Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
YametimiaNguvu ya mamba ni maji! Toka afe shujaa, Kalemani yupo yupo tu na kwenye reshuffle ya cabinet sidhani kama atarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YametimiaNguvu ya mamba ni maji! Toka afe shujaa, Kalemani yupo yupo tu na kwenye reshuffle ya cabinet sidhani kama atarudi
acha asepeMajungu ya jf yana nguvu sana. Jembe limeliwa kichwa kama masihara vile.
Alikuwa na dharau sana kama hakujui.Umesahau kuwa na Yeye Kipindi cha Mpwae ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) yupo ndiyo alikuwa Waziri si tu mwenye Dharau bali anayeogopeka pia katika Mawaziri wote. Kutesa kwa Zamu Ndugu.
YametimiaNguvu ya mamba ni maji! Toka afe shujaa, Kalemani yupo yupo tu na kwenye reshuffle ya cabinet sidhani kama atarudi
Kweli banaa!Nguvu ya mamba ni maji! Toka afe shujaa, Kalemani yupo yupo tu na kwenye reshuffle ya cabinet sidhani kama atarudi
juzi alikuwa chanika ,yani n kuchekacheka ovyo sanaa ...viongozi wanawalalalia wananchi yy aanakenua tuNa huyu Mkuu wa Mkoa wetu Makala naona na yeye anadharaulika sana. Kila agizo hakuna anayezingatia
Mkuu umetisha, hongera kwa maonoNguvu ya mamba ni maji! Toka afe shujaa, Kalemani yupo yupo tu na kwenye reshuffle ya cabinet sidhani kama atarudi
YametimiaNguvu ya mamba ni maji! Toka afe shujaa, Kalemani yupo yupo tu na kwenye reshuffle ya cabinet sidhani kama atarudi
acha tu asepeYametimia
Jibu umelipata janaAnaandaliwa mtu mwingne apo ili waje wafidie pesa hasara aliyopata singa singa
Sijui Mimi au Wewe Ndugu?Alikuwa na dharau sana kama hakujui.
Hapa ndo kwenye uziAnaandaliwa mtu mwingne apo ili waje wafidie pesa hasara aliyopata singa singa
alibebwa tu na kapwaya sana.Sijajua Waziri Kalemani anakwama wapi, hivi sasa yeye ndiye Waziri anayedharaulika kuliko Mawaziri wote,
Maagizo yake mengi yamekuwa yakipuuzwa sijui anacheka cheka na Raia au tatizo nini?
Alianza na suala la Wananchi Vijijini waunganishiwe umeme haraka TANESCO wakampuuza,
Kafuata suala la kushusha bei ya gesi za majumbani wakagoma
Sasa hivi amekimbilia Kigoma najua napo watampuuza tu maana hana impact na mimi nimeanza kumdharau
Tatizo nini mbona Mawaziri kama Juma Awesu hawacheki na kima wanaheshimika?
Mbona Waziri kama Ummy anaheshimika akitoa maagizo ni fasta?
Huyu Kalemani kila mtu anamdharau TANESCO wanamdharau EWURA wanamdharau, Hajui kutumia mamlaka yake kuleta heshima eti?
View attachment 1925397
Tunawajua wafanya biashara ya Majenereta mnajipanga , hamna shukrani nyie umeme nchi nzima kashughulikia halafu mnamuona mbaya , sijui nchi hii tutabadilika lini watu wanashadadia ujinga , ufisadi na wizi .Mungu atuone tu .Sijajua Waziri Kalemani anakwama wapi, hivi sasa yeye ndiye Waziri anayedharaulika kuliko Mawaziri wote,
Maagizo yake mengi yamekuwa yakipuuzwa sijui anacheka cheka na Raia au tatizo nini?
Alianza na suala la Wananchi Vijijini waunganishiwe umeme haraka TANESCO wakampuuza,
Kafuata suala la kushusha bei ya gesi za majumbani wakagoma
Sasa hivi amekimbilia Kigoma najua napo watampuuza tu maana hana impact na mimi nimeanza kumdharau
Tatizo nini mbona Mawaziri kama Juma Awesu hawacheki na kima wanaheshimika?
Mbona Waziri kama Ummy anaheshimika akitoa maagizo ni fasta?
Huyu Kalemani kila mtu anamdharau TANESCO wanamdharau EWURA wanamdharau, Hajui kutumia mamlaka yake kuleta heshima eti?
View attachment 1925397
Majungu ni huko insta na fb jf ni ukweliMajungu ya jf yana nguvu sana. Jembe limeliwa kichwa kama masihara vile.