Waziri Masauni na Mwigulu lipeni stahiki za askari Wizara ya Mambo ya Ndani

Waziri Masauni na Mwigulu lipeni stahiki za askari Wizara ya Mambo ya Ndani

Kama kweli ndugu zetu, kwa nini kila siku wamekuwa wakiwafanyia uhalifu mbaya raia wema wasio na hatia kwa kuwabambikia kesi mbaya mbaya, kuwanyang'anya mali zao, kuwatesa raia na hata kuwaua bila ya kuwepo sababu za msingi?? Kwa nini?
"Good for the Jews is good for the Gunners, and bad for the Jews is also bad for the Gunners."
Kundi kubwa kama lile kenge hawakosekani, si unaona wapo walimu wanapelekewa watoto kisha wanaanza kuwala wenyewe , tuwaombee tu ili isiwe kazi ya laana ! Japo sina ndugu wakaribu polisi
 
Kundi kubwa kama lile kenge hawakosekani, si unaona wapo walimu wanapelekewa watoto kisha wanaanza kuwala wenyewe , tuwaombee tu ili isiwe kazi ya laana ! Japo sina ndugu wakaribu polisi
Polisi wengi zaidi ni waovu wabaya sana , Polisi wema ni wachache sana na idadi yao haifiki hata asilimia moja. Polisi wema ambao ni wachache wamefunikwa kabisa na Polisi waovu ambao ndio wengi zaidi kiasi cha kulifanya Jeshi lote la Polisi kuonekana ni Jeshi la Waovu na wahalifu.
 
Polisi wengi zaidi ni waovu wabaya sana , Polisi wema ni wachache sana na idadi yao haifiki hata asilimia moja. Polisi wema ambao ni wachache wamefunikwa kabisa na Polisi waovu ambao ndio wengi zaidi kiasi cha kulifanya Jeshi lote la Polisi kuonekana ni Jeshi la Waovu na wahalifu.
Ila wanatabia za hovyo kweli ,ukienda pale na shida yako mwanamke mpeleke mwanaume akiitwa tu anaongea vizuri na mwanaume wewe uliyepeleka malalamiko yako unaanza kurushwa na rushwa juu wale watu sio kabisa.
 
Back
Top Bottom