goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 805
- 877
Kwanza kwa jinsi watanzania walivyo huwezi kumwambia chochote kama hujamweka kwenye nafasi anaemwogope ni boss wake anaeweza kumwondoa kwenye ile nafasi kwaio kuanza kumletaPM kwenye hii issue ni kutafuta excuse ambazo hazina kichwa wala miguuKwa Tanzania PM siyo head of government, siyo appointing authority, siyo head of executive.
Kama ambavyo hawezi kumtengua mtu, hawezi kumteua mtu, basi pia hawezi kuwajibika kwa makosa ya watu wanaoteuliwa na mtu mwingine.
Rais aisimamie serikali yake.
Asijikite kuwaondoa Sukuma gang tu na kusahau kuwa macho na watu anaowaongoza ndani ya serikali.
HAKUNA UTARATIBU wa KUJIUZULU NCHI HIILicha ya madudu yote hayo yaliyooneshwa na CAG lakini bado anakalia ofisi tu? Hebu fikiria Waziri Mkuu wa Iingereza alijiuzulu kwa kosa tu la kucheza mziki kipindi Cha COVID 19 lakini sisi huku Waziri Mkuu ndo kwanza anachekelea. Hivi nchi za kiafrika tunelaaniwa?
Rais hawezi kumwambia Waziri Mkuu eti jiuzulu bali PM mwenyewe ndo nafsi inapaswa imsute. Jana Rais Samia kaongea very logical issues akimlenga pm kwamba hana lolote analojua kama mtendaji Mkuu wa Serikali.
Jamaa hakuna kituAnaongelea wizi halafu anacheka
Utajua kuna usanii kwenye hela zetu
Tutabaki masikini maisha yote
Haiwezekani mpaka leo eti hata kutatua mashimo ya vyoo mashuleni na hospitali wameshindwa
Kweli leo sisi wa kukubali watoto waende na majivu shuleni
Yaani wao wanafurahia udhalili wa mtz kwa kuwa hawezi kufanya kitu
Wao hakuna maisha wasiyoyaona yaani tunaishi tofaouti na wao
Huku wakicheka cheka tu
Hilo tabasamu linatusaidia nini kama majizi unakula nao?
Hapana we Sema Sasa hivi Kuna transparency ya Hali ya juu kupitia vyombo vya habari kwa mana kwamba vinaibua kila uozo na kuripoti ila kipindi kile kulikuwa Cha giza kiasi kwamba vyombo vilifiangwa na vichache vilivyobaki ni kusifu tu hata vikiona uozo hamna kuripoti kulipoti na ukifanya hivyo kwa lazima unatekw na kuuawa. Kwa Sasa Hali imebadilika ndo mana pm ule ujanja ujanja wa kwenda na makemera tumeone anafanya kazi umebuma mana na amejikuta kwamba hata kipindi kile uozo ndo ulikuwa too much ila nani wa kuripoti.waziri mkuu amekosa nguvu sababu wezi waliowekwa wamewekwa kwa kupitia rais mstaafu, huwezi kuwagusa hata mama kabaki kutukana tu hana ubavu wakuwatoa ila kawaomba waondoke, sasa waziri mkuu unamlaumu wa nini? hebu mpe nchi majaliwa awe rais halafu uone utajua kama hujui
Kwa nini ajiuzulu Waziri Mkuu?Licha ya madudu yote hayo yaliyooneshwa na CAG lakini bado anakalia ofisi tu? Hebu fikiria Waziri Mkuu wa Iingereza alijiuzulu kwa kosa tu la kucheza mziki kipindi Cha COVID 19 lakini sisi huku Waziri Mkuu ndo kwanza anachekelea. Hivi nchi za kiafrika tunelaaniwa?
Rais hawezi kumwambia Waziri Mkuu eti jiuzulu bali PM mwenyewe ndo nafsi inapaswa imsute. Jana Rais Samia kaongea very logical issues akimlenga pm kwamba hana lolote analojua kama mtendaji Mkuu wa Serikali.
Pm hamna kitu alibebwa na jpm kwa sababu kipindi kile vyombo vya habari vilizimwa hivyo transparency haikuwepo ndo pm akang'aa lakini kipindi hiki kila mtu anahoji na ana haki tofauti na kipindi kile Cha gizaKassim Achana Naye Ni Wa Aina Yake
Rais Anachapa Kazi Yupo Ofisini, Mnataka Kumuona Magomeni
Kairuki ni mzigo sijui anabebwa na mbeleko ya nani?Sasa Kweli mama angu na wew kairuki anaweza kukusadia nn kwenye tamisemi jafoo mwenywe ilimshinda wee unakwenda kumteua mtu back wkt mle ndani Kuna wabunge mahiri tu wangekusadia
Ona Sasa Jana alikuwa anaangua kicheko
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa nchi gani? [emoji23][emoji23] BongooWamweke general yeyote wa jeshi
Kwa hapa tutasubiri sana , waacheni tuHii ya bongo
Kuna udhaifu kuanzia juu kule, wacheni kuhangaika na PM, ndio maana mafisadi wameanza kuvimba tena sababu wanajua hayupo wa kuwafanya chochote mama yao yuko upande wao, wale kina Silent Ocean ni mfano wao.
Licha ya madudu yote hayo yaliyooneshwa na CAG lakini bado anakalia ofisi tu? Hebu fikiria Waziri Mkuu wa Iingereza alijiuzulu kwa kosa tu la kucheza mziki kipindi Cha COVID 19 lakini sisi huku Waziri Mkuu ndo kwanza anachekelea. Hivi nchi za kiafrika tunelaaniwa?