Waziri Masauni na Mwigulu lipeni stahiki za askari Wizara ya Mambo ya Ndani

Waziri Masauni na Mwigulu lipeni stahiki za askari Wizara ya Mambo ya Ndani

Ni bahati Njema awali mlikuwa wizara ya Mambo ya ndani na sasa Mwigulu yuko wizara ya fedha na Masauni karudishwa Mambo ya Ndani akiwa full minister, kwa uzoefu wenu mlikaa wazara hii mkazijua shida za askari hawa,,sasa kawalipeni posho zao za Maji+umeme+pango askari hawa wamevumilia sana.

Mwigulu uko jikoni hakikisha unawapa askari hawa posho hizo bila kupiga chenga kwenye bajeti hii
Kumbe hizi posho zinatakiwa zilipwe kwa maaskari pekee........watumishi wengine hawatumii maji, umeme, pango, hawasafiri kwenda na kurudi makazini, au kwa kuwa wao siyo tishio kwa watawala hawana mitutu kwa hiyo maslahi yao yanaminywa kidizaini......
 
Ni bahati Njema awali mlikuwa wizara ya Mambo ya ndani na sasa Mwigulu yuko wizara ya fedha na Masauni karudishwa Mambo ya Ndani akiwa full minister, kwa uzoefu wenu mlikaa wazara hii mkazijua shida za askari hawa,,sasa kawalipeni posho zao za Maji+umeme+pango askari hawa wamevumilia sana.

Mwigulu uko jikoni hakikisha unawapa askari hawa posho hizo bila kupiga chenga kwenye bajeti hii
Askari washenzi,wajinga wala rushwa,nani awalipe posho zote hizo......hizo hela si bora tuzipeleke elimu bure watoto wetu wapate elimu wasiwe wapumbavu kama askari wa Tanzania
 
Posho ya pango kweli kuna wengine wanapata!! Ila posho hizi muhimu za maji +umeme ndo zinawekewa siasa kila mwaka wa fedha
Kwanini wasiige mfumo wa Jwtz?

Kuna posho moja tu ya chakula(Rtn allow) ambayo ipo nje ya pay slip na inalipwa kwa wakati pia.

Posho zingine zote zimerundikwa kwenye mfumo wa mshahara.

Na wakistaafu, kiinua mgongo hakina rongo rongo.

Mambo ya ndani wanaona wakinyoosha mfumo wa malipo bila ubabaishaji kwa staff wao watakosa hela ya kupiga?

Serikali ikiridhia stahiki za watumishi, kwa nini waruhusu malalamiko yasiyo ya msingi kama haya yaendelee kutokea?

Inawezekanaje malalamiko ya kiutawala makubwa kama haya yatokee wakati Igp yupo na kakalia kiti raha mustarehe, kwa nini asiondoshwe kwa kashifa hii kubwa?
 
Kumbe hizi posho zinatakiwa zilipwe kwa maaskari pekee........watumishi wengine hawatumii maji, umeme, pango, hawasafiri kwenda na kurudi makazini, au kwa kuwa wao siyo tishio kwa watawala hawana mitutu kwa hiyo maslahi yao yanaminywa kidizaini......
Fungua uzi ukadai na wewe!!! Treatment ya vyombo vya dola haiwezi kuwa sawa na raia!! Huoni aibu!!?
 
Nadhani pesa ipo isipokuwa viongozi mazezeta hasa wizarani walishaigeuza kama fungu la maendeleo badala ya kumpa askari haki zake!!!! Ni bahati mbaya viongozi wa vyombo hivyo nao wako bariiiiiiiidi utadhani raia
 
Fungua uzi ukadai na wewe!!! Treatment ya vyombo vya dola haiwezi kuwa sawa na raia!! Huoni aibu!!?
Sijasema treatment iwe sawa, ila nauliza kama watumishi wengine hawastahili allowance kama hizo......yaani watumishi wengine hawadaiwi bili ya maji, umeme, kodi ya pango, usafiri kwenda na kurudi kazini, chakula wakiwa kazini (meal allowance), leta jibu lililojitosheleza......mbona sekta binafsi tunaona hizo allowance zikiwa zimeainishwa kwenye mshahara. Au kuondoa allowance ni njia ya kuficha ufinyu wa mashahara............maana laki tatu ukiichanganua uweke allowances za maji, umeme, pango, usafiri, chakula na ubaki hapo na mshahara itakuwa kichekesho.....​
 
Sijasema treatment iwe sawa, ila nauliza kama watumishi wengine hawastahili allowance kama hizo......yaani watumishi wengine hawadaiwi bili ya maji, umeme, kodi ya pango, usafiri kwenda na kurudi kazini, chakula wakiwa kazini (meal allowance), leta jibu lililojitosheleza......mbona sekta binafsi tunaona hizo allowance zikiwa zimeainishwa kwenye mshahara. Au kuondoa allowance ni njia ya kuficha ufinyu wa mashahara............maana laki tatu ukiichanganua uweke allowances za maji, umeme, pango, usafiri, chakula na ubaki hapo na mshahara itakuwa kichekesho.....​
Ukisema uwalipe let say walimu posho kama hizo,serikali yetu haina uwezo huo kwa sasa!! Vyombo vya ulinzi vinapewa kama ka motisha tu kulingana na unyeti wake!!
 
