Waziri Makamba: Tanzania kuanza kuuza gesi nje "labda" baada ya miaka 6 kuanzia sasa

Waziri Makamba: Tanzania kuanza kuuza gesi nje "labda" baada ya miaka 6 kuanzia sasa

Bwah! Bwah! Bwah!!

Kumbe unaanza kutoa lugha chafu wakati hata ulichokuwa unakiongea hukijui?

Anyway, tuyaache hayo...

Mwanzoni nilikuuliza hivi una habari biashara zote kubwa Tanzania hata Market Cap yake haiwezi kufika USD 15 Billion let alone USD 30 Billion ambazo ni ONLY for LNG Plant?

Chukua MIFUKO YOOOOTE YA KIJAMII, hawawezi kuwa na ubavu wa ku-mobilize hata USD 1 Billion!!

Sasa hiyo PPP unayoisema wewe ni ipi?!

Au ni PPP ya kuhusisha taasisi za nje?

If YES, then what's difference?!

What's the difference kwa sababu huwezi kuwa na uwezo wa kuchangia hata 25% of capital, bado itakuwa ni kitu kile kile!
Ndio husisha taasisi za nje pesa huna, teknolojia huna pesa ipo nje na teknolojia ipo nje

Si uende PPP upate kodi wao wapate na wewe upate kodi foreign

Makamba alichojibu BBC ajitathimini kama anatosha
 
Hatari sana, kazi ya kutoa nchi hii kwenye umaskini haina tofauti na kazi ya Sisyphus
Acha kumsikiliza huyo..

Tanzania kuna a total of almost 57 Trillion Cubic Feet of Gas.

Gas ya Msimbati na Songosongo ambayo ni takribani 7.5 Trillion Cubic Feet ndiyo tayari imeanza kuchimbwa, na ndiyo ambayo, kwa ile ya Msimbati kama sikosei TPDC wana 20 or 25% share, ile ya Songosongo sikumbuki!

Mbali na hizo 7.5 Trillion Cubic Feet, 50 Trillion Cubic Feet bado zipo!!! Kiwango gani tunaweza kumiliki itategemea na uwezo wetu wenyewe manake kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta na Gesi ya 2015, mmiliki wa Vitalu ni TPDC ambae anatakiwa kuwa na AT LEAST 25% Production Sharing Agreement na percent inaongezeka with time!

Kama Taifa tutakuwa na pesa, tunaweza kuwa na zaidi ya 25%!
 
Katoa jibu lipi?

Kama kazungumzia Wawekezaji kutoka nje, huo ndo ukweli wenyewe! Hata uwe na hasira vipi ukweli huo huwezi kubadilika kwa sababu kama taifa hamna ubavu wa ku-mobilize hiyo capital unless tuendelee na usemi "Tuiache tu ardhini kwa sababu haiozi"

Huo ndo ukweli mchungu unaotakiwa kuumeza, na kama utalazimika kuutema basi usieteme kwa chuki na hasira!

Ni uchungu ule ule ambao Msema Mbovu Muhongo alisema wazi kwamba "Wafanyabiashara wa Tanzania mna pesa za kutengenezea juisi tu lakini sio ya kuchimba gesi"
Makamba kajibu kitoto mno
McHale,ngano,sukari nkmbona tunaagiza nje wakati ndani tunao

Sembuse kama hatuna uwezo wa hizo gesi kwa nini tusitumie PPP?
Kajibu BBC kiswahili kama mswahili wa uswahilini ambaye hata shule hajawahi kanyaga
 
Ndio husisha taasisi za nje pesa huna, teknolojia huna pesa ipo nje na teknolojia ipo nje

Si uende PPP upate kodi wao wapate na wewe upate kodi foreign

Makamba alichojibu BBC ajitathimini kama anatosha
Ndo maana nikahoji hizo taasisi ni zipi?!

Nchi hii, nchi zingine nyingi, mifuko ya kijamii ndo huwa na pesa ya kutosha kwa sababu wao huwa wanafanya kazi ya kuingiza tu!!

Now tell me: Hivi mifuko ambayo hata kulipa wastaafu bado inakuwa mgogoro, hivi unaamini wanaweza kuwa na ubavu wa ku-mobilize angalau USD 1 Billion?

Hivi ukiondoa NSSF, ni mfuko gani mwingine wenye pesa ya maana?!

Acha hiyo mifuko ya kijamii... taasisi nyingine ni ipi? TPA?! Mabenki ambayo yote kwa ujumla deposits zao hazifiki hata USD 1 Billion?

Man...

Hakuna anayependa kampuni za nje ndo zije kuchimba gesi!

