Waziri Makamba: Tanzania kuanza kuuza gesi nje "labda" baada ya miaka 6 kuanzia sasa

Huyo kawekwa hapo ili nuone kwamba urais hauwezi kama anavyopigiwa debe na vipofu wa nchi hii!
 
Bure tu huyo mission town. Kimagufuli ingewezekana miaka hata mitatu tu tungeweza kuanza kuuza gesi nje.
Unafikiri ukiwasikiliza na kufuata ushauri wa wenye maslahi tayari soko la gesi utafanikiwa?
 
Issue sio kuuza tu hata ikichukua miaka 10, issue tutakula percent ngapi?

Pia tukianza hii LNG competitor sio Russia tena Bali ni USA na soko sio Ulaya tu hata China na Japan
 
Hatuna brain ya kufikiria kufanya project kubwa, hii ilikuwa fursa nzuri sana na soko lipo kubwa sana, Ila twende mbele turudi nyuma hatujui walikubaliana nini na wachina
 
Tatizo watu wanamkosoa makamba wakiwa wanaongozwa na chuki juu yake,
 
Bure tu huyo mission town. Kimagufuli ingewezekana miaka hata mitatu tu tungeweza kuanza kuuza gesi nje.
Unafikiri ukiwasikiliza na kufuata ushauri wa wenye maslahi tayari soko la gesi utafanikiwa?
Magufuli alikuwepo kwa zaidi ya miaka 5 hakuweza, Kimagufuli gani hicho?
 
Kuna Msukuma alituchelewesha sana.... maana yake kama tungeanza 2015 + 6 years = 2021

Hata hivyo bado fursa zipo, EU imeamua kuiweka gas kwenye "clean energy" category pia mpaka mwaka 2030 wanataka waachane kabisa na gesi ya Urusi.

Piga kazi bwana January
 
Na ile gas waliosaini kenya Rais wetu na Uhuru ni ipi? Nasikia kuna Gas Mtwara, Lindi, Kilwa sijui ni ipi masoko au kivinje au kipatimu na mkoa wa pwani!!!! Na ile gas walipewa Wachina ni ipi?
 
Yaani bila aibu anazungumzia kuhusu kuuza gas nje ya nchi ilhali hata hapa Nchini tu, tena Hapa Dar es Salaam hiyo gesi haijafikia hata 3% ya Population.
BBC wawe wanauliza Maswali ya Maana
 

Unatumia vyanzo gani vya takwimu? Customer deposits za CRDB pekee yake, kwa mfano, zinazidi US$2 billion, lakini wewe unadai customer deposits za mabenki yote hazifiki hata US$1 billion!
 
Kwani wenye gesi huko kusini akina Mmawia wanasemaje?
Bwashee alaaniwe fisadi Kikwete kwa kutudanganya kuwa kusini itakuwa kama Dubai kumbe alikuwa anapora gesi yetu kuwamilikisha wachina. Kwa ufupi gesi tulipigwa, na aliyetupiga ni Jakaya Mrisho Kikwete
 
Yaani bila aibu anazungumzia kuhusu kuuza gas nje ya nchi ilhali hata hapa Nchini tu, tena Hapa Dar es Salaam hiyo gesi haijafikia hata 3% ya Population.
BBC wawe wanauliza Maswali ya Maana
Si unajua nao BBC wanatafuta uteuzi katika serikali, hivyo hawawezi kuuliza maswali ya kuivua nguo!
 
Unatumia vyanzo gani vya takwimu? Customer deposits za CRDB pekee yake, kwa mfano, zinazidi US$2 billion, lakini wewe unadai customer deposits za mabenki yote hazifiki hata US$1 billion!
Hapo kwenye deposit ya $ 1 Billion ni typing error! Ukiangalia nilitangulia kwa kusema kwa kusema hawawezi kuwa na ubavu wa ku-MOBILIZE USD 1 Billion!!!

Hiyo uliyotaja wewe ni Pesa ya Wateja na sio ya Benki na kwahiyo huwezi kuziitia kwenye long term investment ambayo haiwezi kukupa return ndani ya muda mfupi!!! Kwa project kama ile, average time kuanza kuingiza pesa ni at least 8 years!!
 

Uliyesema “Mabenki ambayo yote kwa ujumla wake deposits zao hazifiki hata…” ni wewe, sio mimi. Kwani deposits huwa ni pesa gani kama sio pesa ya wateja. Haikugharimu kitu kusema ulikuwa mistaken kwenye comment yako on bank deposits!
 
Mwambie asihangaike na hiyo gesi kwanza pesa ya kuchimba wanayo? au ndio wanasubiri "mikopo nafuu"?

Atuambie ile winchi ya tani 26 aliyoagiza kwa ajili ya Nyerere Dam toka nje iko wapi?
Muhimu hilo, crane la tani 26 liko wapi?
 
Makamba anataka wakati huo wa kuchimba gesi ukifika yeye ndiye atakuwa Raisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…