Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Nimekuwa Kigoma yapata wiki.
Umeme unakuwepo kwa interval ya kila baada ya nusu saa kwa baadhi ya maeneo au kutokuwepo kabisa baadhi ya maeneo.
Umeme ni ule unaopatikana kwa kutumia generators /Mafuta.
Kuna mahala kuna Jamaa mmoja katengeneza mradi wa Umeme Jua ili apate kuunganisha kwa Tanesco, haijulikani iliishia wapi, jamaa amebaki na Umeme wake tele.
Waziri angelifikiria wazo la kupeleka Umeme wa grid ya Taifa kupitia Tabora au ule wa Rusumo mradi ukiisha utakaopitia Kakonko-Kibondo-Kasulu-Kigoma na baadae usambazwe maeneo mengine ndani ya mkoa.
Wananchi wa Kigoma wakipata Umeme ndani ya muda mfupi Mkoa utapaa katika kukuza pato la Taifa.
Kwa kuanzia Serikali kupitia Wizara ya Nishati waanze mazungumzo na yule mwekezaji wa Umeme Jua ili Wananchi wa kigoma wapate Umeme wa kutosha.
Umeme unakuwepo kwa interval ya kila baada ya nusu saa kwa baadhi ya maeneo au kutokuwepo kabisa baadhi ya maeneo.
Umeme ni ule unaopatikana kwa kutumia generators /Mafuta.
Kuna mahala kuna Jamaa mmoja katengeneza mradi wa Umeme Jua ili apate kuunganisha kwa Tanesco, haijulikani iliishia wapi, jamaa amebaki na Umeme wake tele.
Waziri angelifikiria wazo la kupeleka Umeme wa grid ya Taifa kupitia Tabora au ule wa Rusumo mradi ukiisha utakaopitia Kakonko-Kibondo-Kasulu-Kigoma na baadae usambazwe maeneo mengine ndani ya mkoa.
Wananchi wa Kigoma wakipata Umeme ndani ya muda mfupi Mkoa utapaa katika kukuza pato la Taifa.
Kwa kuanzia Serikali kupitia Wizara ya Nishati waanze mazungumzo na yule mwekezaji wa Umeme Jua ili Wananchi wa kigoma wapate Umeme wa kutosha.