Waziri Makamba: Tanzania kuanza kuuza gesi nje "labda" baada ya miaka 6 kuanzia sasa

Waziri Makamba: Tanzania kuanza kuuza gesi nje "labda" baada ya miaka 6 kuanzia sasa

Mapimbi hawa wanauza gesi nje wakati hapa ndani kuna uhitaji mkubwa bei ipo juu. Mbwa hawa MUNGU awalaani na vizazi vyao.
 
Kwanza wangehakikisha maviwanda yote Nchini yanatumia hiyo gesi kama nishati kuu, kisha wazalishe LPG ishuke bei 50% ilivyo hivi sasa. Mara baada ya hapo ndo wafikirie kioeleka Nairobi, kampalaa na kwengineko


🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
My President 2030, hatutokubali kuongozwa na wahuni tena, watu wasiojua chochote kuhusu hii nchi
 
BAADA YA Miaka 6, sawa...

Pre-FEED about 2 years

FEED... at least 2 years

Project Execution... about 5 years

Kuna uwezekano kama SSH atarudi tena madarakani 2025 basi anaweza kuondoka huku akiacha tukiwa hatujauza hata tone moja!!
Kama ndiyo hivyo, Mkuu, mbona unashawishi (joking) tusiwashe umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo inawezekana hata miaka miwili haitakaisha kama tukiwa serious kulimalizia?
====
Halafu siku hizi Mkuu wangu unasusia maswali yangu sijui nikuudhi nini. Ha ha haaa!
 
Mwambie asihangaike na hiyo gesi kwanza pesa ya kuchimba wanayo? Au ndio wanasubiri "mikopo nafuu"?

Atuambie ile winchi ya tani 26 aliyoagiza kwa ajili ya Nyerere Dam toka nje iko wapi?
Iliagizwa Ukraine!
 
Uliyesema “Mabenki ambayo yote kwa ujumla wake deposits zao hazifiki hata…” ni wewe, sio mimi. Kwani deposits huwa ni pesa gani kama sio pesa ya wateja. Haikugharimu kitu kusema ulikuwa mistaken kwenye comment yako on bank deposits!
Unataka ligi isiyo na msingi...

Hizo taarifa za CRDB sijaanza kuziweka jana, wala leo kwahiyo ninapojadili masuala ya kibenki huwa najua ninachojadili. Sasa kama hutaki kuamini habari za typing error, that's up to you lakini rudi kwenye hoja yangu ya msingi ambayo inazungumzia kutowezekana kwa Local PPP kwenye miradi mikubwa kama ya uchimbaji gesi!!

Jadili hiyo hoja niliyo-bold hapo juu ukihusisha hizo customer deposits zako!!
 
Kama ndiyo hivyo, Mkuu, mbona unashawishi (joking) tusiwashe umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere ambalo inawezekana hata miaka miwili haitakaisha kama tukiwa serious kulimalizia?
Mkuu wangu,

Mimi msimamo wangu kuhusu JNHPP upo wazi kabisa, na nilishawahi kuuzungumzia hapa na ndugu yetu MALCOM LUMUMBA wiki chache tu zilizopita! Kama hukuona uzi wangu ule, basi msimamo wangu kwa meneno machache ni huu:-

1. Mwanzoni nilikuwa naipinga JNHPP kwa sababu tulikuwa na best option ya kupata umeme mapema zaidi.

JK alimrahisishia sana kazi JPM pale alipofanikisha kuvuta gesi kutoka Mtwara hadi Kinyerezi. Lengo la JK Administration ilikuwa ni kujenga 4 Power Plants pale Kinyerezi kutokana na ile gesi lakini kwavile muda wake ulishaisha, alifanikiwa kujenga moja ambayo ilizinduliwa October 2015, na akaacha Mchakato wa Kinyerezi II.

JPM alipoingia madarakani alimalizia tu ile Kinyerezi II lakini akapiga chini KInyerezi III na IV. Hizi Kinyerezi III na IV zisingehitaji investment kubwa wala muda mwingi kama JNHPP! Which means, kama JPM angeamua kujenga KInyerezi III na IV, angekuwa ametangulia mbele za haki wakati tayari Kinyerezi III na IV zimeshakamilika na kuongeza AT LEAST 300MW.