Ukisema uwalipe let say walimu posho kama hizo,serikali yetu haina uwezo huo kwa sasa!! Vyombo vya ulinzi vinapewa kama ka motisha tu kulingana na unyeti wake!!
Ila pesa za kuwalipa wabunge 12M kila mwezi na kuwaambia viongozi wale kwa urefu wa kamba zao ndiyo wanazo siyo
 
Ila pesa za kuwalipa wabunge 12M kila mwezi na kuwaambia viongozi wale kwa urefu wa kamba zao ndiyo wanazo siyo
Linganisha wabunge 300+ na utitiri wa waalimu na Manesi!! Nadhani jibu utapata!! Ukisema ulipe labda Sh 100,000 kama posho kwa walimu na watumishi wengine utapata karibu robo tatu ya pesa inayolipa mishahara yote ya watumishi,,kwa stahili hiyo lazima ushindwe kulipa posho kwa watumishi wote isipokuwa kwa makundi nyeti kama askari nk
 
Ni bahati Njema awali mlikuwa wizara ya Mambo ya ndani na sasa Mwigulu yuko wizara ya fedha na Masauni karudishwa Mambo ya Ndani akiwa full minister, kwa uzoefu wenu mlikaa wazara hii mkazijua shida za askari hawa,,sasa kawalipeni posho zao za Maji+umeme+pango askari hawa wamevumilia sana.

Mwigulu uko jikoni hakikisha unawapa askari hawa posho hizo bila kupiga chenga kwenye bajeti hii
Askal ndio uchafu gan
 
Linganisha wabunge 300+ na utitiri wa waalimu na Manesi!! Nadhani jibu utapata!! Ukisema ulipe labda Sh 100,000 kama posho kwa walimu na watumishi wengine utapata karibu robo tatu ya pesa inayolipa mishahara yote ya watumishi,,kwa stahili hiyo lazima ushindwe kulipa posho kwa watumishi wote isipokuwa kwa makundi nyeti kama askari nk
Sasa kati ya waalimu na wabunge nani ana umuhimu na kwa nchi yetu hii kwa hawa wabunge tulionao kati ya waalimu na wabunge unafikiri ni kina nani wamesoma zaidi? Kwanini walipe kada fulani kutokana na idadi ya watumishi na siyo kutokana na umuhimu na kwanini wasiwapunguzie hao viongozi mishahara ili waiongezee kwenye kada nyingine zenye umuhimu zaidi?
 
Askari mnaoshiriki maovu dhidi ya wanachi wenzenu kisa mmetumwa na watawala.? Halafu Kodi za hao mnaowaonea ndio ziwape

Kwanini wasiige mfumo wa Jwtz?

Kuna posho moja tu ya chakula(Rtn allow) ambayo ipo nje ya pay slip na inalipwa kwa wakati pia.

Posho zingine zote zimerundikwa kwenye mfumo wa mshahara.

Na wakistaafu, kiinua mgongo hakina rongo rongo.

Mambo ya ndani wanaona wakinyoosha mfumo wa malipo bila ubabaishaji kwa staff wao watakosa hela ya kupiga?

Serikali ikiridhia stahiki za watumishi, kwa nini waruhusu malalamiko yasiyo ya msingi kama haya yaendelee kutokea?

Inawezekanaje malalamiko ya kiutawala makubwa kama haya yatokee wakati Igp yupo na kakalia kiti raha mustarehe, kwa nini asiondoshwe kwa kashifa hii kubwa
 
Kama kuna wanaopata na wasiopata kwanini wasizifute kabisa, wizara ya hovyo sana hii, Kuna jamaa yangu aliniambia zinalipwa Kwa asilimia 15 ya mshahara wa mhusika. Ila kama Kwa mfano ulianza kazi mwaka 2006 Posho zako miaka yote zitabaki za mshahara wa huo mwaka haijalishi mshahara umepanda Kwa kiasi gani, Kwa maana hiyo pamoja na Ukongwe wako utazidiwa mbali mno na yule atakaeanza kazi mwaka huu.
 
Hapo ndiyo unasikia askari akiishiwa uvumilivu anapiaga mtu kwa risasi na kujiua!
 
Askari mnaoshiriki maovu dhidi ya wanachi wenzenu kisa mmetumwa na watawala.? Halafu Kodi za hao mnaowaonea ndio ziwape posho?
Inashangaza sana hili jambo.
Wasilipwe haya madai yao ili na wao waonje joto ya jiwe ya kudhulumiwa haki zao.
 
Ila ni ndugu zetu, kaka/Dada, Baba /mama, shangazi/mjomba, wabaya wapo pia hata wazuri wapo.
Kama kweli ndugu zetu, kwa nini kila siku wamekuwa wakiwafanyia uhalifu mbaya raia wema wasio na hatia kwa kuwabambikia kesi mbaya mbaya, kuwanyang'anya mali zao, kuwatesa raia na hata kuwaua bila ya kuwepo sababu za msingi?? Kwa nini?
"Good for the Jews is good for the Gunners, and bad for the Jews is also bad for the Gunners."
 
Back
Top Bottom