Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afika Kariakoo. Aagiza task force za TRA kusitisha shughuli zake haraka

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afika Kariakoo. Aagiza task force za TRA kusitisha shughuli zake haraka

Walimu kazi kwenu, wenzenu wamesikilizwa tena ameacha Bunge, akapanda Ndege akaja kusikiliza.

Wengine jifunzeni kuwa na Msimamo

Serikali ilidhani ni ni UTANI, watu wamekaza, Serikali ikasema Alhamis watu waende Dodoma,
Wafanyabiashara wakakataa
Wakasema Jumatano waende Ofisini kwa Waziri Mkuu wakagoma

Waziri Mkuu mwenyewe kaamua kwenda Kariakoo na sasa anaongea nao.
 


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameamua kukutana na kuongea na Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo leo ambapo tayari amefika Kariakoo muda huu badala ya Jumatano May 17,2023 ambayo ilitangazwa hapo wali hii ni kutokana na uzito wa suala hilo.

Awali mkutano kati ya Waziri Mkuu na Kamati ya Wafanyabiashara hao pamoja na TRA na Mawaziri wa Sekta husika ulitarajiwa kufanyika saa 8 Mchana kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu Magogoni-Ikulu Dar es salaam Jumatano May 17, 2023 kwa uratibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makala, lakini Waziri Mkuu ameamua aende leoleo Kariakoo.

Pia Soma:
- News Alert: - Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Nimpongeze Waziri Mkuu.

Anafanya kazi iliyopaswa kufanywa na Waziri wa Fedha....
 
Naona wame vaa barakoa .. sio lazima mtangaziwe teh teh kila mtu aokoe roho yake
 
Walimu kazi kwenu, wenzenu wamesikilizwa tena ameacha Bunge, akapanda Ndege akaja kusikiliza.

Wengine jifunzeni kuwa na Msimamo

Serikali ilidhani ni ni UTANI, watu wamekaza, Serikali ikasema Alhamis watu waende Dodoma,
Wafanyabiashara wakakataa
Wakasema Jumatano waende Ofisini kwa Waziri Mkuu wakagoma

Waziri Mkuu mwenyewe kaamua kwenda Kariakoo na sasa anaongea nao.
Ukute Akaunti za Maokoto leo hazisomi..
Wakaona na kesho ikiwa hivyo itakuwaje... PM akaona isiwe shida... Dar siyo mbali kiasi hicho...

Na unaambiwa Wafanyabiashara walikuwa hawafungui Maduka hadi wapate Muafaka wa malalamiko yao.
 
Walimu kazi kwenu, wenzenu wamesikilizwa tena ameacha Bunge, akapanda Ndege akaja kusikiliza.

Wengine jifunzeni kuwa na Msimamo

Serikali ilidhani ni ni UTANI, watu wamekaza, Serikali ikasema Alhamis watu waende Dodoma,
Wafanyabiashara wakakataa
Wakasema Jumatano waende Ofisini kwa Waziri Mkuu wakagoma

Waziri Mkuu mwenyewe kaamua kwenda Kariakoo na sasa anaongea nao.
Watumishi wenye jeuri hiyo ni wakenya tu!!?
 
Back
Top Bottom