NB: Gesi ya kuzalisha umeme TAYARI IPO... ni ile ya Msimbati na Songosongo kwahiyo haihusishi hiyo miaka 10 niliyotaja hapo juu!

2. Kwavile JPM alisha-opt kujenga JNHPP, binafsi nitakuwa mtu wa mwisho kuunga mkono jaribio lolote la kuachana na JNHPP! We've already invested a lot of money kwahiyo itakuwa ni ujinga wa SGR kutelekeza JNHPP. Hatuwezi kufanya yale yale ya JPM ya kupiga stop Miradi wa NSSF kama vile Eco Village wakati tayari mradi ulishameza billions of Tanzanians Employees!

That being said, kwa sasa sina namna... LAZIMA niunge mkono umaliziaji wa JNHPP lakini but am not optimistic when it comes to people's believe kwamba ni mradi wa umeme wa bei rahisi, na nilishaelezea kwanini tusitarajie kwamba tutaanza kupata umeme wa bei rahisi hata JNHPP ikishaanza kutoa umeme UNLESS TANESCO waanze ku-act KIUCHUMI ZAIDI.

Na hata wakishaanza ku-act KIUCHUMI ZAIDI, nilishaelezea kwamba hiyo itakuwa itawezekana ndani ya miaka kadhaa tu, isiyofika hata 5, na matokeo yake inaweza ku-boost matumizi makubwa marudufu na hatimae kuamua kupandisha bei tena ili ku-discouarage matumizi makubwa ya umeme!
Halafu siku hizi Mkuu wangu unasusia maswali yangu sijui nikuudhi nini. Ha ha haaa!
LOL! Yaani ndugu yangu ungejua jinsi ilivyonitesa kuitafuta ile post yako! Siku naitafuta nikakumbuka siku niliyokueleza kwa tambo kwamba "...window ya ile nimeiacha active ili niweze kuirejea"!

Sasa ilitokea tokea vipi hadi nikaifunga, only God Knows
 
Sasa ilitokea tokea vipi hadi nikaifunga, only God Knows
Ha ha haaa! Tupo pamoja mkuu. Yawezekana, kuna anayetuhujumu tusiwekaribu zaidi...sasa sijui mimi na wewe Mkuu wangu tukiwa karibu tunahatarishaje maslahi yake.
 
Mkuu wangu,

Mimi msimamo wangu kuhusu JNHPP upo wazi kabisa, na nilishawahi kuuzungumzia hapa na ndugu yetu MALCOM LUMUMBA wiki chache tu zilizopita! Kama hukuona uzi wangu ule, basi msimamo wangu kwa meneno machache ni huu:-

1. Mwanzoni nilikuwa naipinga JNHPP kwa sababu tulikuwa na best option ya kupata umeme mapema zaidi.

JK alimrahisishia sana kazi JPM pale alipofanikisha kuvuta gesi kutoka Mtwara hadi Kinyerezi. Lengo la JK Administration ilikuwa ni kujenga 4 Power Plants pale Kinyerezi kutokana na ile gesi lakini kwavile muda wake ulishaisha, alifanikiwa kujenga moja ambayo ilizinduliwa October 2015, na akaacha Mchakato wa Kinyerezi II.

JPM alipoingia madarakani alimalizia tu ile Kinyerezi II lakini akapiga chini KInyerezi III na IV. Hizi Kinyerezi III na IV zisingehitaji investment kubwa wala muda mwingi kama JNHPP! Which means, kama JPM angeamua kujenga KInyerezi III na IV, angekuwa ametangulia mbele za haki wakati tayari Kinyerezi III na IV zimeshakamilika na kuongeza AT LEAST 300MW.

NB: Gesi ya kuzalisha umeme TAYARI IPO... ni ile ya Msimbati na Songosongo kwahiyo haihusishi hiyo miaka 10 niliyotaja hapo juu!

2. Kwavile JPM alisha-opt kujenga JNHPP, binafsi nitakuwa mtu wa mwisho kuunga mkono jaribio lolote la kuachana na JNHPP! We've already invested a lot of money kwahiyo itakuwa ni ujinga wa SGR kutelekeza JNHPP. Hatuwezi kufanya yale yale ya JPM ya kupiga stop Miradi wa NSSF kama vile Eco Village wakati tayari mradi ulishameza billions of Tanzanians Employees!

