Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Mlio kigoma masaa yameisha au yana karibia kwisha umeme umerudi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema hiviAnaropoka sana na siasa zimekuwa nyingi kuliko uhalisia, mikwara mbuzi ambayo hata haitekelezeki
Style ya utendaji kazi ya awamu ya tano imeharibu sana mind set za wanasiasa wetu. Waziri anataka kufanya kazi za Katibu Mkuu wa WizaraWaziri aache kutoa maagizo ya kisiasa kwenye mambo ya kiufundi na rasilimali huwapi watendaji...
yeye anatumiaje mamlaka yake, mbn mawaziri wengine wanakomaa hadi kinaelewekaAnakosa support kutoka juu
Wesha mtenga Wenye CCM yao huyu ni Zao la MwendazakeSijajua Waziri Kalemani anakwama wapi, hivi sasa yeye ndiye Waziri anayedharaulika kuliko Mawaziri wote,
Maagizo yake mengi yamekuwa yakipuuzwa sijui anacheka cheka na Raia au tatizo nini?..
Kuna udini ndani yakeyeye anatumiaje mamlaka yake, mbn mawaziri wengine wanakomaa hadi kinaeleweka
Huo ni uzi mwengine mkuu... Kalemani kama yeye nae anazingua...Sema hivi
Tanesco has failed and will never succeed under the current system
don’t blame the minister
Akiwa Geita nilimsikia akitamka kuwa mradi wa bomba la Mafuta umekwishaanza in full swing wakati mpaka ninapoondika waguswa wa mradi hajalipwa hata mtu mmoja.Tatizo lake kubwa ni kila sehemu alipo anataka sifa kwa kutoa matamko ambayo anajua kabisa kuwa hayawezi kutekelezeka!!ndio maana maagizo mengi anayoyatoa hayatekelezwi kwani yanakuwa nje ya uwezo wa hao anawoambia!!na ndio maana huwa hata hawezi kuwachukulia hatua hao anawowapa maagizo kwani , anajua kabisa kuwa anaongea kisiasa.
Umesahau kuwa na Yeye Kipindi cha Mpwae ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) yupo ndiyo alikuwa Waziri si tu mwenye Dharau bali anayeogopeka pia katika Mawaziri wote. Kutesa kwa Zamu Ndugu.Sijajua Waziri Kalemani anakwama wapi, hivi sasa yeye ndiye Waziri anayedharaulika kuliko Mawaziri wote,
Maagizo yake mengi yamekuwa yakipuuzwa sijui anacheka cheka na Raia au tatizo nini?..
Ni mtu yupo yupo tu! Niliwahi sikia maisha yake na mke wake wa kwanza hadi kifo cha mke huyo, nikaona tuna watu madarakani ambao hawakustahili kuaminiwa kabisaaaaa! Hopeless person!Sijajua Waziri Kalemani anakwama wapi, hivi sasa yeye ndiye Waziri anayedharaulika kuliko Mawaziri wote,
Maagizo yake mengi yamekuwa yakipuuzwa sijui anacheka cheka na Raia au tatizo nini?...
Tupe kidogo mkuuNi mtu yupo yupo tu! Niliwahi sikia maisha yake na mke wake wa kwanza hadi kifo cha mke huyo, nikaona tuna watu madarakani ambao hawakustahili kuaminiwa kabisaaaaa! Hopeless person!
Mama anajua sana kutazama watu wanaofaa na sitoshangaa kusikia Kalemani anarudia kazi yake ya sasa.Nguvu ya mamba ni maji! Toka afe shujaa, Kalemani yupo yupo tu na kwenye reshuffle ya cabinet sidhani kama atarudi
Yaani wewe bado una imani na huyo unayemwita 'mama'? Mama! Huyu anayesikia wa-TZ wakikamuliwa na kuambiwa wahamie Burundi, yeye bado anachekea maelezo kama hayo? Huyu anayepiga simu kwa Kikwete kuuliza kila kitu? Bado unaamini amejaza busara kichwani?Mama anajua sana kutazama watu wanaofaa na sitoshangaa kusikia Kalemani anarudia kazi yake ya sasa.
Umeamua kuyapekua makosa yake na huwezi kuyakosa.Yaani wewe bado una imani na huyo unayemwita 'mama'? Mama! Huyu anayesikia wa-TZ wakikamuliwa na kuambiwa wahamie Burundi, yeye bado anachekea maelezo kama hayo? Huyu anayepiga simu kwa Kikwete kuuliza kila kitu? Bado unaamini amejaza busara kichwani?