Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afika Kariakoo. Aagiza task force za TRA kusitisha shughuli zake haraka

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afika Kariakoo. Aagiza task force za TRA kusitisha shughuli zake haraka

Uamuzi wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, umekuja baada ya kusikiliza kero za Wafanyabiashara walioitisha Mgomo wa kutofungua Maduka leo Mei 15, 2023...
Hivi kwanini upinzani wanamchukia sana huyu P.M.
 
Huyu waziri mkuu anakurupuka nini anaenda kariakoo kufanya nini?

Mbona waziri amesema hakuna mgomo et baadhi tuu wamefunga
 
Kwani hapo nilipoandika umeelewa nini mpaka uniambie niache unafiki?

Maana Watanzania wengi mmejaa mihemuko mna comment bila kuelewa kilichoandikwa.
kama unaona sijaelewa niambie ulimaanisha nini??
 
kama unaona sijaelewa niambie ulimaanisha nini??
Kwanza wewe niambie nimemaanisha nini mpaka ukaona huo ni unafiki?

Nataka tujuane vizuri, mimi pia nisifanye kosa kama ulilofanya wewe la kufikiri nimekuelewa bila hata ya kukupa nafasi ya kufafanua ulimaanisha nini, utuambie mnafiki ni mtu wa namna gani, una ushahidi gani kuhusu unafiki wangu, kwa nini unafikiri mimi ni mnafiki.

Funguka.
 
Kwanza wewe niambie nimemaanisha nini mpaka ukaona huo ni unafiki?

Nataka tujuane vizuri, mimi pia nisifanye kosa kama ulilofanya wewe la kufikiri nimekuelewa bila hata ya kukupa nafasi ya kufafanua ulimaanisha nini, utuambie mnafiki ni mtu wa namna gani, una ushahidi gani kuhusu unafiki wangu, kwa nini unafikiri mimi ni mnafiki.

Funguka.
Kama ni hvo Mimi nilishakuelewa ulichomaanisha na hilo ndo jibu langu "uachage unafiki" full stop kama una hoja leta
 
Kama ni hvo Mimi nilishakuelewa ulichomaanisha na hilo ndo jibu langu "uachage unafiki" full stop kama una hoja leta
Umeshindwa hata kutueleza kwa nini unafikiri mimi ni mnafiki.

Kwa nini?

Hujui uliandika hivyo kwa sababu gani?

Au unaona sababu zako hazina msingi kiasi kwamba unazionea aibu kuzitaja hapa?

Dai la kumuita mtu mnafiki ni kubwa, na kama wewe mwenyewe unalifanya bila unafiki, unapaswa kutoa sababu zako hapa.

Angalia usije kuita watu wanafiki kwa psychological projection, ukiwapa tabia zako.

Tupe sababu hapa, kwa nini umeniita mnafiki?

Vinginevyo wewe ndiye mnafiki, kumuita mtu mnafiki bila sababu.
 
Umeshindwa hata kutueleza kwa nini unafikiri mimi ni mnafiki.

Kwa nini?

Hujui uliandika hivyo kwa sababu gani?

Au unaona sababu zako hazina msingi kiasi kwamba unazionea aibu kuzitaja hapa?

Dai la kumuita mtu mnafiki ni kubwa, na kama wewe mwenyewe unalifanya bila unafiki, unapaswa kutoa sababu zako hapa.

Angalia usije kuita watu wanafiki kwa psychological projection, ukiwapa tabia zako.

Tupe sababu hapa, kwa nini umeniita mnafiki?

Vinginevyo wewe ndiye mnafiki, kumuita mtu mnafiki bila sababu.
Kwa hyo wewe uliandika comment kwa expectation kuwa hatutoielewa ??

Okay nmekuita mnafiki kutokana na ile comment yako so rudi kwa ile comment ipitie then utajua kwa nini nmekuita mnafiki
 
Kwa hyo wewe uliandika comment kwa expectation kuwa hatutoielewa ??

Okay nmekuita mnafiki kutokana na ile comment yako so rudi kwa ile comment ipitie then utajua kwa nini nmekuita mnafiki
Wapi umeona expectation ya kutoelewa?