That being said, kwa sasa sina namna... LAZIMA niunge mkono umaliziaji wa JNHPP lakini but am not optimistic when it comes to people's believe kwamba ni mradi wa umeme wa bei rahisi, na nilishaelezea kwanini tusitarajie kwamba tutaanza kupata umeme wa bei rahisi hata JNHPP ikishaanza kutoa umeme UNLESS TANESCO waanze ku-act KIUCHUMI ZAIDI.

Na hata wakishaanza ku-act KIUCHUMI ZAIDI, nilishaelezea kwamba hiyo itakuwa itawezekana ndani ya miaka kadhaa tu, isiyofika hata 5, na matokeo yake inaweza ku-boost matumizi makubwa marudufu na hatimae kuamua kupandisha bei tena ili ku-discouarage matumizi makubwa ya umeme!

LOL! Yaani ndugu yangu ungejua jinsi ilivyonitesa kuitafuta ile post yako! Siku naitafuta nikakumbuka siku niliyokueleza kwa tambo kwamba "...window ya ile nimeiacha active ili niweze kuirejea"!

Sasa ilitokea tokea vipi hadi nikaifunga, only God Knows
Sasa wewe njemba mbona umefunga PM bwanaaa, mdogo wako nakutafuta sana!
 
Unataka ligi isiyo na msingi...

Hizo taarifa za CRDB sijaanza kuziweka jana, wala leo kwahiyo ninapojadili masuala ya kibenki huwa najua ninachojadili. Sasa kama hutaki kuamini habari za typing error, that's up to you lakini rudi kwenye hoja yangu ya msingi ambayo inazungumzia kutowezekana kwa Local PPP kwenye miradi mikubwa kama ya uchimbaji gesi!!

Jadili hiyo hoja niliyo-bold hapo juu ukihusisha hizo customer deposits zako!!

Unayeendekeza ligi ni wewe. Huwezi kusema “customer deposits zako” wakati wewe ndiye uliyeingiza swala la deposits.

Local PPP haina maana kwamba financing lazima ifanywe na local banks pekee yake. Local and foreign banks can work together (as a consortium) to offer a syndicated loan. Kama wapo (again, kama wapo) local investors ambao wanaweza kupata mikopo even from consortiums of local and foreign banks au kutoka taasisi zingine za fedha duniani (e.g., AfDB, IFC), hiyo bado itakuwa local PPP.
 
humu kuna mtu nilimwambia watu wa mtwara wenyewe hawaitumii hyo gesi tutaweza kuuza nje akakasika
 
Akihojiwa na BBC leo kuhusu uwezekano wa Tanzania kuchukua fursa hii ya vita baina ya Russia na Ukraine kuuza gesi yake nje ya nchi Waziri wa Nishati Mhe. Makamba amesema uwezekano huo haupo labda baada ya miaka 6 kuanzia sasa ndiyo miundombinu wezeshi inaweza kukamilika na kuanza kazi.

Watanzania bado tuna safari ndefu kuanza kutumia na kufaidi uchumi wa gesi.
Ukweli ni kuwa "bwana yule" alitibua kila kitu kuhusu gas, mpaka wachimbaji wakaamua wakaitobolee kupitia Msumbiji.

Ametuanzisha Alif kwa kijiti. Kwa kuwa tu "sukuma gang" hawakuwa involved.
 
Unayeendekeza ligi ni wewe. Huwezi kusema “customer deposits zako” wakati wewe ndiye uliyeingiza swala la deposits.
Na nimekuambia jadili hoja kwa kutumia hizo customers deposits zako, mbona umeshindwa?!

Tuwekee huo mchanganuo hapa kwa sababu hoja ni local investors na hizo TRILLIONS of Customers' Deposits!!
Local PPP haina maana kwamba financing lazima ifanywe na local banks pekee yake. Local and foreign banks can work together (as a consortium) to offer a syndicated loan. Kama wapo (again, kama wapo) local investors ambao wanaweza kupata mikopo even from consortiums of local and foreign banks au kutoka taasisi zingine za fedha duniani (e.g., AfDB, IFC), hiyo bado itakuwa local PPP.
Hivi umesoma nilichaondoka?!

