Waziri Medard Kalemani anadharaulika sana kuliko Mawaziri wote

Waziri Medard Kalemani anadharaulika sana kuliko Mawaziri wote

Umesahau kuwa na Yeye Kipindi cha Mpwae ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) yupo ndiyo alikuwa Waziri si tu mwenye Dharau bali anayeogopeka pia katika Mawaziri wote. Kutesa kwa Zamu Ndugu.
Alikuwa na dharau sana kama hakujui.
 
Shida yake, hakuna na personal strength Bali alitegemea nguvu ya juu katika majukumu yake,,,Sasa mam amekuja na staili tofauti,,, mawaziri waonyeshe uwezo wao na Hilo ndilo tatizo na sio yeye tu wapo wengi,,
 
Sijajua Waziri Kalemani anakwama wapi, hivi sasa yeye ndiye Waziri anayedharaulika kuliko Mawaziri wote,

Maagizo yake mengi yamekuwa yakipuuzwa sijui anacheka cheka na Raia au tatizo nini?

Alianza na suala la Wananchi Vijijini waunganishiwe umeme haraka TANESCO wakampuuza,

Kafuata suala la kushusha bei ya gesi za majumbani wakagoma

Sasa hivi amekimbilia Kigoma najua napo watampuuza tu maana hana impact na mimi nimeanza kumdharau

Tatizo nini mbona Mawaziri kama Juma Awesu hawacheki na kima wanaheshimika?

Mbona Waziri kama Ummy anaheshimika akitoa maagizo ni fasta?

Huyu Kalemani kila mtu anamdharau TANESCO wanamdharau EWURA wanamdharau, Hajui kutumia mamlaka yake kuleta heshima eti?

View attachment 1925397
alibebwa tu na kapwaya sana.
Hana sauti na ni SUKUMA GANG.
 
Vijana wa chattle officially out, January Makamba anachukua mikoba leo saa nne baada ya kuapishwa kule Chamwino, kitovuni bye byeeee, kwanza mama alikosea sana kumrudisha kwenye cabinet huyo kalamaini
 
Sijajua Waziri Kalemani anakwama wapi, hivi sasa yeye ndiye Waziri anayedharaulika kuliko Mawaziri wote,

Maagizo yake mengi yamekuwa yakipuuzwa sijui anacheka cheka na Raia au tatizo nini?

Alianza na suala la Wananchi Vijijini waunganishiwe umeme haraka TANESCO wakampuuza,

Kafuata suala la kushusha bei ya gesi za majumbani wakagoma

Sasa hivi amekimbilia Kigoma najua napo watampuuza tu maana hana impact na mimi nimeanza kumdharau

Tatizo nini mbona Mawaziri kama Juma Awesu hawacheki na kima wanaheshimika?

Mbona Waziri kama Ummy anaheshimika akitoa maagizo ni fasta?

Huyu Kalemani kila mtu anamdharau TANESCO wanamdharau EWURA wanamdharau, Hajui kutumia mamlaka yake kuleta heshima eti?

View attachment 1925397
Tunawajua wafanya biashara ya Majenereta mnajipanga , hamna shukrani nyie umeme nchi nzima kashughulikia halafu mnamuona mbaya , sijui nchi hii tutabadilika lini watu wanashadadia ujinga , ufisadi na wizi .Mungu atuone tu .
 
Back
Top Bottom