Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anasubiri nini ofisini au Afrika kujiuzulu ni dhambi?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anasubiri nini ofisini au Afrika kujiuzulu ni dhambi?

Ngoja nikufindishe kama hujui. Pm ni msimamizi wa serikali kwa kila kitu kinachofanyika serikalini. Ndo maana nchi zinazojitambu chochote kinachofanyika vibaya serikalini pm ndo anatake responsibility mana kazi yake imemshinda
Wewe ndio hujui. Hizo nchi zinakuwa na PM ambaye ni mkuu wa serikali, hed of executive na yeye ndio appointing authority.
 
Kwa Tanzania PM siyo head of government, siyo appointing authority, siyo head of executive.
Kama ambavyo hawezi kumtengua mtu, hawezi kumteua mtu, basi pia hawezi kuwajibika kwa makosa ya watu wanaoteuliwa na mtu mwingine.
Rais aisimamie serikali yake.
Asijikite kuwaondoa Sukuma gang tu na kusahau kuwa macho na watu anaowaongoza ndani ya serikali.
 
No rais alitaka kuwaonesha kwamba hawafai. Kazi za rais ni kusimamia subordinates wafanye kazi siyo yeye kukimbizana na wafanyakazi siyo kazi yake
Na atuonyeshe kuwa hawafai kwani sisi ndio tuliowapa uwaziri!! Si aliwateua yeye, ameshindwa nini kuwawajibisha then ndio atupe mtejesho!! Kuja kutulalamikia anapunguza tatizo au analiongeza?
 
Kwani nasema uongo. Vitu vingapi tumepwa fix na jpm mpaka akifika hatua ya kutufix eti tumeingia uchumi wa kati na wakati huohuo vyombo vya habari haviruhusiwi kuhoji chochote na ulijaribi unapoteza au unaumizwa vibaya sana kama akina kabendera
Sasa ile alitangaza Jpm au world bank mbona watanzania mnaakili fupi🤣🤣🤣🤣
 
Ngoja nikufindishe kama hujui. Pm ni msimamizi wa serikali kwa kila kitu kinachofanyika serikalini. Ndo maana nchi zinazojitambu chochote kinachofanyika vibaya serikalini pm ndo anatake responsibility mana kazi yake imemshinda
Tufundishe na kazi ya Rais
 
Na atuonyeshe kuwa hawafai kwani sisi ndio tuliowapa uwaziri!! Si aliwateua yeye, ameshindwa nini kuwawajibisha then ndio atupe mtejesho!! Kuja kutulalamikia anapunguza tatizo au analiongeza?
Sheria haimruhusu kumtumbua waziri mkuu Bali yeye anaandaa mazingira tu waziri mkuu ajiudhuru mwenyewe. Soma katiba acha uvivu utakuja uibiwe mke kisa hujui katiba inasemaje kuhusu kuiba mke
 
Sheria haimruhusu kumtumbua waziri mkuu Bali yeye anaandaa mazingira tu waziri mkuu ajiudhuru mwenyewe. Soma katiba acha uvivu utakuja uibiwe mke kisa hujui katiba inasemaje kuhusu kuiba mke
Kuna mahali kwenye post yangu umeona nimemtaja waziri mkuu? Acha kukurupuka dogo, "yeye ndio aliwateua"!! Kwani waziri mkuu anateuliwa na rais?
 
Licha ya madudu yote hayo yaliyooneshwa na CAG lakini bado anakalia ofisi tu? Hebu fikiria Waziri Mkuu wa Iingereza alijiuzulu kwa kosa tu la kucheza mziki kipindi Cha COVID 19 lakini sisi huku Waziri Mkuu ndo kwanza anachekelea. Hivi nchi za kiafrika tunelaaniwa?

Rais hawezi kumwambia Waziri Mkuu eti jiuzulu bali PM mwenyewe ndo nafsi inapaswa imsute. Jana Rais Samia kaongea very logical issues akimlenga pm kwamba hana lolote analojua kama mtendaji Mkuu wa Serikali.
Makamba ,pia anasubiri nn?
 
Licha ya madudu yote hayo yaliyooneshwa na CAG lakini bado anakalia ofisi tu? Hebu fikiria Waziri Mkuu wa Iingereza alijiuzulu kwa kosa tu la kucheza mziki kipindi Cha COVID 19 lakini sisi huku Waziri Mkuu ndo kwanza anachekelea. Hivi nchi za kiafrika tunelaaniwa?

Rais hawezi kumwambia Waziri Mkuu eti jiuzulu bali PM mwenyewe ndo nafsi inapaswa imsute. Jana Rais Samia kaongea very logical issues akimlenga pm kwamba hana lolote analojua kama mtendaji Mkuu wa Serikali.
Sure Majaliwa Majaliwa Taslimu anapaswa kuondoka.
 
Licha ya madudu yote hayo yaliyooneshwa na CAG lakini bado anakalia ofisi tu? Hebu fikiria Waziri Mkuu wa Iingereza alijiuzulu kwa kosa tu la kucheza mziki kipindi Cha COVID 19 lakini sisi huku Waziri Mkuu ndo kwanza anachekelea. Hivi nchi za kiafrika tunelaaniwa?

Rais hawezi kumwambia Waziri Mkuu eti jiuzulu bali PM mwenyewe ndo nafsi inapaswa imsute. Jana Rais Samia kaongea very logical issues akimlenga pm kwamba hana lolote analojua kama mtendaji Mkuu wa Serikali.
Huna hoja we shoga. Kila siku kumkashifu tu PM, PUUMBAVU
 
Waziri Mkuu ni msaidizi tu wa Rais. Usichanganye kuwa mkuu wa shughuli za serikali Bungeni(PM)na kuwa Mkuu wa Serikali(President)
Ni mkuu wa shughuri zote za serikali siyo mkuu wa serikali
 
Mafaili ya hao wakuu wa mashirika yapo wazi kuhusu utendaji wao mbovu , maswahiba wa msoga gang ndo wapo huko , yeye kawaweka akijua ni wabovu na wapigaji, zigo aangushiwe majaliwa , akiwa mkali ooh anastyle ya mwendazake mara hii sio awamu ya kufokeana , pumbavu

Agiza Soda nakuja kulipa
 
Licha ya madudu yote hayo yaliyooneshwa na CAG lakini bado anakalia ofisi tu? Hebu fikiria Waziri Mkuu wa Iingereza alijiuzulu kwa kosa tu la kucheza mziki kipindi Cha COVID 19 lakini sisi huku Waziri Mkuu ndo kwanza anachekelea. Hivi nchi za kiafrika tunelaaniwa?

Rais hawezi kumwambia Waziri Mkuu eti jiuzulu bali PM mwenyewe ndo nafsi inapaswa imsute. Jana Rais Samia kaongea very logical issues akimlenga pm kwamba hana lolote analojua kama mtendaji Mkuu wa Serikali.
Mnampa lawama mtu ambae hana meno.... Rais ndio inabid yeye ajiuzulu.. kwa maana rais yeye ndio anaweA kuteua au kutengua...
 
Back
Top Bottom