NI wapi nimesema Local PPP ni LAZIMA ifanywe na Local Banks?!

Nimetaja local entities kama vile Mifuko ya Kijamii na TPA kwa sababu ndio wanaonekana wana pesa! Aidha nilitaja local banks sio kama Lenders bali kama Investors kuonesha tuchukue local entities ZOOOTE tunazoamini kwamba zina pesa bado haziwezi kuwa na ubavu wa kufanya such massive investments!!!

Na hata tukichukua Banks as Lenders, hivi unafahamu hapa tunazungumzia mradi unaozungumzia investments yenye ukubwa kiasi gani?

LNG Processing Plant peke yake inatarajiwa kugharimu USD 30 BILLION... na hizo ni 2014/2015 estimations.

Kiasi kikubwa cha gesi kinapatikana deep sea... baadhi ya vitalu vipo over 100KM from OFFSHORE!

Ukishafika hizo +100KM, unaenda more than 2KM below the sea surface only to find the seabed, kisha unaenda tena more than 1KM below seabed!

Sasa ulishawahi kujiuliza gharama za uchimbaji wa gesi iliyo more than 100KM Offshore, and more than 3KM from water surface?

NI Foreign banks zipi zinazoweza kutoa mkopo kwa local investors (including the government) ambao kwa uchache ni ZAIDI YA SH TRILLION 100?!

Ni Local Investor yupi Tanzania mwenye sifa za kukopeshwa japo USD 1 Billion?!

Ni International Lender yupi duniani anayeweza kuikopesha Serikali ya Afrika angalau USD 10 Billion?!

Do I need to remind you kwamba unapokopesha serikali hususani kama ya Africa moja ya mambo unayotakiwa kuangalia ni Government Policies?!

Nani anaweza kutoa mkopo mkubwa kama huo kwa nchi ambayo huwezi kuwa hata na clue Rais ajaye priority yake itakuwa ipi?!

Wewe ungekuwa ni Bosi wa moja ya hizo benki ungekuwa tayari kutoa hizo pesa kwa mradi ambao huna uhakika kama serikali zote zitakazofuata zita-support project husika?!

Do I need to remind you wakati priority za JK zilikuwa Bagamoyo Port na Gas Industry lakini alipotoka tu madarakani aliyekuja baada yake hizo hazikuwa priorities zake?!

Do I need to remind you kwamba yule vyote alivyokuwa ameahidiwa Dangote na JK, Magu alivipiga chini?!

Unadhani hao international lenders hawaangalii mambo kama hayo ni kuyaona kama THREATS kwao especially kwa mkopo ambao biashara yake itaanza kuzalisha mapato at least in the next 8 years?!

Mnapenda sana kuongea mambo kirahisi rahisi!!
 
Na nimekuambia jadili hoja kwa kutumia hizo customers deposits zako, mbona umeshindwa?!

Tuwekee huo mchanganuo hapa kwa sababu hoja ni local investors na hizo TRILLIONS of Customers' Deposits!!

Hivi umesoma nilichaondoka?!

NI wapi nimesema Local PPP ni LAZIMA ifanywe na Local Banks?!

Nimetaja local entities kama vile Mifuko ya Kijamii na TPA kwa sababu ndio wanaonekana wana pesa! Aidha nilitaja local banks sio kama Lenders bali kama Investors kuonesha tuchukue local entities ZOOOTE tunazoamini kwamba zina pesa bado haziwezi kuwa na ubavu wa kufanya such massive investments!!!

Na hata tukichukua Banks as Lenders, hivi unafahamu hapa tunazungumzia mradi unaozungumzia investments yenye ukubwa kiasi gani?

LNG Processing Plant peke yake inatarajiwa kugharimu USD 30 BILLION... na hizo ni 2014/2015 estimations.

Kiasi kikubwa cha gesi kinapatikana deep sea... baadhi ya vitalu vipo over 100KM from OFFSHORE!

Ukishafika hizo +100KM, unaenda more than 2KM below the sea surface only to find the seabed, kisha unaenda tena more than 1KM below seabed!

Sasa ulishawahi kujiuliza gharama za uchimbaji wa gesi iliyo more than 100KM Offshore, and more than 3KM from water surface?

NI Foreign banks zipi zinazoweza kutoa mkopo kwa local investors (including the government) ambao kwa uchache ni ZAIDI YA SH TRILLION 100?!

