Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
mbona kavaa kimichezo zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marathon day..hakichelewi kunukambona kavaa kimichezo zaidi
Wewe ni mrongo sana! 🙏🙏🙏Hivi Mama anajisikia vp baada ya Wafanyabiashara kumtaka PM badala yake😳
Hivi mkwepa kodi yupo?Lipeni kodi , mnakwepa sana kodi
Haiwezi kuwa kweliNimesikia kwa mwaka kodi pale ni b. 200.. mbona bado ndogo..
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameamua kukutana na kuongea na Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo leo ambapo tayari amefika Kariakoo muda huu badala ya Jumatano May 17,2023 ambayo ilitangazwa hapo wali hii ni kutokana na uzito wa suala hilo.
Awali mkutano kati ya Waziri Mkuu na Kamati ya Wafanyabiashara hao pamoja na TRA na Mawaziri wa Sekta husika ulitarajiwa kufanyika saa 8 Mchana kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu Magogoni-Ikulu Dar es salaam Jumatano May 17, 2023 kwa uratibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makala, lakini Waziri Mkuu ameamua aende leoleo Kariakoo.
Pia Soma:
- News Alert: - Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
Walimkataa Waziri wa Fedha, wakawa wanamtaka Mama.Nimpongeze Waziri Mkuu.
Anafanya kazi iliyopaswa kufanywa na Waziri wa Fedha....
Kabla ya leo Mwigulu alikuwa na chances lakini kiburi na dharau kasubiri yaharibike....Walimkataa Waziri wa Fedha, wakawa wanamtaka Mama.
Waziri Mkuu kawahi kusikiliza
Pengine hana majibu ya kuongea nao....Kabla ya leo Mwigulu alikuwa na chances lakini kiburi na dharau kasubiri yaharibike....
Au nasema uongo mkuu ChoiceVariable?
Uko sahihi mkuuSisi sio TUCTA tukishasema NO!!! Hakuna kurudi nyuma...nchi inaendeshwa na wafanyabiashara na sio wafanyakazi wa umma.
Serikali siku nyingine hii mikwala Yao wapele Huko mei mosi na TUCTA yao
Ukute Akaunti za Maokoto leo hazisomi..Walimu kazi kwenu, wenzenu wamesikilizwa tena ameacha Bunge, akapanda Ndege akaja kusikiliza.
Wengine jifunzeni kuwa na Msimamo
Serikali ilidhani ni ni UTANI, watu wamekaza, Serikali ikasema Alhamis watu waende Dodoma,
Wafanyabiashara wakakataa
Wakasema Jumatano waende Ofisini kwa Waziri Mkuu wakagoma
Waziri Mkuu mwenyewe kaamua kwenda Kariakoo na sasa anaongea nao.
Watumishi wenye jeuri hiyo ni wakenya tu!!?Walimu kazi kwenu, wenzenu wamesikilizwa tena ameacha Bunge, akapanda Ndege akaja kusikiliza.
Wengine jifunzeni kuwa na Msimamo
Serikali ilidhani ni ni UTANI, watu wamekaza, Serikali ikasema Alhamis watu waende Dodoma,
Wafanyabiashara wakakataa
Wakasema Jumatano waende Ofisini kwa Waziri Mkuu wakagoma
Waziri Mkuu mwenyewe kaamua kwenda Kariakoo na sasa anaongea nao.
Wapo kibao mzee babaHivi mkwepa kodi yupo?
Mwigulu alishindwa wasikilizaKabla ya leo Mwigulu alikuwa na chances lakini kiburi na dharau kasubiri yaharibike....
Au nasema uongo mkuu ChoiceVariable?