Waziri Masauni na Mwigulu lipeni stahiki za askari Wizara ya Mambo ya Ndani

Waziri Masauni na Mwigulu lipeni stahiki za askari Wizara ya Mambo ya Ndani

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Ni bahati Njema awali mlikuwa wizara ya Mambo ya ndani na sasa Mwigulu yuko wizara ya fedha na Masauni karudishwa Mambo ya Ndani akiwa full minister, kwa uzoefu wenu mlikaa wazara hii mkazijua shida za askari hawa,,sasa kawalipeni posho zao za Maji+umeme+pango askari hawa wamevumilia sana.

Mwigulu uko jikoni hakikisha unawapa askari hawa posho hizo bila kupiga chenga kwenye bajeti hii
 
Kuna Ndugu yangu mmoja ni askari ana miaka kumi sasa, anakwambia hajawahi kupata hizo posho za pango, umeme wala maji,na amepanga mtaani,amejaza sana form ili apewe hizo stahiki zake lkn holaaa,cha ajabu kuna baadhi ya askari walioanza kazi juzi juzi wanapata hizo posho japo sio wote.

Akatolea mfano askari wametoka depo pamoja na kuanza kazi lakini mmoja anapewa posho ya pango Mwengine hapewi.haliyakuwa wanaishi mtaani wote na aliniambia kuwa kama posho zote zilizo kuwa kwenye kitabu chao cha muongozo sijui wanakiita GPO wangekuwa wanalipwa kama inavyotakiwa basi zingewainua sana kimaisha
 
Kuna Ndugu yangu mmoja ni askari ana miaka kumi sasa, anakwambia hajawahi kupata hizo posho za pango, umeme wala maji,na amepanga mtaani,amejaza sana form ili apewe hizo stahiki zake lkn holaaa,cha ajabu kuna baadhi ya askari walioanza kazi juzi juzi wanapata hizo posho japo sio wote.akatolea mfano askari wametoka depo pamoja na kuanza kazi lakini mmoja anapewa posho ya pango Mwengine hapewi.haliyakuwa wanaishi mtaani wote.na aliniambia kuwa kama posho zote zilizo kuwa kwenye kitabu chao cha muongozo sijui wanakiita GPO wangekuwa wanalipwa kama inavyotakiwa basi zingewainua sana kimaisha
Kuna uhuni mwingi Mambo ya Ndani mfano hizo posho za Maji na umeme zinazungushwa tu
 
Lakini jamaa aliniambia kuna baadhi yao wanazipata hizo na wengine hawazipati!
Posho ya pango kweli kuna wengine wanapata!! Ila posho hizi muhimu za maji +umeme ndo zinawekewa siasa kila mwaka wa fedha
 
Posho ya pango kweli kuna wengine wanapata!! Ila posho hizi muhimu za maji +umeme ndo zinawekewa siasa kila mwaka wa fedha
Pole yao sana mapot wote! Mama anawapenda sana atawasaidia, angalau wao wanapakushika,sisi wengine vyeti vinaozea ndani,kula yetu kwa msoto🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Acha utani bwana mdogo tuwasemee mapoti wetu maana ni watoto wetu,wajomba zetu na shangazi wakipata na sisi tumepata
Ndugu zetu na watoto wetu wanapombambikiwa kesi na wanaponyanyaswa na mapolisi na sisi tunanyanyasika.
 
Ni bahati Njema awali mlikuwa wizara ya Mambo ya ndani na sasa Mwigulu yuko wizara ya fedha na Masauni karudishwa Mambo ya Ndani akiwa full minister,,,,kwa uzoefu wenu mlikaa wazara hii mkazijua shida za askari hawa,,sasa kawalipeni posho zao za Maji+umeme+pango askari hawa wamevumilia sana

Mwigulu uko jikoni hakikisha unawapa askari hawa posho hizo bila kupiga chenga kwenye bajeti hii
Polisifisiem
 
Back
Top Bottom