Hujajibu swali.

Kama mtihani umefeli.

Unafiki ni nini, na kitu gani kwenye comment yangu kimekufanya unione mimi ni mnafiki?

Nakuuliza hivyo, wewe unanijibu umeniita mnafiki kutokana na comment yangu.

Unazidi kujionesha ulivyo mtupu tu.

Yani kashfa utoe wewe, halafu kazi ya kuihalalisha unipe mimi?

Una akili wewe?

Ukitoa kashfa, wewe uliyetoa kashfa ndiye mwenye wajibu wa kuihalalisha, sio unajamba wewe halafu lawama unatupa sisi.
 
Kwa hyo wewe uliandika comment kwa expectation kuwa hatutoielewa ??

Okay nmekuita mnafiki kutokana na ile comment yako so rudi kwa ile comment ipitie then utajua kwa nini nmekuita mnafiki
Mpaka sasa.

1. Hujatuambia unafiki ni nini.
2. Hujaonesha unafiki wangu uko wapi, kwa nini unafikiri mimi ni mnafiki.

Mpaka sasa umehemuka tu kusema mimi ni mnafiki.
 
Kwa hyo wewe uliandika comment kwa expectation kuwa hatutoielewa ??

Okay nmekuita mnafiki kutokana na ile comment yako so rudi kwa ile comment ipitie then utajua kwa nini nmekuita mnafiki
Nasubiri uniambie unafiki ni nini na kwa nini umeniita mimi mnafiki.

Au umekurupuka tu kama guluguja asiye na ubongo wala uti wa mgongo?
 
Hii ndio nguvu ya ushirikiano ila
kuna watu humu wamekazana lipeni kodi lipeni kodi !
Mmesikia kuna mtu amekataa kulipa kodi!!!?
 


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameamua kukutana na kuongea na Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo leo ambapo tayari amefika Kariakoo muda huu badala ya Jumatano May 17,2023 ambayo ilitangazwa hapo wali hii ni kutokana na uzito wa suala hilo.

Awali mkutano kati ya Waziri Mkuu na Kamati ya Wafanyabiashara hao pamoja na TRA na Mawaziri wa Sekta husika ulitarajiwa kufanyika saa 8 Mchana kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu Magogoni-Ikulu Dar es salaam Jumatano May 17, 2023 kwa uratibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makala, lakini Waziri Mkuu ameamua aende leoleo Kariakoo.

Pia Soma:
- News Alert: - Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

#Dubai_Ya_Tanzania
Lile eneo lingekuwa kwa wenzetu wanaotumia vizuri akili zao lingefanywa kuwa duty_free ili liwe maarufu nje na ndani ya nchi kwa utalii wa shopping!
Then baada ya pale Kodi zingekusanywa nyingi tu kwa namna ambayo haiathiri maendeleo endelevu ya eneo husika!
Kwani tatizo ni nini?
Kariakoo inapotential kubwa sana ya kuwa hub ya shopping tourism kubwa tu!
Au mnasubiri DRC au Kenya waje na models zao ndo mkaige??
#Kariakoo #Duty_free #Shopping_Tourism_Hub
 
Nimesikia kwa mwaka kodi pale ni b. 200.. mbona bado ndogo..

Sababu serikali badala ya kujiongeza Kariakoo iwe kimbilio la kanda hii nzima ya Africa, serikali ndiyo yenyewe ina ondoa na kuzuia mazingira hayo ya Kariakoo kuwa kitovu cha biashara.

Wakati viongozi wa Dubai n.k wao kila siku wanawaza Dubai izidi vipi kujitanua kama Centre ya kibiashara duniani, viongozi wa Tanzania hawana maono hayo, bali wanawaza kukamua kodi badala ya kuongeza wigo wa wingi wa wafanyabiasha ili ipelekee Kariakoo kuwa Dubai na kuchangia kodi.
 
MAKAMU MWENYEKITI TAIFA CHADEMA, MH. TUNDU LISU ATEMA CHECHE HATARI SAKATA LA MGOMO WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO, ATOA MAAGIZO HAYA

 
Back
Top Bottom