Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bure tu huyo mission town. Kimagufuli ingewezekana miaka hata mitatu tu tungeweza kuanza kuuza gesi nje.Akihojiwa na BBC leo kuhusu uwezekano wa Tanzania kuchukua fursa hii ya vita baina ya Russia na Ukraine kuuza gesi yake nje ya nchi Waziri wa Nishati Mhe. Makamba amesema uwezekano huo haupo labda baada ya miaka 6 kuanzia sasa ndiyo miundombinu wezeshi inaweza kukamilika na kuanza kazi.
Watanzania bado tuna safari ndefu kuanza kutumia na kufaidi uchumi wa gesi.
Tatizo watu wanamkosoa makamba wakiwa wanaongozwa na chuki juu yake,Katoa jibu lipi?
Kama kazungumzia Wawekezaji kutoka nje, huo ndo ukweli wenyewe! Hata uwe na hasira vipi ukweli huo huwezi kubadilika kwa sababu kama taifa hamna ubavu wa ku-mobilize hiyo capital unless tuendelee na usemi "Tuiache tu ardhini kwa sababu haiozi"
Huo ndo ukweli mchungu unaotakiwa kuumeza, na kama utalazimika kuutema basi usieteme kwa chuki na hasira!
Ni uchungu ule ule ambao Msema Mbovu Muhongo alisema wazi kwamba "Wafanyabiashara wa Tanzania mna pesa za kutengenezea juisi tu lakini sio ya kuchimba gesi"
Magufuli alikuwepo kwa zaidi ya miaka 5 hakuweza, Kimagufuli gani hicho?Bure tu huyo mission town. Kimagufuli ingewezekana miaka hata mitatu tu tungeweza kuanza kuuza gesi nje.
Unafikiri ukiwasikiliza na kufuata ushauri wa wenye maslahi tayari soko la gesi utafanikiwa?
🍆Gesi yenyewe tunayo kiduchu, hata Rwanda wana gesi nyingi kutuzidi. Ni JK alitulisha upepo kuwa gesi ndiyo kombozi wetu.
Yaani bila aibu anazungumzia kuhusu kuuza gas nje ya nchi ilhali hata hapa Nchini tu, tena Hapa Dar es Salaam hiyo gesi haijafikia hata 3% ya Population.Akihojiwa na BBC leo kuhusu uwezekano wa Tanzania kuchukua fursa hii ya vita baina ya Russia na Ukraine kuuza gesi yake nje ya nchi Waziri wa Nishati Mhe. Makamba amesema uwezekano huo haupo labda baada ya miaka 6 kuanzia sasa ndiyo miundombinu wezeshi inaweza kukamilika na kuanza kazi.
Watanzania bado tuna safari ndefu kuanza kutumia na kufaidi uchumi wa gesi.
Ndo maana nikahoji hizo taasisi ni zipi?!
Nchi hii, nchi zingine nyingi, mifuko ya kijamii ndo huwa na pesa ya kutosha kwa sababu wao huwa wanafanya kazi ya kuingiza tu!!
Now tell me: Hivi mifuko ambayo hata kulipa wastaafu bado inakuwa mgogoro, hivi unaamini wanaweza kuwa na ubavu wa ku-mobilize angalau USD 1 Billion?
Hivi ukiondoa NSSF, ni mfuko gani mwingine wenye pesa ya maana?!
Acha hiyo mifuko ya kijamii... taasisi nyingine ni ipi? TPA?! Mabenki ambayo yote kwa ujumla deposits zao hazifiki hata USD 1 Billion?
Man...
Hakuna anayependa kampuni za nje ndo zije kuchimba gesi!
Back in 2000's niliwahi kuandika makala ndeeefu kwenye Gazeti la Rai kuhusu ni namna gani Tanzania tungeweza kuitumia NICOL kama capital mobilization basket ili investments kubwa kubwa ziwe zinatumia domestic capital na hatimae klu-enjoy multplier effect, kumbe NICOL yenyewe ilikuwa na mkono wa "Wajanja"
Back 2015 nilishaandika post ndeeefu kuhusu namna gani TUNAWEZA KUSHIRIKI kwenye Upstream Segment of Gas Industry.
Yote hiyo ni katika kuona na kuelezea umuhimu wa kuwekeza sisi wenyewe lakini siwezi kujitia upofu na kuamini eti Serikali kupitia PPP Locally tunaweza kufanya kwa 100%... hatuna huo ubavu at least for now!!
Kwa taarifa yako kwa Africa tumoSina takwimu, lakini katika nchi zenye akiba kubwa ya gesi hatumo kabisa.
Bwashee alaaniwe fisadi Kikwete kwa kutudanganya kuwa kusini itakuwa kama Dubai kumbe alikuwa anapora gesi yetu kuwamilikisha wachina. Kwa ufupi gesi tulipigwa, na aliyetupiga ni Jakaya Mrisho KikweteKwani wenye gesi huko kusini akina Mmawia wanasemaje?
Si unajua nao BBC wanatafuta uteuzi katika serikali, hivyo hawawezi kuuliza maswali ya kuivua nguo!Yaani bila aibu anazungumzia kuhusu kuuza gas nje ya nchi ilhali hata hapa Nchini tu, tena Hapa Dar es Salaam hiyo gesi haijafikia hata 3% ya Population.
BBC wawe wanauliza Maswali ya Maana
Ndiye mentor wake,ndiyo maana.Na huyo huyo JK ndo mshauri Mkuu wa Samia ,mnadhani pana kitu hapo!!
Hapo kwenye deposit ya $ 1 Billion ni typing error! Ukiangalia nilitangulia kwa kusema kwa kusema hawawezi kuwa na ubavu wa ku-MOBILIZE USD 1 Billion!!!Unatumia vyanzo gani vya takwimu? Customer deposits za CRDB pekee yake, kwa mfano, zinazidi US$2 billion, lakini wewe unadai customer deposits za mabenki yote hazifiki hata US$1 billion!
GAS RESERVESGesi yenyewe tunayo kiduchu, hata Rwanda wana gesi nyingi kutuzidi. Ni JK alitulisha upepo kuwa gesi ndiyo kombozi wetu.
Hapo kwenye deposit ya $ 1 Billion ni typing error! Ukiangalia nilitangulia kwa kusema kwa kusema hawawezi kuwa na ubavu wa ku-MOBILIZE USD 1 Billion!!!
Hiyo uliyotaja wewe ni Pesa ya Wateja na sio ya Benki na kwahiyo huwezi kuziitia kwenye long term investment ambayo haiwezi kukupa return ndani ya muda mfupi!!! Kwa project kama ile, average time kuanza kuingiza pesa ni at least 8 years!!
Muhimu hilo, crane la tani 26 liko wapi?Mwambie asihangaike na hiyo gesi kwanza pesa ya kuchimba wanayo? au ndio wanasubiri "mikopo nafuu"?
Atuambie ile winchi ya tani 26 aliyoagiza kwa ajili ya Nyerere Dam toka nje iko wapi?