Ni Local Investor yupi Tanzania mwenye sifa za kukopeshwa japo USD 1 Billion?!

Ni International Lender yupi duniani anayeweza kuikopesha Serikali ya Afrika angalau USD 10 Billion?!

Do I need to remind you kwamba unapokopesha serikali hususani kama ya Africa moja ya mambo unayotakiwa kuangalia ni Government Policies?!

Nani anaweza kutoa mkopo mkubwa kama huo kwa nchi ambayo huwezi kuwa hata na clue Rais ajaye priority yake itakuwa ipi?!

Wewe ungekuwa ni Bosi wa moja ya hizo benki ungekuwa tayari kutoa hizo pesa kwa mradi ambao huna uhakika kama serikali zote zitakazofuata zita-support project husika?!

Do I need to remind you wakati priority za JK zilikuwa Bagamoyo Port na Gas Industry lakini alipotoka tu madarakani aliyekuja baada yake hizo hazikuwa priorities zake?!

Do I need to remind you kwamba yule vyote alivyokuwa ameahidiwa Dangote na JK, Magu alivipiga chini?!

Unadhani hao international lenders hawaangalii mambo kama hayo ni kuyaona kama THREATS kwao especially kwa mkopo ambao biashara yake itaanza kuzalisha mapato at least in the next 8 years?!

Mnapenda sana kuongea mambo kirahisi rahisi!!

Are you kidding me? Swala la customer deposits ulilete wewe halafu mimi ndiyo nijadili hoja ya local PPP kwa kutumia hizo customer deposits?

Knowledge yako ya finance (in general) na ya banking industry and retirement funds (in particular) ni yenye kutia mashaka makubwa sana (if not outright shaky)! Nadhani unaongea tu kadri akili yako inavyokutuma.

In principle, commercial banks and retirement funds aren’t free range investors. Haziwekezi vyovyote tu zinavyopenda, kama wewe unavyodhani. As highly regulated institutions, they face a host of prohibited activities and investments. Hata kama mradi wa kuchimba gas ungekuwa unagharimu just US$3 million, hakuna commercial bank (local or foreign) ambayo ingefanya direct investment kwenye shughuli kama hiyo, kwasababu banking regulations haziruhusu!

Duniani kote, highly regulated institutional investors wanaweza kuwekeza kwenye shughuli kama hizo ONLY indirectly by funneling their funds through investment vehicles such as private equity firms that typically raise capital from hundreds (or thousands) of institutional investors kwa ajili ya high-risk investments za design hiyo. This approach, which enables each institutional investor to risk only a small percentage of its total funds, isn’t accidental. Iko hivyo for financial risk management reasons, na pia iko hivyo bila kujali kama uwekezaji utafanyika Tanzania (ambako government policies hazitabiriki) au utafanyika Marekani (ambako government policies zinatabirika).

Tukija kwenye upande wa mikopo, the approach is more or less the same. All lenders have self-imposed (or, if applicable, regulatory) single-borrower limits. They do this to avoid the concentration of credit risk. Hata kama pesa anayo, hakuna lender anayekubali kutoa mkopo ambao kutolipika kwake kutamaanisha kuyumba vibaya (kama sio kufa) kwa biashara yake. That said, mikopo kwa ajili ya miradi mikubwa na yenye high risk kama huu haitolewi na lender mmoja. Hiyo mikopo, kwa kawaida, ni syndicated loans zinazotolewa na consortium of lenders. There’s a lead lender, ambaye ndiye anaratibu shughuli zote za huo ukopeshaji na huyo ndiye anayetambulika rasmi kwa borrower kama mkopeshaji. Lenders hawaogopi credit risk per se; wanachoogopa ni concentration of credit risk. They do credit risk-based lending. Credit risk lazima iwe ndani ya credit limits zao na return lazima iwe commensurate na credit risk wanayokubali kuichukua!

So, in the upshot, tambua kwamba hata foreign companies hazitumii pesa zao zenyewe wala hazipati pesa kutoka mahali pamoja tu. Nyuma ya hiyo pesa zinazoitumia kwenye shughuli za uwekezaji kuna consortium of lenders or ad hoc pool of equity investors.
 
Back
Top Bottom