Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo awaangalie tu. Maku makoma.Rais anasimamia viongozi wa chini wafanye kazi. Katiba haimruhusu kukimbizana na wafanyakazi kama.alivyotaka jpm kupindua katiba
Hawezi kujiuzulu sababu naye anayajua Madudu ya boss wake akiamua kuyaweka hadharani wote tutaziba pua zetuLicha ya madudu yote hayo yaliyooneshwa na CAG lakini bado anakalia ofisi tu? Hebu fikiria Waziri Mkuu wa Iingereza alijiuzulu kwa kosa tu la kucheza mziki kipindi Cha COVID 19 lakini sisi huku Waziri Mkuu ndo kwanza anachekelea. Hivi nchi za kiafrika tunelaaniwa?
Rais hawezi kumwambia Waziri Mkuu eti jiuzulu bali PM mwenyewe ndo nafsi inapaswa imsute. Jana Rais Samia kaongea very logical issues akimlenga pm kwamba hana lolote analojua kama mtendaji Mkuu wa Serikali.
Wa juu yao akina nani sasa?Mbona mnawaacha wa juu Yao,hao wote kazi imewashinda
PM ni mzembe sn hafai kuendelea kuwa hapoAjiuzuru vipi wakati tunajua wanatuchezea tu kwa report za kila siku kana kwamba hatujui hela zinaenda wapi
PM anajua na wote wanajua kinachoendelea
Idhinisha mabilioni halafu Sema mabilioni kadhaa yameibiwa huku wakijua zimeenda wapi
Hakuna anaehoji ila kila mwaka report ni za wizi tu
Sasa ya nini watangaze kama hatuoni watu 100 wanafungwa jela?
Madaraka matamu eti?.
Ila ni laana tu itawatafuna kwa kuwaibia wanyonge wasiojielewa
Katiba haisemi hivyo. Watanzania jifunze basi kiheshimu katiba. Angalia ruto anavyoiheshimu katiba ingekuwa kwa matakwa yake angevunja mtu kwenye maandamano Yale ila katiba inamfunga ayaruhush hi yohivyo hata kama hapendi ila ingekuwa jpm katiba ingekanyagwa tuKwahiyo awaangalie tu. Maku makoma.
Kikwete ajiuzulu kwenye nafasi gani?!Ajiudhuru kwanza Kikwete ili Majaliwa afanye kazi. Kuendelea kuwepo kwa kikwete na katibu wake mkuu Nape hakuna litakalofanyika.
We jamaa hoja zinakushinda unaanza kukimbilia kwa JPM....huyu mamaenu hawezi kuongoza nchi, tuendelee tu kuangalia vile wajanja wachache wanavyotafuna keki ya taifa....Kwani nasema uongo. Vitu vingapi tumepwa fix na jpm mpaka akifika hatua ya kutufix eti tumeingia uchumi wa kati na wakati huohuo vyombo vya habari haviruhusiwi kuhoji chochote na ulijaribi unapoteza au unaumizwa vibaya sana kama akina kabendera
Kipindi Cha jpm wajanja wachache wa kula ndo waliibuka afadhari kipindi hiki wajanja ni wengi wa kula. Kipindi kile Cha giza walikuwa tu akina makonda, sabaya, polepole na bashiruWe jamaa hoja zinakushinda unaanza kukimbilia kwa JPM....huyu mamaenu hawezi kuongoza nchi, tuendelee tu kuangalia vile wajanja wachache wanavyotafuna keki ya taifa....
We una chuki na JPM, una mahaba na Samia, that is it.
Kwa hiyo watu wanaokula kwa urefu wa kamba zao jinsi wanavyoongezeka ndo kitu unapenda! Ndio maana unajitahidi kumpa lawama PM na kumuona Samia hana kosa. Watu kama wewe wakiwa wengi kwenye hii nchi tusitegemee kuona tunapata maendeleo.Kipindi Cha jpm wajanja wachache wa kula ndo waliibuka afadhari kipindi hiki wajanja ni wengi wa kula. Kipindi kile Cha giza walikuwa tu akina makonda, sabaya, polepole na bashiru
Anaongelea wizi halafu anachekaPM ni mzembe sn hafai kuendelea kuwa hapo
Wewe kweli kichwa maji nimekuuliza majukumu yake ni yapiMkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu na mkuu wa serikali
Remote iko Msoga harafu screen zipo Chamwino na MagogoniAjiudhuru kwanza Kikwete ili Majaliwa afanye kazi. Kuendelea kuwepo kwa kikwete na katibu wake mkuu Nape hakuna litakalofanyika.
PM hajahusika na izo mambo mzee ebu acha kuleta uchuro tafuta mtu mwingine wa kumvisha kengere kwenye hii issueNgoja nikufindishe kama hujui. Pm ni msimamizi wa serikali kwa kila kitu kinachofanyika serikalini. Ndo maana nchi zinazojitambu chochote kinachofanyika vibaya serikalini pm ndo anatake responsibility mana kazi yake imemshinda