Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amuagiza IGP Sirro kuwasimamisha kazi Mabosi wa Polisi Mtwara na Kilindi kupisha uchunguzi wa mauaji

Kwa umri wake hana cha kupoteza ningemuona ana busara sana akijiuzulu maana kama kama kuchuma kachuma sana na tayari keshaandika rekodi ya kuwa IGP.
Akijiuzulu atazikwa kijeshi?
 
Mama kaupiga mwingi. Angekuwa mwendazake hao mapolisi wangepandishwa vyeo...

RIP Akwilina.... Mapolisi walikuua bila hatia na mwendazake akapiga kimya
 
Wengi walimchukia mzee magu lkn kiukwel alikuwa sahihi kwa mambo mengi.

Jambo kama hilo wala halihitaji kuchunguzana na kuunda tume za kuja kumaliza pesa, hapo ilitakiwa tamko litoke litakalo wa affect viongoz wote walioshindwa kufanya kazi zao mpka wasubiri rais wa nchi atoe tamko.

Kama huyo IGP hafanyi lolote mpka asubir amri, anafaida gan sas? Fukuza huyo weka mwingine atakae jari maisha ya watu.

Kama kesi inajulkana wauwaji ni polis, basi haraka sana washukiwa wasimamishwe kazi kwa kufanya unyama nje ya kazi zao,

..huyo PM na tume zake hanaga jipya
 
RPC wa Geita anaoneka mstaarabu sana na mtulivu akizungumza kwenye TV, system inaweza ikampromote au huyo Mama Kaganda kama wengi wanavyosema au achukuliwe mtu wa jwtz kwasababu jwtz hawana ubabaishaji.
 
Ijp hana malaka ya kuwasimamisha kazi mwenye mamlaka ni rais mwenyewe na tume ya utumishi ya polisi na magereza ambae mwenyekiti ni waziri wa mambo ya ndani ya nchi
 
Ijp hana malaka ya kuwasimamisha kazi mwenye mamlaka ni rais mwenyewe na tume ya utumishi ya polisi na magereza ambae mwenyekiti ni waziri wa mambo ya ndani ya nchi
Ndio wameshasimamishwa Sasa na kuchafanya hakuna.
 
RPC wa Geita anaoneka mstaarabu sana na mtulivu akizungumza kwenye TV, system inaweza ikampromote au huyo Mama Kaganda kama wengi wanavyosema au achukuliwe mtu wa jwtz kwasababu jwtz hawana ubabaishaji.
PCCB alipelekwa jamaa wa JW then kilitokea Nini?Alivuruga kishenzi,kapigwa chini akaletwa police mwenzako.
 
Nashangaa kwanini hawakuchunguza suala la Hamza. Hakuna utofauti.
 
Ndugu yangu Retired Sirro pesa ipo sema tu vile ving’ora vya kusafishiwa njia atavi miss sana ila hakuna namna atake asitake mwezi huu anapumzika rasmi.
Mh! anapumzika? Kwa kustaafu? mbona bado kama mika 2 hivi? Hizi ni habri za ndani si rahisi kuvuja kiasi hicho. figganigga ameandika kituko eti Kaganda ameshateuliwa!!!!!!! If wishes were horses, ..............Kituko kikubwa
 
Ndugu yangu na rafiki yangu IGP Sirro Nyakoro kwanini anakuwa mgumu kujiuzulu, ajifunze kusoma alama za nyakati Mama hamuhitaji tena kwenye serikali yake anayoiongoza maana anaitia doa.
Hamuhitaji kwa kutumia viashiria vipi? Wishes zako?
 
It is all rubbish as long as CCM ndio wanatoa amri! All mavi and rubbish!
 
Kwa hiyo kwa hali ilivyo sasa. Kama Siri ndo katunga kesi ya MCHONGO inayomkabili Mbowe na kwa mambo yanavyokwenda yakimwendea Mrama, tutakuwa na haki ya kusema kuwa MWISHO WA UBAYA NI AIBU?
ngoja tuone picha linavuokwenda mpaka mwisho. Ila ikumbukwe kuwa STERLING HAUWAWI
 
kwa mienendo hii jeshi la polisi limepoteza credibility kwa wananchi.Hakuna haja ya kuchunguza wakati kuna hela zipo involved! Ni wazi tamaa ya pesa ilipelekea mauji hayo! Huhitaji kuwa mpelelezi kutambua nani mbaya katika hii kesi!
 
Unapoteza kazi Kwa tu milion tu, ovyo kabisa hawa policcm

Hiyo ni ajali kazini….unadhani wanaishije polisi toka mwaka 2015 hawajaongezwa mishahara huku gharama za maisha zikipanda!?

Wa kulaumiwa hapa ni serikali kutokuboresha maslahi yao…tuache utani hawa jamaa wapo busy sana,wanafanya kazi ngumu sana,hii mambo serikali inafanya mzaha sana….huwezi kuwatelekeza watu wanao shinda na silaha miaka kadhaa bila kuboresha maslahi yao,unategemea nn!?
 
Tajiri amefuga mbwa wakali Sana wezi hawawezi kuingia na wanatamani mbwa wote wauawe ili wapate fursa.

Sasa tajiri amepewa ushauri mbwa hawa wafungiwe ndani wasitoke Pia wasipewe chakula cha kutosha kwasababu hawasaidii chotote na tutakuwa na Amani wakiondolewa kabisa na tunaweza kuleta paka wengi wakafanya KAZI nzuri zaidi.

Maskini hawa mbwa tutakutana nao jalalani na uwezekano wa kupata kichaa ni mkubwa kazi wanayoiweza ni kuuma watu na watu hakuna lazima waombe KAZI DRC CONGO NA MSUMBIJI wengine wahamie Somalia wakistaafu warudi kutumiwa na wanasiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…