Back in 2000's niliwahi kuandika makala ndeeefu kwenye Gazeti la Rai kuhusu ni namna gani Tanzania tungeweza kuitumia NICOL kama capital mobilization basket ili investments kubwa kubwa ziwe zinatumia domestic capital na hatimae klu-enjoy multplier effect, kumbe NICOL yenyewe ilikuwa na mkono wa "Wajanja"

Back 2015 nilishaandika post ndeeefu kuhusu namna gani TUNAWEZA KUSHIRIKI kwenye Upstream Segment of Gas Industry.

Yote hiyo ni katika kuona na kuelezea umuhimu wa kuwekeza sisi wenyewe lakini siwezi kujitia upofu na kuamini eti Serikali kupitia PPP Locally tunaweza kufanya kwa 100%... hatuna huo ubavu at least for now!!
 
Na baada ya wewe mwenyewe kuiangalia hiyo link...

Je, Tanzania ipo chini ya Rwanda na Uganda au juu ya Rwanda na Uganda?
Uganda ipo juu.

Screenshot_20220309-205811.png
 
Mama Please kuna vitu unatakiwa seriousness sio uswahili

Hatuna miundombinu agiza wawekezaji upesi kwa win win situation achana na ushauri wa kipumbabu wa Makamba alioongea na BBC


Kama kuna waziri haienei iweke wizara chini ya ofisi ya Raisi au Waziri

Makamba majibu ujinga anatoka simple answer kwenye tough question
Mkuu, hata ukipata mwekezaji leo akaanza kazi 24/7 nakwambia atahitaji miaka zaidi ya 5 kuanza kusafirisha hiyo gesi nje akiwahi sana sana.

Nickel mwekezaji yupo site tayari ila productuon tunaambiwa itaanza 2025 kama atafanya kazi 24/7

So Makamba yupo sahihi, kuchimba nishati si biashara ya kitoto kama ya kuagiza kontena china kesho yake unatafuta fremu kariakoo.
 
Akihojiwa na BBC leo kuhusu uwezekano wa Tanzania kuchukua fursa hii ya vita baina ya Russia na Ukraine kuuza gesi yake nje ya nchi Waziri wa Nishati Mhe. Makamba amesema uwezekano huo haupo labda baada ya miaka 6 kuanzia sasa ndiyo miundombinu wezeshi inaweza kukamilika na kuanza kazi.

Watanzania bado tuna safari ndefu kuanza kutumia na kufaidi uchumi wa gesi.
Tatizo tuna mawaziri rafiki na rais, hawawezi kuwajibika kwa kulindwa hata wahoyange. Hili halikuwa jibu kwa mtu kama yeye.

Makamba ni kama taahira hivi. Wizara ya nishati ni kama inazidi kupoteza mwelekeo. Tumerudi kulekule kukatikakatika umeme kila mara.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mpaka tuuze nje hapa nyumban imetosheleza mahtaj?

Tanesco wenyewe umeme ukikata wanawasha jenereta lao la dharula

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Chifu,

Kwa TANESCO hii, na miundombinu yake hii, chukua umeme WOOOOOOOOTE unaotumika Ulaya na America, kisha uhamishie Tanzania, bado tatizo la umeme HALITAISHA...

Nchi hii tukitaka stable power supply basi over 50% ya miundombinu ya umeme ifumuliwe vinginevyo, Grid ya Taifa inaweza kuwa na 10000000000000000 MW lakini mtaani kwenu mnakuja kukosa umeme wiki mzima kisa tu kunguru katua juu ya nguzo ya umeme, na hapo hapo nguzo ikala mwereka hadi chini...
 
Chifu,

Kwa TANESCO hii, na miundombinu yake hii, chukua umeme WOOOOOOOOTE unaotumika Ulaya na America, kisha uhamishie Tanzania, bado tatizo la umeme HALITAISHA...

Nchi hii tukitaka stable power supply basi over 50% ya miundombinu ya umeme ifumuliwe vinginevyo, Grid ya Taifa inaweza kuwa na 10000000000000000 MW lakini mtaani kwenu mnakuja kukosa umeme wiki mzima kisa tu kunguru katua juu ya nguzo ya umeme, na hapo hapo nguzo ikala mwereka hadi chini...
Wanatusingizia sisi kunguru
 
Kwanza wangehakikisha maviwanda yote Nchini yanatumia hiyo gesi kama nishati kuu, kisha wazalishe LPG ishuke bei 50% ilivyo hivi sasa. Mara baada ya hapo ndo wafikirie kioeleka Nairobi, kampalaa na kwengineko
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom