goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 805
- 877
Kwanza kwa jinsi watanzania walivyo huwezi kumwambia chochote kama hujamweka kwenye nafasi anaemwogope ni boss wake anaeweza kumwondoa kwenye ile nafasi kwaio kuanza kumletaPM kwenye hii issue ni kutafuta excuse ambazo hazina kichwa wala miguuKwa Tanzania PM siyo head of government, siyo appointing authority, siyo head of executive.
Kama ambavyo hawezi kumtengua mtu, hawezi kumteua mtu, basi pia hawezi kuwajibika kwa makosa ya watu wanaoteuliwa na mtu mwingine.
Rais aisimamie serikali yake.
Asijikite kuwaondoa Sukuma gang tu na kusahau kuwa macho na watu anaowaongoza ndani ya serikali.