Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amuagiza IGP Sirro kuwasimamisha kazi Mabosi wa Polisi Mtwara na Kilindi kupisha uchunguzi wa mauaji

Polisi wakifanya ujambazi ajiuzuru waziri mkuu?
Unayo haki ya kushangaa kwasabb umekulia ktk jamii ovu hivyo umejazwa uovu. Mpk kwenye umri wako hujui kitu kinaitwa "uwajibikaji wa pamoja" (collective responsibility).

Hapa ndipo nchi za watu zinapotupiga gap
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Kwanini ajiuzulu wakati muda wake wake wa kustaafu uko karibu? Ingekuwa yeye mwenyewe personally ana skandali za kumlazimisha kujiuzulu hapo kweli; lakini kama yeye mwenyewe yuko salama, ni afadhali asubiri muda wake wa kustaafu kwa hiari ufike.
 

😜😜😜
 
Kwa umri wake hana cha kupoteza ningemuona ana busara sana akijiuzulu maana kama kama kuchuma kachuma sana na tayari keshaandika rekodi ya kuwa IGP.
Sio tu IGP bali wa hovyo kuwahi kutokea
 
Gangster Disciples, Black Stones, BDs The biggest street gang is the CPD!
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.

Tuna mfano gani wa IGP ambaye amewahi kulifanya Jeshi la Polisi liing’arishe Serikali ya awamu yoyote ile?
 
Hapana, hauko sahihi.
Akiwepo Sheikh mmoja na Askofu mmoja walioteuliwa na Viongozi wenyewe wa Dini, wanaifanya Tume iwe Huru.
Na nimemsikia Rais akitamka kuwa amemwagiza Waziri Mkuu aunde Tume Huru.
Tena Mwenyekiti wa hiyo Tume anatakiwa kuwa Wakili Msomi Mwandamizi, 'Senior Counsel'.
Vinginevyo, haitakuwa Tume Huru.
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Kivipi,,? Kwanini unambebesha siro mzigo si wake?, Hata nchi zilizoendelea kama US kuna uhalifu mkubwa tu,, [emoji23] badi IGP wa marekani wangekuwa wansjiuzulu kila wiki,
Ndugu zangu wakristo tupendane,,, chuki haijengi, wewe igp akijiuzulu urafaidika na nini?..
Ntakutana mzee oohoo[emoji57]
 
Nasikia mbatia anapanga kufungua kesi, akihoji kwanini waziri wa mambo ya ndani hakuunda tume,,,
Nduguzanguni wakristo, tujitahidi kuwa na upendo, ,
Bwana wetu yesu kristo amesisitiza sana hili,,
Tuacheni roho za kwanini, nduguzanguni[emoji1745]
 
Na wazee hata wawili wa kiboloroni[emoji23]
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Yani mpaka Rais ameingilia wakati hao watu kiutendaji wako chini yake na ipo wazi kabisa uwepo wao pale unaweka mashaka kuhusu upelelezi maana wale ni maofisa ingekuwa askari w chini wangewato kafara Ila hao maofisa Kuna walakini wangewafichia jinai.

Kwanza kabisa upelelezi ujikite kwenye kifo Cha huyo ofisa anayedaiwa kujinyonga. Haiingii kichwani mtu ajinyonge akiwa lock up kwanza aliwekwaje peke yake wakati wengine wamewekwa wapi??????

Wamemuua yule mmoja ili wapoteze ushahidi yawezekana yule hajahusika Ila ndio wanamuangushia jumba bovu marehemu ili hao wengine wajitoe.

RCO na RPC hawawezi kuachwa kwanza kitendo Cha wao kuchelewa kutoa amri ya kukamatwa hao maofisa ni kiashiria tosha kwamba walitaka kuficha huo uhalifu hawapaswi kuachwa actually hata kama hawajahusika directly lazima waadhibiwe kijeshi ikiwemo kushushwa vyeo na wasipandishwe kwa miaka kadhaa hata kumi.
 
Huyo sirro mwenyewe alitakiwa asimame kazi nae
 
CP Juma Awadh na DG Takukuru Hamduni mmoja kati ya hawa anatarajiwa muda wowote kurithi kiti cha IGP Sirro,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…