Unayo haki ya kushangaa kwasabb umekulia ktk jamii ovu hivyo umejazwa uovu. Mpk kwenye umri wako hujui kitu kinaitwa "uwajibikaji wa pamoja" (collective responsibility).Polisi wakifanya ujambazi ajiuzuru waziri mkuu?
Kwanini ajiuzulu wakati muda wake wake wa kustaafu uko karibu? Ingekuwa yeye mwenyewe personally ana skandali za kumlazimisha kujiuzulu hapo kweli; lakini kama yeye mwenyewe yuko salama, ni afadhali asubiri muda wake wa kustaafu kwa hiari ufike.Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
labda akijiuzuru kuna baadhi ya haki za kimafao anapoteza kuliko akisubiri asataafishwe. umri wake nao umeenda. au wenye uelewa watuambie, manake ukiona hadi maza kasema polisi wajitathimini, ndio lugha yenyewe hiyo kwamba kama usipojitathimini unaweza kufurushwa kinguvu na kwa aibu, sema kwasababu polisi huwa na roho ngumu hilo sio la kuogopa kwao.
Sio tu IGP bali wa hovyo kuwahi kutokeaKwa umri wake hana cha kupoteza ningemuona ana busara sana akijiuzulu maana kama kama kuchuma kachuma sana na tayari keshaandika rekodi ya kuwa IGP.
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Hapana, hauko sahihi.hakuna kupeleka watu wa dini hapo, kwasababu ukigusa kwenye dini tu itabidi uweke kila dhehebu, hao wawakilishi wa dini usifikiri huwa wanawakilisha kila mtu, mfano , padre akienda pale usije fikiri ananiwakilisha mimi, anawakilisha wakatoliki, bado kuna waprotestanti,wasabato n.k, futa hayo mambo. weka watu wa serikali. ambacho najua huwa kinatokea hapo wataweka mtu wa tiss, jeshi, polisi, mwanasheria,pccb, na wengine kadhaa. na kwenye timu kama hizo hakika huwa wanafanya kazi ya kueleweka kwasababu wao kwa wapo pia huwa wanakaa kwa machale ya kuchunguzana wao kwa wao na kila mtu ana report kwa boss wake hivyo ni ngumu kuconspire kudanganya. hapo najua kuna moto utawawakia hao wakubwa aliowasema baba wa marehemu polisi na hao waliosababisha kifo cha mfanyabiashara. hata hao walioko gerezani kwa tuhuma wakahojiwe vizuri. patachimbika, na waongezewe ulinzi huko gerezani.
Kivipi,,? Kwanini unambebesha siro mzigo si wake?, Hata nchi zilizoendelea kama US kuna uhalifu mkubwa tu,, [emoji23] badi IGP wa marekani wangekuwa wansjiuzulu kila wiki,Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Tena juu sana,ila ingempendeza bi mkubwa kama angemteua IGP mwanamke ingependeza zaidi hasa yule mama aliekuwa miaka ya nyuma wilaya ya kinondoni.Kwa mara ya kwanza.
Kina mama sasa tunaendelea kuwa juu.
Nasikia mbatia anapanga kufungua kesi, akihoji kwanini waziri wa mambo ya ndani hakuunda tume,,,Nashindwa kuelewa Uwajibikaji wa WAZIRI wa Mambo ya NDANI na IGP SIRRO kwenye SAKATA la KUUWAWA Mfanya Biashara wa MADINI na Kuporwa Fedha zake na POLISI.
Leo Mh.RAIS SAMIA Ameshangazwa kuundwa kwa TUME ya Kuchunguza hilo SAKATA na POLISI wenyewe WANAOTUHUMIWA na Kumwagiza WAZIRI MKUU Kuunda KAMATI HURU ya KUCHUNGUZA TUKIO HIYO bila KUWAHUSISHA POLISI
Baadae WAZIRI MKUU Akamwagiza IGP SIRRO Awasimamishe kazi RPC na RCO na Maofisa Wengine.
Najiuliza
1.Kwanini WAZIRI mwenye Dhamani Hakumwagiza IGP SIRRO kuwasimamisha KAZI hao WAHUSIKA hao Mpaka WAZIRI MKUU Atoe AGIZO?
2.Kwanini IGP SIRRO binafsi hakuwasimamisha kazi hao Wahusika au ndio KUWALINDA hao WAKUBWA?
View attachment 2107931
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Na wazee hata wawili wa kiboloroni[emoji23]Nilitegemea Waziri Mkuu atakuwa na Ujasiri wa kuteua Wajumbe wawili kutoka kwenye Kamati ya Haki na Amani ya Viongozi wa Dini. Awemo Sheikh mmoja na Askofu mmoja ili Ripoti ya hiyo Tume ikubalike, iwe 'credible'.
Kuweka Watumishi wa Serikali pekee kunatia shaka.
Hahhaahh... eti 'nimekosa mimi nimekosa sana!Pole sana IGP. Uwe muungwana kama alivyofanya Mhe. Ndugai.
Eanyooshwe wawe mfano kwa wengine waliozoea tabia za ajabu ajabuUnapoteza kazi Kwa tu milion tu, ovyo kabisa hawa policcm
Yani mpaka Rais ameingilia wakati hao watu kiutendaji wako chini yake na ipo wazi kabisa uwepo wao pale unaweka mashaka kuhusu upelelezi maana wale ni maofisa ingekuwa askari w chini wangewato kafara Ila hao maofisa Kuna walakini wangewafichia jinai.Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Rara chini!Wakuu usiku huu nipo na wifi yenu
Tunataka kutyatua Toto letu la 2
Sasa nitumie staili ipi ili nitoe Toto ambalo halitakuwa na tabia mbaya Kama ya Simon nyakoro sirro
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Acha majungu🤣😇Kwa umri wake hana cha kupoteza ningemuona ana busara sana akijiuzulu maana kama kama kuchuma kachuma sana na tayari keshaandika rekodi ya kuwa IGP.