basi utatumia Sh 50 Billion! Unverified reports zinasema maandalizi yote hadi sasa yamekula zaidi ya TZS 5 Trillion.

That said, kama tunaamua kuchimba wenyewe basi tunatakiwa ku-refund hizo!!

Now tell me: Ni taasisi ngapi TZ zina uwezo ku-mobilize capital ya angalau hiyo 5 Trillion just for refund kabla hatujagusa hiyo LNG Plant?

Btw, ikiwa Kamanda Magu alishindwa kujenga hata Copper Smelter as a result of Mgogoro wa Makinikia. Utafiti wa mwanzo ulionesha thamani ya Smelter by the time ilikuwa USD 500 MILLION (TOP)!

Sasa ikiwa tumeshindwa kujenga hata Smelter isiyofika hata USD 1 Billion, ndo tutaweza kujenga plant ya USD 70 Billion?

Ngoja nikuambie! Pamoja na porojo mnazoambiana hapa JF na porojo zingine kutoka kwa wanasiasa, ukweli mchungu ni kwamba TAIFA LENU NI MASKINI WA KUTUPWA!! Eti Tajiri namba 1 nchini ana utajiri sawa na Jigga huku utaji wenyewe hata Wabongo wenzake wanatilia mashaka... halafu ndo muwe na ubavu wa ku-invest kwenye gesi?!
 
Naona ama unaongea kwa ushabiki au huna taarifa sahihi. Hebu tafakari yafuatayo:-

1. LNG Processing Plant peke yake itagharimu almost USD 30 Billion!!

Hivi una habari Market Capitalization ya Biashara zote kubwa Bongo zinaweza zisifike hata 50% ya hiyo USD 30 Billion?!

Nani anaweza kukukopesha almost Sh 70 Trillion kwa ajili ya ujenzi wa Plant ya kuchakata gesi TU?!

2. Kwavile hatuna skills wala technology labda tunaweza kufanya management contract with high skilled and expertize!!

Data zilizopo zinaonesha kiasi kikubwa cha gesi kipo deep sea (more than 2 km from the shore) huku zikiwa kwenye kina kirefu (again almost 1 km from sea surface)

Again, kama LNG Processing Plant tu inachukua almost 70 Trillion, umeshajiuliza investment cost za uchimbaji itakuwa trillion ngapi kabla hatujaanza kuuza tone la kwanza? Na ni nani anaweza kukukopesha hizo? Yule yule aliyekukopesha trillions za kujenga LNG Plant, ama?

2. Gas Exploration ilifanywa na Oil Companies kwa gharama zao. Umetumia pesa kidogo sana kwa kisima kimoja TU JUST for exploration, basi utatumia Sh 50 Billion! Unverified reports zinasema maandalizi yote hadi sasa yamekula zaidi ya TZS 5 Trillion.

That said, kama tunaamua kuchimba wenyewe basi tunatakiwa ku-refund hizo!!

Now tell me: Ni taasisi ngapi TZ zina uwezo ku-mobilize capital ya angalau hiyo 5 Trillion just for refund kabla hatujagusa hiyo LNG Plant?
Hujaelewa hata kitu kimoja nimeongea Very sad

Nimeongelea PPP? hivi PPT unajua hata ni kitu gani nisipoteza muda kuongea na mtoto wa kindergarten

Ulichoandika uko mweupe sifuri kichwani huelewi hata PPT ni nini? Sad loo!! Kama wewe ni kiongozi au mshauri wa Samia nakosa nikupomoshee tusi gani

Hopeless kabisa
 
Kidunia, Afrika, au Afrika Mashariki?
Hata, ukija East Africa, takwimu zinaonyesha Rwanda Na Uganda wana gesi nyingi kutuzidi. Msumbiji ndiye wako level zingine kabisa hatuwagusi.
 
Hujaelewa hata kitu kimoja nimeongea Very sad

Nimeongelea PPT? hivi PPT unajua hata ni kitu gani nisipoteza muda kuongea na mtoto wa kindergarten

Ulichoandika iko.mweupe sifuri kichwani huelewi hata PPT ni nini? Sad loo

Hopeless kabisa
Nikuulize wewe... hivi unajua hata hiyo PPT ni nini?!

Ni PPT au ulikuwa unajaribu kusema PPP?

Anyway, nipe hilo darasa la PPT!!!
 
Nikuulize wewe... hivi unajua hata hiyo PPT ni nini?!

Ni PPT au ulikuwa unajaribu kusema PPP?

Anyway, nipe hilo darasa la PPT!!!
PPP unajua maana yake? NILIANDIKA KWA HASIRA KWA UJINGA ALIOJIBU WAZIRI HADI NIKAKOSEA SPELLING LOO

Waziri anajibu jibu la uswahilini swali serious kama hilo
 
Bwah! Bwah! Bwah!!

Kumbe unaanza kutoa lugha chafu wakati hata ulichokuwa unakiongea hukijui?

Anyway, tuyaache hayo...

Mwanzoni nilikuuliza hivi una habari biashara zote kubwa Tanzania hata Market Cap yake haiwezi kufika USD 15 Billion let alone USD 30 Billion ambazo ni ONLY for LNG Plant?

Chukua MIFUKO YOOOOTE YA KIJAMII, hawawezi kuwa na ubavu wa ku-mobilize hata USD 1 Billion!!

Sasa hiyo PPP unayoisema wewe ni ipi?!

Au ni PPP ya kuhusisha taasisi za nje?

If YES, then what's difference?!

What's the difference kwa sababu huwezi kuwa na uwezo wa kuchangia hata 25% of capital, bado itakuwa ni kitu kile kile!
 
PPP unajua maana yake? NILIANDIKA KWA HASIRA KWA UJINGA ALIOJIBU WAZIRI HADI NIKAKOSEA SPELLING LOO

Waziri anajibu jibu la uswahilini swali serious kama hilo
Katoa jibu lipi?

Kama kazungumzia Wawekezaji kutoka nje, huo ndo ukweli wenyewe! Hata uwe na hasira vipi ukweli huo huwezi kubadilika kwa sababu kama taifa hamna ubavu wa ku-mobilize hiyo capital unless tuendelee na usemi "Tuiache tu ardhini kwa sababu haiozi"

Huo ndo ukweli mchungu unaotakiwa kuumeza, na kama utalazimika kuutema basi usieteme kwa chuki na hasira!

Ni uchungu ule ule ambao Msema Mbovu Muhongo alisema wazi kwamba "Wafanyabiashara wa Tanzania mna pesa za kutengenezea juisi tu lakini sio ya kuchimba gesi"
 
Back
Top Bottom